Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi hata hicho kitambulisho sio muhimu kivile maana Kuna Cha NIDA.Binafsi sio uchaguzi huu ujao tu, sitokaa nipige kura tena maisha yangu yote kama mambo yatabaki kuwa hivihivi na sheria zao mbovu za uchaguzi.
Kitu pekee nitafanya ni kujiandikisha nipate kitambulisho basi maana kinasaidia sometimes.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ni mtu mjinga tu atapanga mstari kwenye box la kura huku Kuna kigenge kinajiita system kinapanga nani atangazwe mshindi. Kwa jinsi wapinzani wanavyoumizwa, kubambikiwa kesi, kura kuchezewa, ni ujinga wa dhahiri kuendelea kushiriki uchaguzi ambao mwenyekiti wa ccm asiye na maadili, ndio muamuzi wa matokeo.Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Umeshajiuliza ukipoteza hicho cha NIDA itakuwaje? Nilishapitia hiyo adha, ndio maana nimesema hivyo.Sasa hivi hata hicho kitambulisho sio muhimu kivile maana Kuna Cha NIDA.
Labda kama ni backup, lakini NIDA kinafanya Kila kitu.Umeshajiuliza ukipoteza hicho cha NIDA itakuwaje? Nilishapitia hiyo adha, ndio maana nimesema hivyo.
Sababu kubwa ni UPINZANI KUWA BUTUHebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Kwa upande wangu sitokuja kushiriki hilo zoezi kwa sababu kuu zifuatazo:-Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Hahahaaa.....
Hakuna wapiga kura zaidi ya ccm na wanachama wake!Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?