stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ndio nimeona Ila hayo ni mambo ya familia zaidi, ule mkufu aliotupia siku ile nao hamjatafuta bei yake bado?Ila umetaka picha nimekuletea mkuu😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nimeona Ila hayo ni mambo ya familia zaidi, ule mkufu aliotupia siku ile nao hamjatafuta bei yake bado?Ila umetaka picha nimekuletea mkuu😂😂
Mimi sitaki kuingilia mambo ya familia za watu, hio imekaa kifamilia zaidi sasa unapoanza kuhoji as if yeye hana mume unakua hueleweki
Tafuta hela na wewe ununue sio kutwa kujadili wake za watu, je kama amenunuliwa na mme wake?Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Tupe bei ya ule mkufu na zile hereni za kimalikia Elizabeth,Hahaha
USSR
Aiuze tuongezee mtaji JNHPPJe kama kapewa zawadi?
Haha mkuu mimi sipo katika kuthaminisha vito anavyovaa mama. Umetaka msaada wa picha na kwasababu nimeiona sehemu nikaona nirahishe juu ya ulizo lako😄😄🙌Ndio nimeona Ila hayo ni mambo ya familia zaidi, ule mkufu aliotupia siku ile nao hamjatafuta bei yake bado?
Kama ni hivyo hilo janga lingine.Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Lete na bei ya zile hereni na mkufu tuone zinafika ngapi mzani unaweza ukawa unacheza 500Haha mkuu mimi sipo katika kuthaminisha vito anavyovaa mama. Umetaka msaada wa picha na kwasababu nimeiona sehemu nikaona nirahishe juu ya ulizo lako😄😄🙌
Sio fake km unataka kuhakikisha nenda kamwambie akupe uikague,Kama ni hivyo hilo janga lingine.
Rais mzima anavaa vitu fake.
CrapHii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Zawadi anazopewa kiongozi wa nchi akiwa madarakani,sio Mali yake.Je kama kapewa zawadi?
Kama kapewa zawadi basi no mali ya serikali ilibidi aikabidhi serikalini kama kabaki nayo basi ni hongo.Je kama kapewa zawadi?
Samia hana shida ya kuvaa kitu fake.Sio fake km unataka kuhakikisha nenda kamwambie akupe uikague,