Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Kumbuka,
Ni Rais unaemzungumzia 🐒

hata hivyo hata PhD yake pia ulinung'unika, kualikwa kwake Rome na Pope, ulinung'unika, kusafiri kwake ng'ambo mara kwa mara manung'uniko, kuchangia mamilioni kwenye club zinazoshiriki mashindano ya kimataifa kuwatia hamasa manung'uniko, kusafiri na wasanii kwenda india manung'uniko, kuingilia katika kwake matibabu ya viongozi na wananchi manung'uniko, akisifiwa manung'uniko, na kwahiyo nung'uniko hili nalo litapita 🐒
 
Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.

Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.

Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.

Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!. View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.

Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.

We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!. Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P
Well defended...
Ila mi nisaidie tu
.. what's wrong with 'serpenti'!?
 
Kumbuka,
Ni Rais unaemzungumzia 🐒

hata hivyo hata PhD yake pia ulinung'unika, kualikwa kwake Rome na Pope, ulinung'unika, kusafiri kwake ng'ambo mara kwa mara manung'uniko, kuchangia mamilioni kwenye club zinazoshiriki mashindano ya kimataifa kuwatia hamasa manung'uniko, kusafiri na wasanii kwenda india manung'uniko, kuingilia katika kwake matibabu ya viongozi na wananchi manung'uniko, akisifiwa manung'uniko, na kwahiyo nung'uniko hili nalo litapita 🐒
Mkuu unajua hata Rais angevaa saa ya bei rahisi,hilo nalo lingekua ni mjadala pia,ujima umewaharibu sana vichwa hawa watu.
 
Sio sawa kwa rais wa nchi ambayo akina mama wanakosa maji salama au kujifungulia chini ya miti kuvaa saa ya mamia ya mamilioni!!!
Kwa mawazo haya uliyonayo,itakuchukua miaka mingi sana kuja kuelewa nilicho kiandika,endelea tu kuishi maisha ya kijima.
 
Kwa mawazo haya uliyonayo,itakuchukua miaka mingi sana kuja kuelewa nilicho kiandika,endelea tu kuishi maisha ya kijima.
Usifikiri kuwa ufahari katika nchi maskini zinazoomba omba kila ukicha ni sawa lazima tuwe na ufahamu mzuri wakati mwingine tunachekwa na wafadhili wetu. Hivi kweli hiyo misafara mirefu ya magari 50 unaona sawa tu?! Hatuna mambo ya msingi lazima tuwenayo kwanza ufahari baadaye. Viongozi wetu wanatembelea magari ya kifahari kuliko viongozi wa Uingereza au Japan yanapotengenezwa magari hayo, na ni nchi wafadhili wetu, sawa kweli?
 
Usifikiri kuwa ufahari katika nchi maskini zinazoomba omba kila ukicha ni sawa lazima tuwe na ufahamu mzuri wakati mwingine tunachekwa na wafadhili wetu. Hivi kweli hiyo misafara mirefu ya magari 50 unaona sawa tu?! Hatuna mambo ya msingi lazima tuwenayo kwanza ufahari baadaye. Viongozi wetu wanatembelea magari ya kifahari kuliko viongozi wa Uingereza au Japan yanapotengenezwa magari hayo, na ni nchi wafadhili wetu, sawa kweli?
Umerukia kwenye magari tena? Kwahiyo hutaki tena kujadili sasa aliyovaa rais wa nchi? Au umesha sahau mada inahusu nini hapa?
 
Tangu awe kiongozi wa nchi, Makamu mpaka Rais, pamoja na hayo, ana mume, hivi milioni hizo atakosa? Hata akiamua kukopea mshahara?
Mkuu hawa watu waliotawaliwa na fikra za kijima hua wanafikiri kuishi kimasikini ndio uzalendo,

Ndio maana hua wanawachukia matajiri,

wakiona watu wanatumia hela zao hua wanawaona wanachezea hela,

Fikra za kimasikini ni mbaya sana,huwezi kuendelea,utajikuta kila siku wewe upo pale pale tu na kazi yako kubwa ni kulaumu watu.
 
ina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Extravagance lives !
Ni kawaida katika third Countries !
Jamaa aliandika humu kwamba huwa tunaenda kuwaomba misaada wale ambao usafiri wao huwa ni wa Treni huko makwao ! Sisi waombaji usafiri wetu ni mavieite !!
That’s life ! Ponda mali kufa kwaja !!
😅🙏🙏🙏
 
1708573710993.png
 
Nikijipiga na ka show-off kwa wife naweza kumpatia potelea mbali nidaiwe miaka 4
Sasa ina maana mme wake hawezi kumzawadia Valentines?

Kuna mshkaji wangu yeye na saa saa na yeye ana moja hiyo ya £40,000 kwa sasa ni Omega speedmaster professional
Na ni wa kawaida sana
Roho ikitaka na hela zipo fanya
Mimi sio mpenzi wa saa ila zina heshima yake
 
Nikijipiga na ka show-off kwa wife naweza kumpatia potelea mbali nidaiwe miaka 4
Sasa ina maana mme wake hawezi kumzawadia Valentines?

Kuna mshkaji wangu yeye na saa saa na yeye ana moja hiyo ya £40,000 kwa sasa ni Omega speedmaster professional
Na ni wa kawaida sana
Roho ikitaka na hela zipo fanya
Mimi sio mpenzi wa saa ila zina heshima yake
Ukiwa nazo zitumie ukizikosa zijutie !
Mambo ya Ujamaa tulishayatupilia mbali huko Chumbe ! Miaka ileee !!
Wahenga wenzangu wanalikumbuka Azimio letu !!
 
Back
Top Bottom