Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Wewe akili yako inakuambia amekuibia???
Kuanza kumpangia mtu cha kuvaa kisa ni kiongozi wako huo ni ujinga
Tafuta hela stress ni ugonjwa wa wazungu
Wewe kinachokusumbua ni njaa,tamaa na wivuuu
Huna akili, kiongozi lazima uwe mfano halisi........unaishi vipi kifahari wakati asilimia kubwa ya unaowaongoza ni maskini wa kutupwa, hiyo milioni 112 haiwezi kununua jenereta tukawasha umeme hapa watoto wakapata mwanga wa kusomea? maisha ya kifahari waishi matajiri, siyo kiongozi wa umma tena kwenye nchi maskini.​
 
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?

Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Inaonekana bado hauzijui saa [emoji849]

Patek Philippe, rolex,Audemars Piguet, na Omega.
 
Kwa hiyo saa yake ina thamani sawa na saa ya Floyd Mayweather? hapo ndo utaona tofauti ya Nyerere na hawa waliomfuatia, hivi hata kama umepewa zawadi kuna jambo utawakatalia kuhusu rasilimali za nchi?

Hawana hata ile hisia watanzania wengi wanaowaongoza wamejaa umaskini kiasi kwamba kupata tu yale mahitaji muhimu kama chakula, matibabu ni mtihani.....
Nyerere mzungumzie kwenye ukombozi wa Africa, ila kwenye uchumi na kitu chochote kinachohusu pesa mtoe,
Mana alifeli vibaya sanaaaa
 
Wewe akili yako inakuambia amekuibia???
Kuanza kumpangia mtu cha kuvaa kisa ni kiongozi wako huo ni ujinga
Tafuta hela stress ni ugonjwa wa wazungu
Wewe kinachokusumbua ni njaa,tamaa na wivuuu
Stress ni ugonjwa wa Wazungu 😅😅 !
Kwakweli inawezekana hii !
Nimecheka sana Hahahaha ! Duh 🙄!
 
Huna akili, kiongozi lazima uwe mfano halisi........unaishi vipi kifahari wakati asilimia kubwa ya unaowaongoza ni maskini wa kutupwa, hiyo milioni 112 haiwezi kununua jenereta tukawasha umeme hapa watoto wakapata mwanga wa kusomea? maisha ya kifahari waishi matajiri, siyo kiongozi wa umma tena kwenye nchi maskini.​
😂😂😂😂 Kwamba raisi atoe kipato chake kusolve shida za taifa 🤔😂😂😂😂
Kwa akiili hizi Chadema hamtaongoza nchi 😂😂
 
Akili ya punguani ndo inaweza kuwaza hivi, kwa mtu ambaye ni kiongozi kutoka moyoni mfano wa Nyerere nafsi lazima ikusute kutokana na ugumu wa maisha wa wananchi unaowaongoza, unakuwaje confident kuongoza nchi iliyo gizani kwa kukosa umeme na bado ukaendelea kutupia vitu vya gaharama!?
Nyerere was a failure as president ndo mana akalazimika kujiuzulu, so usipende sana kumtumia kama mfano wa uongozi
 
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?

Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Kuna vitu vingine vinasimama kama alama ya ukwasi
Binafsi hata saa sivai maana naamini simu yangu inatosha , ila kuna saa za "patek philipe' kuna series huwa zinauzwa dola milioni kadhaa .na watu wananunua na kuvaa
 
😂😂😂😂 Kwamba raisi atoe kipato chake kusolve shida za taifa 🤔😂😂😂😂
Kwa akiili hizi Chadema hamtaongoza nchi 😂😂
Unajua maana ya kuwa kiongozi, hujielewi mzee.....kama kiongozi siwezi kununua saa hata ya milioni moja ikiwa kuna wananchi wangu wanajifungulia juu ya sakafu.
 
Akili ya punguani ndo inaweza kuwaza hivi, kwa mtu ambaye ni kiongozi kutoka moyoni mfano wa Nyerere nafsi lazima ikusute kutokana na ugumu wa maisha wa wananchi unaowaongoza, unakuwaje confident kuongoza nchi iliyo gizani kwa kukosa umeme na bado ukaendelea kutupia vitu vya gaharama!?
Huwa wanajaribu kupata furaha ya moyoni ambayo huwa ni ngumu sana kuipata katika maisha !
Hata ukiiba kura ujue adhabu ya kukosa furaha maisha yako yote inakuhusu 😅😅 !
Maana hiyo pia ni dhulma kama dhulma nyingine yeyote ile 😂😂
Chonde chonde tuwe waadilifu ili tusikose furaha ya moyoni 🙏🙏🙏
 
Mtoa mada ni mtu mpumbavu sana na hana akili, siku zote tunam judge mtu na kile alichonacho kwa nguvu ya mshahara wake!, wangapi mitaani wanatembelea amarok, au volkwagen za milioni 150, kila kitu judge kwa kupimia na mshahara wa muhusika, sasa ujinga ni kila kitu alichonacho kiongozi unaki translate kwenye madawati, shule, inamaana ipo siku utafikia kusema kiatu chake kinatosha kujengea choo cha shule! 😁😁😁
Cdm sijui wanatumiaga akili gani.
Nlimwambia mimi kuwa wanawake watakuvamia kwenye huu uzi mpaka uukimbie. Na leo mumchambe sana. Anataka msiwe mnapewa hata zawadi.
 
Huwa wanajaribu kupata furaha ya moyoni ambayo huwa ni ngumu sana kuipata katika maisha !
Hata ukiiba kura ujue adhabu ya kukosa furaha maisha yako yote inakuhusu 😅😅 !
Maana hiyo pia ni dhulma kama dhulma nyingine yeyote ile 😂😂
Chonde chonde tuwe waadilifu ili tusikose furaha ya moyoni 🙏🙏🙏
Ukitawaliwa na roho ya kishetani hauwezi ku-feel guilty consciousness, roho inakuwa ngumu haswaa.
 
Back
Top Bottom