Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Litapita lakini watanzania watabaki bila umeme, bila huduma bora za afya, bila elimu bora n.k
mwaka jana kwenye maji malalamiko yalikua hivihivi, lakini pia kwenye afya na chakula ....

leo hii hayo hayaonekani yamesahaulika kama vile hapakuwahi kua na tatizo...

nasisitiza la umeme nalo litapita vizuri tu, kwasababu kazi inaendelea kwa kasi na viwango vizuri sana...

kwenye afya na elimu, hakuana asie jua. Kazi kubwa sana imefanyika, na kazi kubwa zaidi inaendelea kufanyika usiku na mchana.

Tena kwenye suala la Afya na Elumu,
Tanzania ni miongoni mwa mataifa barani Africa yenye viwango bora zaidi na vya juu mno vya ubora ukilinganisha na mataifa nengine...
 
Labda alipewa Zawadi huko. Safarini yaani hakununua kwa pesa zake ingawa kama Rais wetu ana uwezo wa kununua!!!

Si ni nyingi Mlisema mnachukia umaskini!!? Mnaonyeshwa mfano wa kuichukia umaskini. Halafu mnashangaza. Mliwahi kuambiwa kuwa sisi ni donor country, mkaja juu!!!! Mnaonyeshwa kuwa we are donar kantri kiukweli Sasa!!!

Ha ha haaaa! Kama mazuri vile.
Sheria hairuhusu mtumishi wa umma kupokea zawadi
 
MaCHADEMA ndio unyumbu huo. Kwani hana haki kuvaa vitu vizuri?!
Akili za hovyo kabisa. Rais anapewa zawadi na watu wengi ikiwemo familia yake akatae?!
MaCHADEMA mmezoea uzinzi na wizi hamna akili. Kazurureni Barabarani
Haruhusiwi kupokea zawadi akipokea ni mali ya watanzania
 
Marais wengine hawakuwa na wenza? Sheria hairuhusu mtumishi wa umma kupokea zawadi kiholela
Yaan hata kutoka kwa Mume wa Mtoto wake asipokee zawadi? Hata mumewe asimpe zawadi ndugu, jamaa na marafiki wasimpe zawadi? Wale waliomchukulia fomu wakatoa kibunda sio zawadi Ile? Yeye mboni anatoa zawadi kwanini yeye akipewa inakua nongwa?
 
Sio kla mda tunawaza kujenga tu wakat mwingne kupendeza nako kuna nafasi yake

Wacha prezdaa apendeze bana
 
IMG-20240221-WA0045.jpg


Kwa hiyo huyu ndiye tunamsubiri atutatulie changamoto za umeme?

Huyu ndiye tunamtegemea amalize changamoto zetu za kupanda bei ya sukari?

Huyu ndiye tunayemtegemea atumalizie changamoto zetu za hali duni ya maisha, umasikini, huduma mbovu za afya, maji na miundombinu? Na mateso ya umasikini tunayopitia?

Huyu ndiye tunayemtegemea atutoe kwenye orodha ya nchi masikini tunayoishi chini ya dola 1 walau tufikie kupata milo mitatu kwa siku?


Ok. Basi Sawa.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingi

View attachment 2911999

View attachment 2911553
najaribu kufikiri kuna watu wanatembelea gari ya 30m na wanavaa saa za 7m sasa inakuwaje kwa mama anayetembelea gari ya zaidi ya mil500?
lakini kubalini kuwa huyu ni Rais na kwa jinsia ni mwanamke achilia mbali anachembechembe za kiarabu kwa asili hivyo kuvaa kitu cha dhahabu ni asili yake.
ukienda mitaa ya Temeke,Tandika,Mwananyamala ni kawaida kukuta mbibi analala nyumba mbaya lakini anazaidi ya gram 600 za dhahabu.
hivyo hiyo ni thamani ya kawaida kwa kadri ya asili na nafasi aliyonayo. na anauwezo wa kununua kwa posho yake.
by the way hakuna mtu anayependa kutu duni vinginevyo kuna sababu nani kati yenu anaweza kukubali kunywea kibuyu na si glass? wachaga wenyewe wanapenda vibuyu kwa mbege wakija mjini wanatumia glass kwa bia.
 
Ukicopy kitu jaribu kushirikisha na akili yako kidogo.

Hiyo pesa ijenge madarasa 12 na samani zake? Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?
Afadhali uwaambie. Ninachokijua mm darasa moja ni kuanzia she 25-28, 000,000 sasa hayo madarasa kumi yatatoka wapi!
 
Back
Top Bottom