Wananchi maskini watajijua, siyo shida zetu...Ndio shooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi maskini watajijua, siyo shida zetu...Ndio shooo
Kabishane na waliovaa suruali zenye viraka kwa sababu yake,Failure kwa sababu hakuwa fisadi kama mlivyo nyie?
Hata mioyo iwe migumu kiasi gani lakini furaha moyoni huwa ni ndogo sana !Ukitawaliwa na roho ya kishetani hauwezi ku-feel guilty consciousness, roho inakuwa ngumu haswaa.
Kabishane na waliovaa suruali zenye viraka kwa sababu yake,
Kabishane na waliopanga folen masaa 10 ili kununua sukari nusu kg kwa ajiili yake
Kabishane na walionunua nguo kwa zamu
Kabishane na wananchi waliochelewa kuzijua TV Africa nzima kwa ajiili yake 😂
Kabishane na wananchi waliozuiwa kununua computer kisa uroho wake wa madaraka 😂😂
Sasa ndio rais mzuri huyo ?
Amani ya moyoni ni utajiri mkubwa kuliko mali na anasa.Hata mioyo iwe migumu kiasi gani lakini furaha moyoni huwa ni ndogo sana !
Ni sawa na furaha ya mlevi anapokuwa amelewa anahisi furaha,
Lakini akiamka anaamka na mning’inio bab kubwa 😂
Unajua sheria ya zawadi kwa viongozi wa umma?Je kama kapewa zawadi?
Cheki hiyo longines gold watchMkuu nimefanya kazi zaidi ya miaka 40 hapa mikono yangu imepokea za halali tupu
Ni mshahara na biashara zangu tu
Umeiona hiyo imekunjwa kama nyoka bei £43100 yaani tsh 130m
Ila siwezi kununua hiyo mkuu
Nchi za kimasikini zinapigwa haswa ila sisi tunatoka jasho na msoto acha tule za halali tu
Sikutegemea kusoma hili kutoka kwako. Kiongozi mkuu anasomeka fikra zake kwa wananchi wake kwa hata muonekano wake na matumizi yake.Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Sheria hairuhusu mtumishi wa umma kupokea zawadi bila kutoa taarifaJe kama kapewa zawadi?
Sikujua kama unaweza kuwa na low thinking kiasi hiki, kwani hivyo vitu vya umaalum haviwezi wekwa kwa saa ya million 5 na vikafanya kazi ile ile ya saa ya million 100? unapokuwa kiongozi hata mavazi yako yanatoa ujumbe kwa unaowaongoza..kwa mtu anayefahamu kusudi la aliyemuumba kumpa utajiri, uongozi au kitu chochote cha kufanyia watu wengine, hawezi kuwa na muda wa kuwaza anasa! hana nafasi au uwezo kufanya anasa..mara mia watoto wake wafanye fahari za aina hiyo lakini si yeye kama kiongozi.Kuna kitu tunakikosea sana.
Yeye ni Rais wa nchi.
Inawezekana hiyo saa ni maalumu pia kwa wadhifa wake tena kwa order maalum. Labda inawasaidia PSU wanapokuwa distanced naye kama akienda faragha waweze kutrack usalama wake.
Tulie na uongozi wake mbovu, mambo yake sijui kavaa nini, au anakula nini ni kuuingilia ubinadamu wake na hilo halipo sawa
Ni ujinga kiongozi wa nchi masikini tena anayelipwa mshahara kwa kodi za masikini kuvaa saa ya milioni 111 wakati wale unaowaongoza hawana uhakika wa milo motatu kwa siku! Kuna tofauti ya kiongozi na 'boss' Rais anapaswa kuwa kiongozi na sio boss.Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
Sheria hairuhusu mtumishi wa umma kupokea zawadi kiholelaItakua zawadi Mimi Sina neno lingine, mkaja wa Bibi huo kutoka kwa Mchengwerwa kwenda kwa Atu sitaki kuingilia mambo ya familia za watu
Huna brain, kama ipo brain basi haifanyi kaziJe kama kapewa zawadi?
Kwakua hauna uwezo wa kuona shida iliyopoMe sioni shida hapo
Shida iko wapi? Unajua aliemnunulia saa?Kwakua hauna uwezo wa kuona shida iliyopo
Akili yako ndogo kuweza kuonaMe sioni shida hapo