Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sawasawa
 
Sio kweli, itakuwa zilikuwa hadithi za kutunga tu kama zilivyo za Shigongo.

Umri huu siwezi kufanya hayo Mjukuu.

Njoo tulime kunisaidia Babu yako [emoji847]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Babu bana mjanja mno wewe!!
Babu me unialike kuja kuhesabu maokoto kipindi cha kuuza, kulima hapana kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…