Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Halafu nikapigwe jua kutwa nzima , my last vote ilikua kwa hayati Magufuli na nashukuru kura yangu haikupotea, na kule kuungua na jua hakukua kwa bure tu walao tuna la kuwaambia wajukuu zetu alikuwepo Magufuli wakati fulani.Upigaji kura wa Tanzania👇
View attachment 2840329