Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

How peety isssues like these,opposition part,are we in your positive mind you discuss like things like watches? Reaal brother? You shows that you can not handle country if things lime this
 
Ukiwa nazo zitumie ukizikosa zijutie !
Mambo ya Ujamaa tulishayatupilia mbali huko Chumbe ! Miaka ileee !!
Wahenga wenzangu wanalikumbuka Azimio letu !!
Haswa Dunia yenyewe hii ya kupita
Mimi kwa safari yes tena hata siku 3 tu naweza kata ticket hata iwe Ontario kuangalia Naigara falls naenda
Na sasa napaa tena maana weekend inaingia
 
Onyesha picha aliyovaa hio saa,
IMG-20240221-WA0045.jpg
 
Mfalme Suleiman alipewa vyote alivyotaka vya dunia hii na akatoa jumuisho ya kwamba hata baada ya kupata fahari yote ya dunia hii vyote ni upuuzi mtupu..itakuwa ni bahati mbaya kufahamu busara hii ya Mfalme Suleiman wakati ukiwa kuzimu!

Pascal Mayalla itakufaidia nini kupata fahari yote ya dunia hii na kisha kupoteza roho yako??????​

 
Maisha hatuwezi fanana, kila mtu aishi kulingana urefu wa kamba yake, ukiwa na poor mindset kila kitu utaona watu wanakosea. Niwakumbushe watu tu kila mtu kuna kitu anakipenda sana,mngine anapenda nice cars,mngine mavazi ,mngine nyumba nzuri ,mngine wanawake, mngine kutoa msaada,mngine kula vizuri ,kwa hiyo kama una misuli ya kiuchumi utachukuwa kile cha level yako.
 
Kumbuka huyu TUMEMWAJIRI na tunapoona ana matumizi yanayotia wasiwasi ukilinganisha na mshahara tunaompa tuna haki ya kushituka na kuhoji.
Kuna kitu tunakikosea sana.
Yeye ni Rais wa nchi.
Inawezekana hiyo saa ni maalumu pia kwa wadhifa wake tena kwa order maalum. Labda inawasaidia PSU wanapokuwa distanced naye kama akienda faragha waweze kutrack usalama wake.

Tulie na uongozi wake mbovu, mambo yake sijui kavaa nini, au anakula nini ni kuuingilia ubinadamu wake na hilo halipo sawa
 
Mambo mengi sana ni ya hovyo nchi hii lakini
Kujadili saa ya milioni kumi aliyovaa rais ni kuishiwa hoja
Kuna maelfu ya hoja za kujadili zaidi ya saa ya rais hivyo vitu vya kawaida sana
Kuvaa vya gharama ni hobi
Mfanyibiashara wa kawaida sana anaweza kuwa anavaa saa za gharama kuliko hiyo ya rais
Mjadili vya msingi
 
Haswa Dunia yenyewe hii ya kupita
Mimi kwa safari yes tena hata siku 3 tu naweza kata ticket hata iwe Ontario kuangalia Naigara falls naenda
Na sasa napaa tena maana weekend inaingia
Unakula zako au za Umma. ??!
😅😅😅🙏🙏
 
Back
Top Bottom