Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshaakuwa mtu wa anasa baada kuangukiwa na uraisHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Hapo sasaHatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Haswa Dunia yenyewe hii ya kupitaUkiwa nazo zitumie ukizikosa zijutie !
Mambo ya Ujamaa tulishayatupilia mbali huko Chumbe ! Miaka ileee !!
Wahenga wenzangu wanalikumbuka Azimio letu !!
Mm Nina bifu na Samia ila kuhusu nguo zake na saa zake acheni avae jmn duh mnatakaavae ya elf tano mtu kutokaroya familia ?Wacha avae..Kuvaa ni kawaida kwa hadhi yake..
Mama vaa upendavyo, ila kazi uliyonayo ndio muhimu...
KAZI YA UONGOZI..
Soma hiyo heading vizuri, acha mtu avae anachokipendaHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Onyesha picha aliyovaa hio saa,
Tanzania "ufake" ni mwingi kuliko uhalisia ndugu Kiranga .Kama ni hivyo hilo janga lingine.
Rais mzima anavaa vitu fake.
Kuna kitu tunakikosea sana.Kumbuka huyu TUMEMWAJIRI na tunapoona ana matumizi yanayotia wasiwasi ukilinganisha na mshahara tunaompa tuna haki ya kushituka na kuhoji.
Unatakaje maskini?Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Unakula zako au za Umma. ??!Haswa Dunia yenyewe hii ya kupita
Mimi kwa safari yes tena hata siku 3 tu naweza kata ticket hata iwe Ontario kuangalia Naigara falls naenda
Na sasa napaa tena maana weekend inaingia
Umetisha Mkuu !Nimeingia duka lao hapa na bei zake zimechangamka kidogo
Ila ni kawaida kwa wenye nazo na mimi nanunua moja kwa mwanangu kwani ni gold tupu
Hizi nimepiga hapa dukani mida hii kabla sijapaa View attachment 2911976View attachment 2911977
Sio Vzur kuaangalia mambo Personal ya Mama. Kikubwa tumuombee hajitaid kupunguza mfumuko wa Bei za Bidhaa.Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572