Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,301
- 1,738
Elewa kauli "darasa"Ukicopy kitu jaribu kushirikisha na akili yako kidogo.
Hiyo pesa ijenge madarasa 12 na samani zake? Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa kauli "darasa"Ukicopy kitu jaribu kushirikisha na akili yako kidogo.
Hiyo pesa ijenge madarasa 12 na samani zake? Ulishawahi kujenga hata banda la kuku?
Labda alipewa Zawadi huko. Safarini yaani hakununua kwa pesa zake ingawa kama Rais wetu ana uwezo wa kununua!!!Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Bei gani hiyo itafutwe!!!Mama kuniangusha angetakiwa apige kitu cha Jacobs, Muller - 1B.
Hayo anayajua mvaaaji hii saaina nini cha ziada Tofauti na saa nyinginezo?
Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Wa kuidai hiyo Katiba ni akina nani. ??!Katiba ndio dawa
Ni symbol ya nyoka, ilianzia kwa Mama yetu Eva/Hawa alidanganywa na serpenti, japo kwenye Bible wameandika nyoka lakini ukweli ni kuwa serpent baada ya kuingia bustanini alijigeuza mtu kijana HB shababi, sio tuu alimrubuni Eva kwa kuonyesha tunda linavyomegwa, bali alimfanyia practical ya kumegwa tunda kwa kummega.Well defended...
Ila mi nisaidie tu
.. what's wrong with 'serpenti'!?
We Nifa... wanaovaa fake ni masikini, rais wetu avae fake?!. why?!.Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Kabisa !Sioni kama ni kitu cha ajabu ni mtumishi wa umma kwa miaka mingi, which means she can afford hicho kitu.
Kama kazawadiwa asivae kwa kuogopa watu watamuonaje?.Ni kweli kwamba we deserve the best money can buy ila kwa nafasi ya Rais anapaswa kufanya mambo kulingana na hali ya wananchi wake ambao ndio mabosi wake.
Mfanyakazi huwezi ukawa unafanya anasa kuliko waliokuajiri.
Kila asubuhi napo katiza mitaani nakuta watu wamelala mitaroni na chini ya madaraja.
Sensa ya Taifa inasema more than 70% ya wakazi wa Dar sio home owners.
Tanzania ni nchi maskini na kwa sasa tunapitia changamoto za umeme , sukari na uhaba wa dola.
Huduma nyinginezo nazo hazina uhakika, afya, elimu na maji ni ya kubahatisha.
Halafu unaamka unakutana na habari kwamba kuna kiongozi anavaa saa ya milioni Mia.
Ukikaa na kutafakari mienendo yake ya safari za ulaya kila kukicha unaamini kuwa anaweza fanya hivyo kwa kuwa tayari tunaona ni mtu wa matumizi.
Nimshauri tu mkuu wetu kuwa anapofanya jambo aangalie anaongoza watu wa aina gani.
Rais ni mlezi na mfariji mkuu, kwa
Nafasi yake anatakiwa kuhakikisha wananchi anaowaongoza wanakua na imani nae, ila kwa matumizi ya aina hii wataanza kupata mashaka nae.
Ingekua ni celebrities kama kina Kajala na wengineo hakuna anayejali maana tambo za bei ndio zinawapaisha zaidi.
Ndio asivae.Kama kazawadiwa asivae kwa kuogopa watu watamuonaje?.
P
Kunywa maji upunguze stress mkuuNi kweli kwamba we deserve the best money can buy ila kwa nafasi ya Rais anapaswa kufanya mambo kulingana na hali ya wananchi wake ambao ndio mabosi wake.
Mfanyakazi huwezi ukawa unafanya anasa kuliko waliokuajiri.
Kila asubuhi napo katiza mitaani nakuta watu wamelala mitaroni na chini ya madaraja.
Sensa ya Taifa inasema more than 70% ya wakazi wa Dar sio home owners.
Tanzania ni nchi maskini na kwa sasa tunapitia changamoto za umeme , sukari na uhaba wa dola.
Huduma nyinginezo nazo hazina uhakika, afya, elimu na maji ni ya kubahatisha.
Halafu unaamka unakutana na habari kwamba kuna kiongozi anavaa saa ya milioni Mia.
Ukikaa na kutafakari mienendo yake ya safari za ulaya kila kukicha unaamini kuwa anaweza fanya hivyo kwa kuwa tayari tunaona ni mtu wa matumizi.
Nimshauri tu mkuu wetu kuwa anapofanya jambo aangalie anaongoza watu wa aina gani.
Rais ni mlezi na mfariji mkuu, kwa
Nafasi yake anatakiwa kuhakikisha wananchi anaowaongoza wanakua na imani nae, ila kwa matumizi ya aina hii wataanza kupata mashaka nae.
Ingekua ni celebrities kama kina Kajala na wengineo hakuna anayejali maana tambo za bei ndio zinawapaisha zaidi.
Hakuna ubaya kupenda raha na vitu vizuri!, kama unapenda halafu unaficga huo ni unafiki!, tuna msisitiza Mama, vaa vizuri, dress well, look good, kula vizuri, relax, ponda raha, paa sana hewani pasua anga...Ndio asivae.
Kwakua tutamuona kama ni mpenda anasa wakati wananchi wake wengi ni mafukara.
Kuna ubaya ukiwa kiongozi wa nchi maskini.Hakuna ubaya kupenda raha na vitu vizuri!, kama unapenda halafu unaficga huo ni unafiki!, tuna msisitiza Mama, vaa vizuri, dress well, look good, kula vizuri, relax, ponda raha, paa sana hewani pasua anga...
P