Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

kanunua kwa pesa zake au pesa za serikali? Maana kamatunataka kuanza mambo haya kuna basi kuna viongozi wa sasa na wa zamani wana mali kama vile mashamba makubwa yenye thamani kubwa kiasi cha kuweza kujenga mashule, kununua vifaa vya mashuleni, zahanati na hata kulipa mishahara ya walimu kwa wakati. Sijapata kusikia watu wakililia hili kabisa! Na tukirudi katika suali la saa, mumeona saa anazovaa Kikwete?
 
Katika watawala wa nchi yetu huyu mpaka Leo ndiye ametawala mda mchache kuliko wote aliye mrithi alitawala miaka 6 wa nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 25
Mkoloni mwingerza miaka 40
Mjerumani miaka 38
Huyu wa miaka 3 amalize matatizo yote ambayo waliotawala mda mrefu walishindwa au yeye amebomoa walipojenga wenzake
Kuna katiba ya watu furani walidai kua nitatumia elimu yangu Kwa manufaa ya wote
Kutumia elimu yako kua balaa Kwa wengine ni kuto kutenda haki
Kuna mjasriamali furani duniani alibainisha sifa ya MTU aliye kata Tamaa ya kua
matatizo yake yamesababishwa na serikali
 
Hata asipovaa hiyo saa bado matatizo yataendelea kuwepo.

Yeye pia ni binadamu, amefanya kazi kubwa na ana uwezo wa kuimiliki.

Muache afurahishe nafsi yake.

Kuwa fukara pekee si sifa ya uongozi bora.
Kazi gani aliyoifanya awe na ukwasi huyo konda asiyewahi kuota kuendesha gari hata siku 1 sasa ghafla dereva kafa kaachiwa kiti cha udereva ilhali hajui anatakiwa afanye nini.
 
Katika watawala wa nchi yetu huyu mpaka Leo ndiye ametawala mda mchache kuliko wote aliye mrithi alitawala miaka 6 wa nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 10
Nyuma yake miaka 25
Mkoloni mwingerza miaka 40
Mjerumani miaka 38
Huyu wa miaka 3 amalize matatizo yote ambayo waliotawala mda mrefu walishindwa au yeye amebomoa walipojenga wenzake
Kuna katiba ya watu furani walidai kua nitatumia elimu yangu Kwa manufaa ya wote
Kutumia elimu yako kua balaa Kwa wengine ni kuto kutenda haki
Kuna mjasriamali furani duniani alibainisha sifa ya MTU aliye kata Tamaa ya kua
matatizo yake yamesababishwa na serikali
Jina tu linaonesha ni mtu wa namna gani? Yaani watu wote duniani ukaamua kuja na ID ya John Makonda. Akili yako imekaa kwenye makalio kama Makonda ndio maana umeandika ushuzi. Nani kasema huyu atayamaliza matatizo? Kwa uwezo gani alionao huyo bi. Tozo ili atatue matatizo zaidi ya kuturembulia macho tu?

Hoja ni tunataka majibu, kama mtumishi wa umma Rena mtumishi namba 1, ametoa wapi pesa za kununua saa ya 100M+ wakati nchi ipo gizani, hatuna uhakika wa matibabu, elimu wala milo 3 tokana na ugumu wa maisha? Atujibu huyo bi wa kizanzibar.
 
Kichwa chako kimejaa mawazo ya kimaskini na kijima sana .kwani asipoivaa hiyo saa ndio matatizo yako yataondoka hapo nyumbani kwako na umaskini ulio nao? Kwani hiyo saa kanunulia pesa za umma? Kwani tangia ameanza kufanya kazi wakati wa ujana wake mpaka leo hii akiwa mkuu wa nchi unafikiri saa hiyo inamshinda kununua?
 
View attachment 2912089

Kwa hiyo huyu ndiye tunamsubiri atutatulie changamoto za umeme?

Huyu ndiye tunamtegemea amalize changamoto zetu za kupanda bei ya sukari?

Huyu ndiye tunayemtegemea atumalizie changamoto zetu za hali duni ya maisha, umasikini, huduma mbovu za afya, maji na miundombinu? Na mateso ya umasikini tunayopitia?

Huyu ndiye tunayemtegemea atutoe kwenye orodha ya nchi masikini tunayoishi chini ya dola 1 walau tufikie kupata milo mitatu kwa siku?


