Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.

Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.

Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.

Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!. View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.

Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.

We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
Hata hivyo hizo suti bei ya kawaida sema ni dharau tu za baadhi ya wazungu
 
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?

Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Ungejua hizo smart watch ni za kishamba! Yani mtu aache kuvaa classic watch alavae ki smart watch kama mtoto
 
Wanawake wengi wanajipenda hasa kwenye mavazi, nywele n.k.

I had a girlfriend in past, yeye yupo radhi watoto wake wasile nyama lakini sio yeye kutovaa.

Mtindo gani wa nguo uingie Mjini yeye asivae.

Mikufu ya dhahabu kuanzia ya Mkononi hadi hereni.

Kwahiyo sio ajabu, namba Moja wetu naye akawa hivyo. Akajibana kwenye mishahara yake pamoja na Posho zake za safari ili kutimiza ndoto ya kuvaa saa ya dhahabu.

Hata hivyo sote tunajua Rais hana anacholipia Kwa mshahara wake, tangu ana amka hadi analala anagharamiwa na Serikali.

So possibly akatumia mshahara wake kufanya hayo
 
Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Kumbuka huyu TUMEMWAJIRI na tunapoona ana matumizi yanayotia wasiwasi ukilinganisha na mshahara tunaompa tuna haki ya kushituka na kuhoji.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
madarasa ya nini? muacheni mama avae ainjoi maisha tu kwasababu huku nyuma watumishi wake wa umma wanatishiwa kutokulipwa mishahara kwasababu ya PEPMIS!;
 
Back
Top Bottom