Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

Sababu kubwa kwanini watu wengi hawafuti namba za ma-EX wao

watu wanaachana wakiwa salama hawana magonjwa ya kuambikizwa, wanaenda kuanzisha mahusiano na wengine wenye tabia tofauti kuhusu mahusiano ya kimapenzi wanaishia kuambukizwa maradhi na wapenzi wao wapya. Unakutana na ex halafu unataka upewe penzi ukidhani mwenzio ni salama tangu muachene kumbe mmoja tayari ana maambukizi
Weee Lazima ajutreeeeeee!!
 
Huwa naogopa rudiana kwa namna yoyote na X kwan nakua naona kama karudi kulipizia au kufanya alivyosahau.

sina tena amani na huyo mtu and in my life sijawahi na haitowahi tokea,sio kurudiana tu ila hata urafiki wa Habari yako,Umeshindaje unaendeleaje.

Nikikuona nakupta kama sikujui na ni kweli sikujui,salamu tulisha salimiana enzi tuko pamoja inatosha.

Yani kwanza kabla hatujaachana huwa mahusiano inayoendea kufa tu unaiona kabisa nafutaga namba mapema sanaa kabla hata ya tukio kufika.

Tukipeana migongo ndio bye bye forever,no turning back.
 
Huwa naogopa rudiana kwa namna yoyote na X kwan nakua naona kama karudi kulipizia au kufanya alivyosahau.

sina tena amani na huyo mtu and in my life sijawahi na haitowahi tokea,sio kurudiana tu ila hata urafiki wa Habari yako,Umeshindaje unaendeleaje.

Nikikuona nakupta kama sikujui na ni kweli sikujui,salamu tulisha salimiana enzi tuko pamoja inatosha.

Yani kwanza kabla hatujaachana huwa mahusiano inayoendea kufa tu unaiona kabisa nafutaga namba mapema sanaa kabla hata ya tukio kufika.

Tukipeana migongo ndio bye bye forever,no turning back.
Mmh! Punguza jazba mkuu, unakosa vingi vinono
 
Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?

Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?

Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
So wewe unahofia grid ya taifa....kwenye hiyo issue no one is safe. You become safe when you die.
 
Back
Top Bottom