Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

Jina tu linaonesha ni mtu wa namna gani? Yaani watu wote duniani ukaamua kuja na ID ya John Makonda. Akili yako imekaa kwenye makalio kama Makonda ndio maana umeandika ushuzi. Nani kasema huyu atayamaliza matatizo? Kwa uwezo gani alionao huyo bi. Tozo ili atatue matatizo zaidi ya kuturembulia macho tu?

Hoja ni tunataka majibu, kama mtumishi wa umma Rena mtumishi namba 1, ametoa wapi pesa za kununua saa ya 100M+ wakati nchi ipo gizani, hatuna uhakika wa matibabu, elimu wala milo 3 tokana na ugumu wa maisha? Atujibu huyo bi wa kizanzibar.
MTU aliyekosa hoja hukimbilia matusi Hilo ni jina langu je wewe ni jina lako kama wazazi wako walikupa jina hilo au wewe umependa hivyo unafanana nalo unabebeshwa hoja Kwa manufaa ya wengine
 
Hahaaaaaa, hujui kama hata hiyo sukari haipo nchini au uchawa umekutoa akili bwana mdogo? Inawezekana najadiliana na mtu anayelishwa na kuvalishwa na shemeji yake hivyo hukui chochote kuhusu maisha. Byeeeeee
Huna akili wewe,umeshindwa kujibu hata swali langu moja,

Kwahiyo kama sukari haipo ndio iagizwe kwa mshahara wa rais? Wewe ulitaka mshara wa rais autumie kwenye kununua nini ndio uone kua yupo sawa?

Ngoja nikwambie kitu wewe katoto ka darasa la pili,mimi sijadili hii issue kwa ushabiki wa kisiasa wala hua sijihusishi na mabishano ya kisiasa hapa JF ila nimeshangaa kwa mtu mwenye akili za kijima na kimasikini kama wewe kutaka kumpangia rais azitumiaje hela zake!
 
Tanzania "ufake" ni mwingi kuliko uhalisia ndugu Kiranga .
Inawezekana hata mimi ni fake.
Wewe fake,yeye pia ni fake.
Of course kama nchi inaweza kuandika mambo mengi kwenye katiba, halafu ya watu wa hiyo nchi yakawa tofauti kabisa na hiyo katiba, hilo linaonesha u fake mwingi.

Lakini, hilo halimaanishi Samia Suluhu Hassan anavaa saa fake.
 
Hatununuliki kirahisi hivyo
Tumnange kwenye ishu za kimsingi, sasa huo mshahara wake anautumiaje kama tunaanza kumkagua mpaka mavao yake?
nyie ndo mnachangia uwepo wa wezi , kuwa rais sio sawa na usanii wa Zuchu , hata yeye kupokea zawadi yenye thaman ya 100M anapaswa kuhoji kwann ? apewe , ana nini cha maana kafanya kufanya mtu ampe kitu cha thaman ya 100M , NYEREEE HAKUWA MJINGA HATA KDG
 
Kichwa cha habari kitoshe na kieleweke

Milioni 111,000,000/= anaivaa mkononi tu?

Yaani Rais anavaa KITUO ZAIDI YA KUMOJA CHA AFYA?

JE amedunduliza kwa muda gani?

Ila uzalendo ni kitu cha bure kama ilivyo heshima yaani kweli?saa milioni 111000,000/=
 
Kichwa cha habari kitoshe na kieleweke

Milioni 111,000,000/= anaivaa mkononi tu?

Yaani Rais anavaa KITUO ZAIDI YA KUMOJA CHA AFYA?

JE amedunduliza kwa muda gani?

Ila uzalendo ni kitu cha bure kama ilivyo heshima yaani kweli?saa milioni 111000,000/=
Unaijua posho yake akiwa nje ya kituo chake cha kazi, afterall ni maamuzi yake kutumia jasho lake atakavyo
 
Of course kama nchi inaweza kuandika mambo mengi kwenye katiba, halafu ya watu wa hiyo nchi yakawa tofauti kabisa na hiyo katiba, hilo linaonesha u fake mwingi.

Lakini, hilo halimaanishi Samia Suluhu Hassan anavaa saa fake.
Hahaaaaa ile saa original mkuu. 100+M ipo mkononi mwa mama Abdul.
 
Unaongozaje asilimia kubwa ya watu mafukara, akina mama wanajifungulia sakafuni, maji shida, hakuna pesa za kuwafadhili vijana masomo yao ya chuo, nchi ipo gizani halafu unakuwa na confidence ya kununua saa ya milioni mia na ushee.​
Kwa sababu hata usiponunua hiyo saa ya $40,000.00 bado wataendelea kuwa mafukara, kujifungua sakafuni, maji ya shida, n.k.
 
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,

Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosh...
Serpent, mwenzio.

yupo kwenye ibada Kwa yule alieapa kwake kumtumikia Ili apate madaraka we upo unapiga domo.tu!!

Hangaika na mfumo wa katiba ili hata wewe ukiingia usiharibu kabisa!!
 
Back
Top Bottom