Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Mtoa mada ni mtu mpumbavu sana na hana akili, siku zote tunam judge mtu na kile alichonacho kwa nguvu ya mshahara wake!, wangapi mitaani wanatembelea amarok, au volkwagen za milioni 150, kila kitu judge kwa kupimia na mshahara wa muhusika, sasa ujinga ni kila kitu alichonacho kiongozi unaki translate kwenye madawati, shule, inamaana ipo siku utafikia kusema kiatu chake kinatosha kujengea choo cha shule! 😁😁😁
Cdm sijui wanatumiaga akili gani.
 
Mtoa mada ni mtu mpumbavu sana na hana akili, siku zote tunam judge mtu na kile alichonacho kwa nguvu ya mshahara wake!, wangapi mitaani wanatembelea amarok, au volkwagen za milioni 150, kila kitu judge kwa kupimia na mshahara wa muhusika, sasa ujinga ni kila kitu alichonacho kiongozi unaki translate kwenye madawati, shule, inamaana ipo siku utafikia kusema kiatu chake kinatosha kujengea choo cha shule! 😁😁😁
Cdm sijui wanatumiaga akili gani.
Mkuu huyu Ni mtu wenu huko Mafisini... Sema Ni muhasi.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Mkuu ukitaka tukuelewe vizuri, tuwekee saa aliyokuwa anavaa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kwanza ili tufanye ulinganifu mzuri.

Pia uweke saa za kawaida zenye mfanano sawa na huo na bei zake huku ukiainisha specification na features za original na kawaida kwa uhakika.

Siku zote mpinzani husema manukato ya mpinzani wake, ni ushuzi!
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.

Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.

Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.

Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!.
IMG_0341.JPG

images (13).jpeg
hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.

Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.

We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
 
Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.

Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.

Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.

Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!. View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.

Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.

We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
Mkuu shida ni mindset za kijamaa na kijima. Hapo ndio pakufanyia kazi.

Nawe Mzee usianze kuingiza hisia zako za kiimani kwenye mjadala huu wa mavazi ya mtu! Hapo unapuliza na kuchochea kwa wakati mmoja!
 
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?

Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Kwahiyo watu wote wavae apple smart kisa wewe unazipenda?

Watu hawana saa moja,wanakua wanabadili,mimi ninayo Apple smart na ninazo saa za kawaida,so siku ukinikuta nimevaa saa ya kawaida utaniona siko sawa kisa nimevaa saa ambayo wewe huipendi? Life is the choice.
 
Umasikini kitu kibaya sana,unataka Rais avae saa kama unayo vaa wewe? Yani unajadili saa ya rais?

Unakuta vijitu vingine vipo kwa shemeji zao kwa hisani ya Dada zao kuolewa hapo,ila navyenyewe eti vinapiga kelele "Kodi zetu" fuatilieni saa wanazova viongozi Duniani ili mtoe ushamba na ujinga wa kua na mawazo ya kijima.
 
Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.

Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.

Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.

Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!. View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.

Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.

We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
Ni kweli kwamba we deserve the best money can buy ila kwa nafasi ya Rais anapaswa kufanya mambo kulingana na hali ya wananchi wake ambao ndio mabosi wake.

Mfanyakazi huwezi ukawa unafanya anasa kuliko waliokuajiri.

Kila asubuhi napo katiza mitaani nakuta watu wamelala mitaroni na chini ya madaraja.

Sensa ya Taifa inasema more than 70% ya wakazi wa Dar sio home owners.

Tanzania ni nchi maskini na kwa sasa tunapitia changamoto za umeme , sukari na uhaba wa dola.

Huduma nyinginezo nazo hazina uhakika, afya, elimu na maji ni ya kubahatisha.

Halafu unaamka unakutana na habari kwamba kuna kiongozi anavaa saa ya milioni Mia.

Ukikaa na kutafakari mienendo yake ya safari za ulaya kila kukicha unaamini kuwa anaweza fanya hivyo kwa kuwa tayari tunaona ni mtu wa matumizi.

Nimshauri tu mkuu wetu kuwa anapofanya jambo aangalie anaongoza watu wa aina gani.

Rais ni mlezi na mfariji mkuu, kwa
Nafasi yake anatakiwa kuhakikisha wananchi anaowaongoza wanakua na imani nae, ila kwa matumizi ya aina hii wataanza kupata mashaka nae.

Ingekua ni celebrities kama kina Kajala na wengineo hakuna anayejali maana tambo za bei ndio zinawapaisha zaidi.
 
Umasikini kitu kibaya sana,unataka Rais avae saa kama unayo vaa wewe? Yani unajadili saa ya rais?

Unakuta vijitu vingine vipo kwa shemeji zao kwa hisani ya Dada zao kuolewa hapo,ila navyenyewe eti vinapiga kelele "Kodi zetu" fuatilieni saa wanazova viongozi Duniani ili mtoe ushamba na ujinga wa kua na mawazo ya kijima.
Sio sawa kwa rais wa nchi ambayo akina mama wanakosa maji salama au kujifungulia chini ya miti kuvaa saa ya mamia ya mamilioni!!!
 
Back
Top Bottom