Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Tujue mshahara wake na marupurupu.Ni ujinga kiongozi wa nchi masikini tena anayelipwa mshahara kwa kodi za masikini kuvaa saa ya milioni 111 wakati wale unaowaongoza hawana uhakika wa milo motatu kwa siku! Kuna tofauti ya kiongozi na 'boss' Rais anapaswa kuwa kiongozi na sio boss.
Pia tukubali kuwa kila mtu ana vipaumbele vyake. Wakati wewe unapambania ugali, yupo mwingine anapambania kumalizia appartments zake.
Tunatofautiana. Hatuwezi kumvika kipngozi magunia hata hali iwe ngumu vipi. Ni bora kutomchagua kuliko kugusa ubinadamu wake