Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hakika mkuu nakubaliana naweNjaa ndio kipengele
Hata hawa ambao wameajiriwa wana tamaa sana wengi hawajui kusema NO kwenye mtonyo hata kama ana mume au mshikaji anafanya naye maisha
Tabia yao ya kuwaweka wanaume wengine kama backup aliye naye wakishindwana inafanya waliwe sana mbususu
Hawa viumbe usiwapende wanafiki sana. Nasema hawa viumbe hawafai wanaume wenzangu
Fear women