Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Duuuuu hiii kali mtu kazi yake anakutana na watu wazito wa mataifa makubwa,kati na masikini.
Alafu asivae kuendana na hadhi ya kazi yake,kumbuka muonekano ndio ujasiri wa mtu.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Tuache wivu kwani kunashida gani mtu kuvaa saa inayogharimu hiyo hela! Kama hela anayo, watu waache kutumia mishahara Yao wawe wanawaza madarasa tuu muda wote?! Kuna shule zaidi 175 zimejengwa kwa mwaka 2023 na January hii watoto wapo, shule Moja million mia Tano plus . Raisi wetu tumjie moyo Tanzania itajengwa siku Moja ikafafana marekani.
 
Kwa hiyo saa yake ina thamani sawa na saa ya Floyd Mayweather? hapo ndo utaona tofauti ya Nyerere na hawa waliomfuatia, hivi hata kama umepewa zawadi kuna jambo utawakatalia kuhusu rasilimali za nchi?

Hawana hata ile hisia watanzania wengi wanaowaongoza wamejaa umaskini kiasi kwamba kupata tu yale mahitaji muhimu kama chakula, matibabu ni mtihani.....
 
Ameanza kuwa mtumishi wa serikali siku nyingi
Unadhani hana hela?
Nyerere amekuwa rais miaka mingapi, nakuapia hakuwa na hela ya kununua saa hiyo.....yule mzee was a genious, hawezi kufanya uharamia huo kwa sababu aliwapenda wananchi maskini.
 
Umetisha Mkuu !
Ila kama unatumia za Umma kaa chonjo !
🙏🙏
Mkuu nimefanya kazi zaidi ya miaka 40 hapa mikono yangu imepokea za halali tupu
Ni mshahara na biashara zangu tu
Umeiona hiyo imekunjwa kama nyoka bei £43100 yaani tsh 130m
Ila siwezi kununua hiyo mkuu
Nchi za kimasikini zinapigwa haswa ila sisi tunatoka jasho na msoto acha tule za halali tu
 
Sio sawa kwa rais wa nchi ambayo akina mama wanakosa maji salama au kujifungulia chini ya miti kuvaa saa ya mamia ya mamilioni!!!
Kwa hio ukiwa raisi inabidi uishi kimaskini hadi kero zote za wananchi ziishe ?

Yan mfano niwe mimi raisi ninavyopenda viatu hivi nivae viatu vya karume kisa majority ndio mnavaa?

Acheni akili za kijamaa hizo,
Kama ana hela avae hata ya Billion
 
Usifikiri kuwa ufahari katika nchi maskini zinazoomba omba kila ukicha ni sawa lazima tuwe na ufahamu mzuri wakati mwingine tunachekwa na wafadhili wetu. Hivi kweli hiyo misafara mirefu ya magari 50 unaona sawa tu?! Hatuna mambo ya msingi lazima tuwenayo kwanza ufahari baadaye. Viongozi wetu wanatembelea magari ya kifahari kuliko viongozi wa Uingereza au Japan yanapotengenezwa magari hayo, na ni nchi wafadhili wetu, sawa kweli?
Una uhakika gari la waziri mkuu wa Tanzania ni la kifahari kuliko la waziri mkuu wa UK au Japan,?
 
Duuuuu hiii kali mtu kazi yake anakutana na watu wazito wa mataifa makubwa,kati na masikini.
Alafu asivae kuendana na hadhi ya kazi yake,kumbuka muonekano ndio ujasiri wa mtu.
Nyerere alikuwa na mwonekano gani zaidi ya marais wenzake, unadhani huyu anaheshimika sana kimataifa zaidi ya Nyerere, acha kushabikia uzuzu.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha

Mama anaupiga mwingiView attachment 2911553
View attachment 2911572
Moyo wa ukipata kitumie ukikosa kijutie ndio moyo wa samia. Ndio maana urais wake uishie kua wa urithi tu. Nchi hii inahitaji kiongozi asiye mbinafsi na mbadhirifu kuweza kuendelea kiuchumi watu wake.
 
