YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Hakuna kuagaa unakomaa kijeshii ivoivoo!! Huko unakokimbilia utakuta bora hata ya ndani kwako[emoji16]
Kweli?? Wewe mbona wanasema huko ndio kumenoga?!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kuagaa unakomaa kijeshii ivoivoo!! Huko unakokimbilia utakuta bora hata ya ndani kwako[emoji16]
Hahahaha...........utafanya watu warudishe Posa yao Mjukuu, maana unawatisha kabla hawajaingia ndani 🤪Ndio zangu hizo sasa
Ukumbuke tu wazee wa hovyo tupo, tunasubiria vitu vya namna hii tuburudike na kuufurahia uzee wetu 🤣🤣Ananinyanyasa anajua siwezi kumsaliti ila ipo siku yake, shetani atakaponipitia nimpe kampani ya kwenda kwenye mti wa katikati ATAJUA HAJUI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio hovyo, ni hovyo hovyo...🤨mzee wa hovyo
Wewe umevuka mipaka 😅🙌Mimi Mtu tukivunjiana heshima tu anafariki nimezika wa 5
Ukumbuke tu wazee wa hovyo tupo, tunasubiria vitu vya namna hii tuburudike na kuufurahia uzee wetu [emoji1787][emoji1787]
Nawe ukaamini MjukuuWewe babu unazuga humu!! Kuku kishingo alikuja kutoa ushuhuda eti “Babu hajashuka mpira dk 90” [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukapiga mpk za nyongeza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khakhakhaaaa... Bora arudi saa 8 awe ni chapombe tu kuliko arudi saa 8 kumbe katoka sasambua papa jingine huko!!Kuna rafikiangu juzi alikua ananiambia mume wake analala nje, siku ikitokea karudi bas saa 8 usiku afu yupo chakarii!!!
Basi anaongea kwa uchungu eti cute “Kweli umri huu me wa kulala peke yangu?”
Nilimuonea huruma afu ni mzuri, mdogo na bado dume linatoka nje manyokoo [emoji119][emoji119][emoji119]
Alivyoniambia hivo nikapata had kisirani sitaki kusikia mambo ya ndoa kabisaaaa
Wazee wahovyo wanaozeeka vibaya😊😊😊😂!Ukumbuke tu wazee wa hovyo tupo, tunasubiria vitu vya namna hii tuburudike na kuufurahia uzee wetu 🤣🤣
Tunazeeka na utam wetu madam🤣🤣🤣Wazee wahovyo wanaozeeka vibaya😊😊😊😂!
Mimi sijawahi kufuta nikimmiss navuta waya namega,hivi unafutaje namba za mashangazi yanavyojua kufinyia ndani....ma x wng wana pepo yaoWatu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Unapepo yako mbinguni,unafutaje namba zao wakati ni familia yako hiyo,ma x wanatubeba sana istoshe hayana usumbufu kama hawa macho kodoWatu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex[emoji849]
Imepita hyo.tunaanza kuwa wapenzi leo.. eeeh! alafu tuachane baada ya miezi mitatu
Hahaa eeh ndio wasije waishie huko hukoHahahaha...........utafanya watu warudishe Posa yao Mjukuu, maana unawatisha kabla hawajaingia ndani 🤪
Kwakweli wazee muheshimiwe nawatu wote!Tunazeeka na utam wetu madam🤣🤣🤣
na mie kwanza chikwi chikwi nijue upo siliazi 😅😍Imepita hyo.
Ila itabidi unitumie muamala ndio nione uko serious na mimi🤗
hapana kwa kweli..labda kupoteana nakumbuka iliwahi kutokeaUncle unataka kusema hujawahi kuachwa 😃😃😃🧐
Tuma nauli kwanza😂na mie kwanza chikwi chikwi nijue upo siliazi 😅😍
kwichwi kwichi kwanza 🙂🙂Tuma nauli kwanza😂