Migawanyiko ndani ya CCM hakuna tutajie nani na nani wamegawanyika?1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
She is one of your own, you have to take one for the team like we did.Yaani huo ujinga wenu msituletee huku, sisi hao akina mama hawawi watawala bali tunaoa na kuweka ndani. Akija huku kizimkazi ni mke wa tatu wa Hafidh.
Full stop.
Kwani ni Katiba ndiyo iliyo mweka, au CCM?Imewakosea nini wakati yupo mjengoni kikatiba . Tatizo mnaamini CCM ina nguvu zaidi kuliko raia
Kwasababu jeshi lenyewe limeshikiliwa na siasa.Jeshi haliwezi kuingilia mambo ya Siasa !
1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Mbona mnateka watu wanaowakosoa mbona manogopa maandamano ya vyama vya Upinzani tena ya AmaniHizo ndoto umeota baada ya kuvuta bangi. Samia yupo hadi 2030.
Hizo issues hazina impact yeyote kwa wapiga kura.
Zinaongelewa kwenye mitandao tu lakini kunako ground hazina mashiko
Tarura na Tanroad zimekufa ni jambo la kusikitisha sana nadai tarura mwaka sasa6. Tarura na Tanroads imekufa
7. Miradi ya kimkakati imesinzia
8. Uchaguzi wa serikali za mitaa mbovu
9. Udini
Let's hopeCCM ndiyo haitampitisha sasa
Nelson Amenya celebrated as a hero for exposing the secret Adani deal for Kenya's airport. Kenya canceled a $2 billion airport ...THUBUTU! Magufuri alishawapa njia kwa hiyo hatuna namna labda wapatikane akina SARAFINA Tanzania.
Akiukosa nani atakua rais?? Tafadhali usipoteze muda kusema upinzani maana wameshazikwa.
6. Pests & Diseases.1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
6. Kulazimisha kuwepo na fomu moja yake pekee ya ugombea urais kupitia CCM1. Mkataba wa DP World.
2. Kuhamisha wamasai wa Ngorongoro.
3. Utekaji na mauaji.
4. Kukandamiza demokrasia ndani na nje ya chama.
5. Migawanyiko ndani ya ccm. Hivi sasa ccm siyo moja tena.
Mama mpk ameanza kupauka usoni kwa tamaa ya kupata awamu ya pili 2025.6. Kulazimisha kuwepo na fomu moja yake pekee ya ugombea urais kupitia CCM
7. Kujitangaza nchi nzima kwa mabango kabla ya muda wa kampeni