Asipo vaa yeye avae nani?.
Kwanza sio lazima awe amenunua yeye, anaweza kabisa kuwa ni amezawadiwa tuu!.
Pili hata ukinunua kuna ubaya gani?.
Kwangu tatizo sio bei bali rais wetu kuvaa saa yenye kichwa cha serpenti!, atakuwa hakujua yeye anaona tuu kaletewa expensive gift ya saa ya bvlgari serpenti watch kumbe ni amemvaa serpent bila kujijua!.
Siku moja natafuta miwani, nikapita duka fulani nikaipenda miwani fulani ya Cartier. Nilipotaka kuinunua nikaambiwa hiyo ni order ya JK, wameleta only 2 pieces custom made from factory!. Piece moja JK ndio ameichukua, hiyo piece iliyobakia ni sample ya dukani ili watu wafanye order, amini usiamini nilioder, na baada ya kunichukua vipimo, wakanipa hiyo piece, ili order yangu ikifika ndio itakaa sample!, hivyo nikavaa Cartier ya JK!. Naomba nisitaje bei humu nikaonekana na brags!.
View attachment 2911766
View attachment 2911767 hiyo frame ni Cartier pure 22 carat gold, ina grams za kutosha, unauziwa na kupewa certified certificate of authenticity, kwa bank za wenzetu unaitumia kama dhamana!.
Anavaa watch ya Patek Philippe, anatumia peni ya Montblanc Meisterstuck, simu yake ni Iphone 6 Pink Diamond na anapiga suti za Saville!. Wazungu wanatudharau sana na kutuona sisi Watanzania ni masikini sana, walipomuona JK kapiga suti ya Saville wakajua kwa umasikini wetu rais wetu hawezi kununua!, wakasema lazima atakuwa ni amehongwa suti!. Ikaripotiwa JK kahongwa suti!, nilipandisha uzi huu humu JF
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi! walituomba radhi!.
We deserve the best that money can buy!.
Tena watu wanapigia kelele ma VX, mimi nimeshauri viongozi wetu wakuu wakiwemo waheshimiwa wabunge wetu watumie armoured vehicles!.
Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?
P