Halafu nikapigwe jua kutwa nzima , my last vote ilikua kwa hayati Magufuli na nashukuru kura yangu haikupotea, na kule kuungua na jua hakukua kwa bure tu walao tuna la kuwaambia wajukuu zetu alikuwepo Magufuli wakati fulani.Upigaji kura wa Tanzania👇
View attachment 2840329
Tuliwazidi kete tukamuuaHalafu nikapigwe jua kutwa nzima , my last vote ilikua kwa hayati Magufuli na nashukuru kura yangu haikupotea, na kule kuungua na jua hakukua kwa bure tu walao tuna la kuwaambia wajukuu zetu alikuwepo Magufuli wakati fulani.
Unaenda kupiga Kura wakati wenzio walishaandaa na matokeo tayari.Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Tukae kimya kwa sababu yenu nyie majizi ya kura?!Sasa kelele za nini? Kaeni kimya sie tukapige CCM iendelee kutawala. Period!
Na raia wakapiga makofi 😁Upigaji kura wa Tanzania👇
View attachment 2840329
1.Kiongozi anakuwa "selected" by the establishment,kwa hiyo wanayemtaka wananchi hawezi kupita.Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Sasa ukiropoka "sioigi kura, sipigi kura" inanizuia mimi nisipige? Mligomea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, imewazuia Wenyeviti waliopo kufanya kazi? Na mwakani susieni muone kama Serikali itashindwa kuwepo na kufanya kazi zake! Alaaah!!!Tukae kimya kwa sababu yenu nyie majizi ya kura?!
Hebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Hakuna uchaguzi Ila kiini macho tuHebu leo tushirikishane
Kwanini wengi wanaona kwenda kupiga kura ni kupoteza Muda?
Serekali hata kwenye nchi zilizopinduliwa zipo, sasa sijui unaongea Nini. Tunazungumzia serekali zenye uhalali wa umma, sio Bora serekali.Sasa ukiropoka "sioigi kura, sipigi kura" inanizuia mimi nisipige? Mligomea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019, imewazuia Wenyeviti waliopo kufanya kazi? Na mwakani susieni muone kama Serikali itashindwa kuwepo na kufanya kazi zake! Alaaah!!!
Kwa Tanzania p, hilo la "kioinduliwa" hata wajukuu zako watapata wajukuu bila kutoka Tanzania, labda apinduliwe Mbowe! Ahahahahaha!Serekali hata kwenye nchi zilizopinduliwa zipo, sasa sijui unaongea Nini. Tunazungumzia serekali zenye uhalali wa umma, sio Bora serekali.
Nyerere mwenyewe aliyekaa madarakani Hadi katiba ikatungwa kumfurahisha alitaka kupinduliwa, ndio itakuwa haya majizi?Kwa Tanzania p, hilo la "kioinduliwa" hata wajukuu zako watapata wajukuu bila kutoka Tanzania, labda apinduliwe Mbowe! Ahahahahaha!
Sina hakika kama unajua unachoandika. Au una stress za CCM kutawala nchi hii? Si utakufa mapema, maana CCM ipo Jana, leo, kesho, kesho kutwa na mtondogoo!!Nyerere mwenyewe aliyekaa madarakani Hadi katiba ikatungwa kumfurahisha alitaka kupinduliwa, ndio itakuwa haya majizi?
Sijui, kwakuwa ww umekuja na marking scheme unaweza kusahihisha kutokana na maelezo uyatakayo.Sina hakika kama unajua unachoandika. Au una stress za CCM kutawala nchi hii? Si utakufa mapema, maana CCM ipo Jana, leo, kesho, kesho kutwa na mtondogoo!!