Ok. Basi Sawa.
Maana ya neno "serpenti" ni snake "nyoka". Anaonyesha yuko hapo kwa niaba ya nani!
 
INAWEZEKANA kuna mambo hayaendi sawa na matumaini ya wananchi..
INAWEZEKANA kuna viongozi hawatimizi majukumu yao kikamilifu..
HAYAHUSIANI na mavazi ya raisi kabisa.
Rais hajavaa chochote cha ajabu. Saa ipo ndani ya uwezo wake na wengi tu wanaweza kuivaa.
Tusichanganye mambo binafsi na taasisi anayoiongoza..
 
Kichwa chako kimejaa mawazo ya kimaskini na kijima sana .kwani asipoivaa hiyo saa ndio matatizo yako yataondoka hapo nyumbani kwako na umaskini ulio nao? Kwani hiyo saa kanunulia pesa za umma? Kwani tangia ameanza kufanya kazi wakati wa ujana wake mpaka leo hii akiwa mkuu wa nchi unafikiri saa hiyo inamshinda kununua?
Unaonekana chawa wa viwango vya juu! Utakuwa unakula nnya yake sio bure!
 
Kazi gani aliyoifanya awe na ukwasi huyo konda asiyewahi kuota kuendesha gari hata siku 1 sasa ghafla dereva kafa kaachiwa kiti cha udereva ilhali hajui anatakiwa afanye nini.
Samia amefanya kazi kwenye taasisi za kimataifa zaidi ya miaka 20, amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, amekuwa Waziri/Naibu Waziri kwa zaidi ya miaka 14, amekuwa Rais/Makamu wa Rais kwa zaidi ya miaka 8. Hawezi kukosa $40,000.00 kwa ajili ya saa.
 
Sasa ndio umeandika nini? Mwambieni mama yenu aache anasa kwa kutumia kodi za wananchi maskini tusio na uhakika wa umeme, maji safi na salama, huduma za afya na sasa tunakunywa chai na pipi kwani nchi haina sukari. Mwambieni ukweli, mtaani tumemchoka kwani kiwango cha ugumu wa maisha kinaongezeka huku yeye anatembea angani kama popo.
Unataka rais atumie mshahara wake kukununulia sukari nyumbani kwako?

Unataka rais atumie mshahara wake kununua umeme wako? Kwahiyo rais asinunue kitu ambacho nafsi yake inapenda kisa wewe huna sukari? Hivi unajielewa kweli wewe? Una akili timamu wewe? Mshahara wa rais toka lini ukatumika kua kwenye bajeti ya serikali? Kiongozi wa nchi gani anafanya hivyo?

Siasa za kijima na mawazo ya kimasikini vimewaharibu sana watu kama wewe.
 
Unataka rais atumie mshahara wake kukununulia sukari nyumbani kwako?

Unataka rais atumie mshahara wake kununua umeme wako? Kwahiyo rais asinunue kitu ambacho nafsi yake inapenda kisa wewe huna sukari? Hivi unajielewa kweli wewe? Una akili timamu wewe? Mshahara wa rais toka lini ukatumika kua kwenye bajeti ya serikali? Kiongozi wa nchi gani anafanya hivyo?

Siasa za kijima na mawazo ya kimasikini vimewaharibu sana watu kama wewe.
Hahaaaaaa, hujui kama hata hiyo sukari haipo nchini au uchawa umekutoa akili bwana mdogo? Inawezekana najadiliana na mtu anayelishwa na kuvalishwa na shemeji yake hivyo hukui chochote kuhusu maisha. Byeeeeee
 
Samia amefanya kazi kwenye taasisi za kimataifa zaidi ya miaka 20, amekuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 15, amekuwa Waziri/Naibu Waziri kwa zaidi ya miaka 14, amekuwa Rais/Makamu wa Rais kwa zaidi ya miaka 8. Hawezi kukosa $40,000.00 kwa ajili ya saa.
Unaongozaje asilimia kubwa ya watu mafukara, akina mama wanajifungulia sakafuni, maji shida, hakuna pesa za kuwafadhili vijana masomo yao ya chuo, nchi ipo gizani halafu unakuwa na confidence ya kununua saa ya milioni mia na ushee.​
 
Back
Top Bottom