Uzalendo wa kuua na kupoteza watu ikiwemo na kuwafilisi? Jiwe hapana tumkatae kwa pamojaKuwa za kweli au sio za kweli hakuondoi lengo la maamuzi ambalo mleta mada ni lazima alipotoshe kwa nia zake za kisiasa.
Magufuli anataka tuwajibike, anataka tuwe wazalendo kwa rasilimali zetu.
Mtamkataa humu jukwaani lakini huko kwa wapiga kura inabidi mjiandae kisaikolojia kwa miaka mingine mitano ya kuwa wapole.Tumkatae Jiwe kwa pamoja kwa ustawi wa Taifa hili
29. Ana visasi tusipolinda kura tutajuta kwa miaka kumi au zaidi sababu atabadili katiba.
Uzalendo wa kuua na kupoteza watu ikiwemo na kuwafilisi? Jiwe hapana tumkatae kwa pamoja
Poa mchagueni Lissu atakaewaondolea kodi na kuwagaia Pesa.Unazingua ww kwaiyo sisi tunaokatwa asilimia 15 na bodi ya mikopo ni sawa unavyoona? Unajua muda mwingine bora ukae kimya mzee huu ndo muda wa kuongea mambo haya ww unakuja kusema hoja hazina mashiko kwa sasa sasa zitakuwa na mashiko baada ya uchaguz au ? Hata kama unamapenz ya chama chako ila penda kuwa mkweli na kutetea haki acha mihemko binafsi.
Umeona sasa ulivyo mfinyu wa fikra. Oky sawaPoa mchagueni Lissu atakaewaondolea kodi na kuwagaia Pesa.
Zinaweza kuwa na element za ukweliSijazungumzia mashiko, je ni kweli au siyo kweli?
Uzuri ni kwamba we mwenyewe unaongea lakini ukweli unaujua kuwa Lissu hawezi kuwa rais hata kidogo.Yaani unaonyesha kabisa kuwa unaumia sana, Jiwe hafai hata kuwa konda wa daladala
Dhambi kubwa kabisa kuliko zote ni wananchi kumchagua kuwa Rais huku udhaifu wa uwezo wake ulianza kujitokeza akiwa mwalimu, ukajitokeza wazi akiwa mbunge, miaka 20 ya uwaziri ilipaisha udhaifu kwa kila mtu kuona lakini akachaguliwa.Na bado atachaguliwa na wananchi 28/10/2020
Umeteswa na nani mkuu?Baada ya kuteswa 5 yrs
Thubutu yenu!!Na bado atachaguliwa na wananchi 28/10/2020
Thubutu yenu. Sie wa humu ndo tuliopo mijini na vijijini. Mtajua hamjui mwaka huu!!Mtamkataa humu jukwaani lakini huko kwa wapiga kura inabidi mjiandae kisaikolojia kwa miaka mingine mitano ya kuwa wapole.
Msema kweli October 28 hakuna haja ya kuandikia mate.Thubutu yenu. Sie wa humu ndo tuliopo mijini na vijijini. Mtajua hamjui mwaka huu!!
Sawa sawa tukuane 28 OctoberMsema kweli October 28 hakuna haja ya kuandikia mate.
Mengine ni porojo tu za maongezi chumba cha kura ndio kitaongea.Sawasawa tukuane 28 October