Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Mwache ajipambe, hovi saa ya kimulimuli bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo hizo suti bei ya kawaida sema ni dharau tu za baadhi ya wazunguAsipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.
Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.
Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.
Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!. View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.
Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.
We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
Watu hawakosi maji kwa sababu rais kavaa saa nzuri.Sio sawa kwa rais wa nchi ambayo akina mama wanakosa maji salama au kujifungulia chini ya miti kuvaa saa ya mamia ya mamilioni!!!
Zawadi kwa jambo gani? Na ni nani huyo/ au nchi gani imempatia?Je kama kapewa zawadi?
Ungejua hizo smart watch ni za kishamba! Yani mtu aache kuvaa classic watch alavae ki smart watch kama mtotoKuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Kumbuka huyu TUMEMWAJIRI na tunapoona ana matumizi yanayotia wasiwasi ukilinganisha na mshahara tunaompa tuna haki ya kushituka na kuhoji.Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Picha akiwa amevaa hiyo saaHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Kwa pesa zipi au za nani?Hata ningekuwa mimi ningevaa ya thamani kubwa zaidi.
We live once
Unawashwa na nini sasa?Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Wachana na huyo Sukuma gangJe kama kapewa zawadi?
Mkuu mleta mada ni sukuma gang wa musomaHatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
madarasa ya nini? muacheni mama avae ainjoi maisha tu kwasababu huku nyuma watumishi wake wa umma wanatishiwa kutokulipwa mishahara kwasababu ya PEPMIS!;Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Mshahara ni sh million 9 ila ukiweka na na marupurupu ya kusafiri hapa na hapa ni million 120 kwa mweziAnalipwa shilingi ngapi kwa mwezi?
Una wivu wa kike japo sijajua jinsia yako...Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572