Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mbwa kala mbwa!Au pengine anakuacha kwasabb umesaliti penzi lkn anakwenda kuanzisha penzi jipya na mtu aliyeachwa baada ya kusaliti penzi.
Hii inaitwa ngoma droo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa kala mbwa!Au pengine anakuacha kwasabb umesaliti penzi lkn anakwenda kuanzisha penzi jipya na mtu aliyeachwa baada ya kusaliti penzi.
Hii inaitwa ngoma droo.
Khakhakhaaaa!!!Wale wa serious sio wengi ni watatu tuuu....achana na hawa wa kimasihara 🤣🤣🤣
Au na kimasihara nazo tunahesabu kwamba ni ma xKhakhakhaaaa!!!
Weee Lazima ajutreeeeeee!!watu wanaachana wakiwa salama hawana magonjwa ya kuambikizwa, wanaenda kuanzisha mahusiano na wengine wenye tabia tofauti kuhusu mahusiano ya kimapenzi wanaishia kuambukizwa maradhi na wapenzi wao wapya. Unakutana na ex halafu unataka upewe penzi ukidhani mwenzio ni salama tangu muachene kumbe mmoja tayari ana maambukizi
Ngoja wajuvi watujuzee uduguu! hahaaAu na kimasihara nazo tunahesabu kwamba ni ma x
Don't try this uduguuu ni hatari kwa afya;! (Kwa sauti ya babu😊!)Sasa c ndo kupasha kiporo kunafata babu jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
punguzeni woga wakuu🤣🤣🤣🤣
Oya sio poa mkuu tuache utani wadada wanapigwa miti na vidume wengi aisee lazima ipwaye
Mmmh!! Hapo kwenye bold Sina hakikaMa ex zangu huwa tunawasiliana na kusaidiana kwa nyakati tofauti....japo hakuna mapenzi tena baina yetu
Lilikufa pamoja na mmiliki wakeHivi hilo kabisa Bado lipo?
🤣🤣🤣 kumchapa nao ex haina kutembelea rimpunguzeni woga wakuu🤣
Hata uliye naye usiku kaunganishwa na line ya kwenda Mtukula. Ooh!Tukiachana tumeachana sitaki shobo na mtu...
Nisije ingizwa kwenye grid ya taifa bureee
Mmh! Punguza jazba mkuu, unakosa vingi vinonoHuwa naogopa rudiana kwa namna yoyote na X kwan nakua naona kama karudi kulipizia au kufanya alivyosahau.
sina tena amani na huyo mtu and in my life sijawahi na haitowahi tokea,sio kurudiana tu ila hata urafiki wa Habari yako,Umeshindaje unaendeleaje.
Nikikuona nakupta kama sikujui na ni kweli sikujui,salamu tulisha salimiana enzi tuko pamoja inatosha.
Yani kwanza kabla hatujaachana huwa mahusiano inayoendea kufa tu unaiona kabisa nafutaga namba mapema sanaa kabla hata ya tukio kufika.
Tukipeana migongo ndio bye bye forever,no turning back.
Vinono wapii mtu anakurudia baada ya kukutana na kizito hukooo ! Huku akijiaminisha kwake huchomoii Alooooooohh 🙌🙌!Mmh! Punguza jazba mkuu, unakosa vingi vinono
Kuweni makini kuna dada mmoja alipasha kiporo na ex wake ,Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Inawezekana mbonaHivi haiwezekani kushirikiana na x ktk mambo mwengine tofauti na kwenda naye faragha?
Are you me? Are you us?Mmmh!! Hapo kwenye bold Sina hakika
So wewe unahofia grid ya taifa....kwenye hiyo issue no one is safe. You become safe when you die.Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?