Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Mkuu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣
Najaribu kuwapa picha hawa Vijana vile Babu zao tulivyofaidi enzi zetu 🤗

Yaani unakula Kuku wa Kienyeji Original kabisa, hata shombo husikii.

Tena ukiwa mpenzi wa kusafiri kufika Uvinza ya Kigoma, inakuwa burudani mwanzo mwisho kwa Binti wa watu, anakuwa analilia bakora tu 🙈

Kwa kweli Wazee tulifaidi sana miaka yetu 🏃🏃🏃
 
Najaribu kuwapa picha hawa Vijana vile Babu zao tulivyofaidi enzi zetu 🤗

Yaani unakula Kuku wa Kienyeji Original kabisa, hata shombo husikii.

Tena ukiwa mpenzi wa kusafiri kufika Uvinza ya Kigoma, inakuwa burudani mwanzo mwisho kwa Binti wa watu, anakuwa analilia bakora 🙈

Kwa kweli Wazee tulifaidia miaka yetu 🏃🏃🏃
Gone are the good days
 
Gone are the good days
Kwa kweli, yaani unainjoi kuku wa kienyeji bila hata kuwaza labda utapata UTI ama gono.

Na unajua vile Wanawake wa enzi zetu walivyokuwa watundu kitandani, maana wote walipitia unyagoni, hapo hujakishika kiuno chake vile kimepambwa na shanga mbili tatu 🙈

Those were days 🏃🏃🏃🏃
 
Kwa kweli, yaani unainjoi kuku wa kienyeji bila hata kuwaza labda utapata UTI ama gono.

Na unajua vile Wanawake wa enzi zetu walivyokuwa watundu kitandani, maana wote walipitia unyagoni, hapo hujakishika kiuno chake vile kimepambwa na shanga mbili tatu 🙈

Those were days 🏃🏃🏃🏃
Sahii tuko na wanyabumbu 🤣 washapigwa mwiko vya kutosha.

Ladha hakuna yani mpaka ukibahatisha zile Organic ambazo ndio kwanza zimeingia mjini ndio unainjoy.
 
Back
Top Bottom