Kwa hiyo saa yake ina thamani sawa na saa ya Floyd Mayweather? hapo ndo utaona tofauti ya Nyerere na hawa waliomfuatia, hivi hata kama umepewa zawadi kuna jambo utawakatalia kuhusu rasilimali za nchi?

Hawana hata ile hisia watanzania wengi wanaowaongoza wamejaa umaskini kiasi kwamba kupata tu yale mahitaji muhimu kama chakula, matibabu ni mtihani.....
Spika mstaafu Anna Makinda alituomba Wananchi tuwahurumie Wabunge maana wanaishi maisha magumu sana !!
😱😱
Sikujua alikuwa ametumia vigezo gani 😂😅🙏
 
Kwa hio ukiwa raisi inabidi uishi kimaskini hadi kero zote za wananchi ziishe ?

Yan mfano niwe mimi raisi ninavyopenda viatu hivi nivae viatu vya karume kisa majority ndio mnavaa?

Acheni akili za kijamaa hizo,
Kama ana hela avae hata ya Billion
Kwanza wanatakiwa wajiulize ameipata vp, mfano kuna watu wa kawaida tu ila kwenye birthday zao wanapewa zawadi za thamani zikiwemo magari nk, unafikiri Rais akipewa zawadi siku muhimu kama hiyo atapewa mitandio tu na perfumes, kwa connection alizonazo.
 
Mkuu nimefanya kazi zaidi ya miaka 40 hapa mikono yangu imepokea za halali tupu
Ni mshahara na biashara zangu tu
Umeiona hiyo imekunjwa kama nyoka bei £43100 yaani tsh 130m
Ila siwezi kununua hiyo mkuu
Nchi za kimasikini zinapigwa haswa ila sisi tunatoka jasho na msoto acha tule za halali tu
Kazi kweli kweli ! 🙏🙏
 
Kwa hio ukiwa raisi inabidi uishi kimaskini hadi kero zote za wananchi ziishe ?

Yan mfano niwe mimi raisi ninavyopenda viatu hivi nivae viatu vya karume kisa majority ndio mnavaa?

Acheni akili za kijamaa hizo,
Kama ana hela avae hata ya Billion
Akili ya punguani ndo inaweza kuwaza hivi, kwa mtu ambaye ni kiongozi kutoka moyoni mfano wa Nyerere nafsi lazima ikusute kutokana na ugumu wa maisha wa wananchi unaowaongoza, unakuwaje confident kuongoza nchi iliyo gizani kwa kukosa umeme na bado ukaendelea kutupia vitu vya gaharama!?
 
Nyerere amekuwa rais miaka mingapi, nakuapia hakuwa na hela ya kununua saa hiyo.....yule mzee was a genious, hawezi kufanya uharamia huo kwa sababu aliwapenda wananchi maskini.
Wewe akili yako inakuambia amekuibia???
Kuanza kumpangia mtu cha kuvaa kisa ni kiongozi wako huo ni ujinga
Tafuta hela stress ni ugonjwa wa wazungu
Wewe kinachokusumbua ni njaa,tamaa na wivuuu
 
Wamesema madarasa wewe unaongeza vya kwako, ongeza basi na sare za wanafunzi.
Punguza mihemko, title imebadirishwa hiyo.

Mwanzo aliandika hiyo pesa inajenga madarasa 12 n a furniture zake. Alikuwa anamaanisha madarasa yawe yamekamilika kwa kila kitu, baada ya kukosolewa imebadirishwa.
Elewa kauli "darasa"
 
Wabongo tupunguze ushamba, unataka Raisi avae saa za kariakoo kama unazovaa wewe.?

Si ajabu ungelikuwa ni ww ungevaa ya mil 200 kabisaa.
Hawajui hiyo ni namna ya kupunguza stress tu !
Maana wakubwa siku zote maisha yao ni ya stress nyingi !
Sisi Wanyamwezi tunasemaga “ The bigger your income the bigger your problems !! 🙏🙏

Stressful life inawahusu !!
 
Back
Top Bottom