Najaribu kuwapa picha hawa Vijana vile Babu zao tulivyofaidi enzi zetu 🤗Mkuu umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣
Kuna viporo vingine unakuta Vimechacha Mjukuu, yaani haviliki hata uvitie iriki 🤪Sasa c ndo kupasha kiporo kunafata babu jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 Hahahah waze wa kazi wamechoronga duaraUlipigana nae chini mzigo ukiwa no.2 unajirudisha wazee washaupeleka no.4. [emoji1787][emoji1787]View attachment 2730938
Tena kuna kitu Vijana wa sasa wanafanyiana, wanaita "Love Bites"Vijana wa hovyo wako mitamboni🤣
Gone are the good daysNajaribu kuwapa picha hawa Vijana vile Babu zao tulivyofaidi enzi zetu 🤗
Yaani unakula Kuku wa Kienyeji Original kabisa, hata shombo husikii.
Tena ukiwa mpenzi wa kusafiri kufika Uvinza ya Kigoma, inakuwa burudani mwanzo mwisho kwa Binti wa watu, anakuwa analilia bakora 🙈
Kwa kweli Wazee tulifaidia miaka yetu 🏃🏃🏃
imenijia sauti ya AlikibaKuachana siyo uadui, na hata ukifuta namba haimaanishi umefuta kumbukumbu ya sehemu ya maisha yako kuwa uliwahi kuwa nae. Atakufaa mbeleni kwa namna moja ama nyingine. Hakuna uadui wa kudumu. Sisi ni pipo tutakutana.
Zile ni marks kwamba muhuni alipitaTena kuna kitu Vijana wa sasa wanafanyiana, wanaita "Love Bites"
Yaani hiyo kufutika ni siku 2 hadi 4
kwahiyo tuishi nazo sana?Watu hatufuti hadi namba za marehem, sembuse ex🙄
Kwa kweli, yaani unainjoi kuku wa kienyeji bila hata kuwaza labda utapata UTI ama gono.Gone are the good days
ohooo! wa5 sio nyingi 😂Ninazo kama 5 tu, hata sio nyingi kiviiile😅
Sahii tuko na wanyabumbu 🤣 washapigwa mwiko vya kutosha.Kwa kweli, yaani unainjoi kuku wa kienyeji bila hata kuwaza labda utapata UTI ama gono.
Na unajua vile Wanawake wa enzi zetu walivyokuwa watundu kitandani, maana wote walipitia unyagoni, hapo hujakishika kiuno chake vile kimepambwa na shanga mbili tatu 🙈
Those were days 🏃🏃🏃🏃
Ni hatari, alafu unapokuja kumuuliza anakwambia eti aliumia wakati anafua 🤪Zile ni marks kwamba muhuni alipita
🤣 🤣 🤣 Ndio hivyo tunabaki kusema ukubwa dawa ila maumivu yanabakia moyoni tu.Ni hatari, alafu unapokuja kumuuliza anakwambia eti aliumia wakati anafua 🤪
Hapana mkuukwahiyo tuishi nazo sana?
ila ma ex ni hatari sana, mtu anakuacha kwa vita kali alafu anakuja kurudi mpole sana.Wengi hapa wanajaa kwenye mtego.Hapana mkuu
Njaa ndio kipengele🤣🤣🤣
Oya sio poa mkuu tuache utani wadada wanapigwa miti na vidume wengi aisee lazima ipwaye
Akishafeli lazma arudi kwa upole 😀ila ma ex ni hatari sana, mtu anakuacha kwa vita kali alafu anakuja kurudi mpole sana.Wengi hapa wanajaa kwenye mtego.
Hatari sana 😅🤣 🤣 🤣 Ndio hivyo tunabaki kusema ukubwa dawa ila maumivu yanabakia moyoni tu.
Alie kuumiza muache aende na jifunze kumfuta kwenye maisha yakoila ma ex ni hatari sana, mtu anakuacha kwa vita kali alafu anakuja kurudi mpole sana.Wengi hapa wanajaa kwenye mtego.
au akishafunzwa na wana wa israel ndio akili inamkaa sawa anarudi, ila mwingine anarudi kukuconect kwenye gridi ya taifa. Ona kwenye hii video n mfano wa wengi huwa wanadhamiria kuumizaAkishafeli lazma arudi kwa upole 😀