Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Kumbuka wazungu(Wa magharibi) unaowataja ndiyo walileta hii Biblia tunayoitumia (Kupitia utumwa) na vipi tena leo waje kupinga hiyo hiyo Biblia? au baada ya kuisoma sisi tukaelewa sana kuliko wao? 🤔🤔
Haufahamu unachokisimamia. Walileta biblia kwa malengo maalum ya kukutia ujinga ili wakutawale
 
Kumbuka wazungu(Wa magharibi) unaowataja ndiyo walileta hii Biblia tunayoitumia (Kupitia utumwa) na vipi tena leo waje kupinga hiyo hiyo Biblia? au baada ya kuisoma sisi tukaelewa sana kuliko wao? [emoji848][emoji848]
Kuna sehemu hujaelewa the bible ilikuwa hapa B4 Hawa Wazungu hawajamjua huyo Mungu. Nenda Ethiopia and jaribu kusoma vzr historia kile sio kitabu Chao na ndio maana hawafuati chochote kilichomo mule Sema back then waliwadanganya ila now unaona rangi Yao halisi.
 
Kuna sehemu hujaelewa the bible ilikuwa hapa B4 Hawa Wazungu hawajamjua huyo Mungu. Nenda Ethiopia and jaribu kusoma vzr historia kile sio kitabu Chao na ndio maana hawafuati chochote kilichomo mule Sema back then waliwadanganya ila now unaona rangi Yao halisi.
Kwamba Biblia ilikuja Afrika kabla ya colonialism yaani before 19c.?...Thibitisha
 
Kumbuka wazungu(Wa magharibi) unaowataja ndiyo walileta hii Biblia tunayoitumia (Kupitia utumwa) na vipi tena leo waje kupinga hiyo hiyo Biblia? au baada ya kuisoma sisi tukaelewa sana kuliko wao? [emoji848][emoji848]
Biblia sio vipande vya karatasi Ambavyo unaweza ukavichana! ILA NI NENO LA MWENYEZI MUNGU LILILO HAI AMBALO AMETUUMBIA NDANI YETU KUPITIA DHAMIRA NJEMA!
NDIO SABABU KABLA YA UJIO HICHO KITABU WAZEE WETU ILIKUWA HAUKUBALIKI WIZI, UGONI, UUAJI, UONGO, UCHAWI...
Uimkuta mtu shambani kwako kang'oa muhogo anatafuna hutíi Neno unajua ni na iliyo msukuma!
Lakini ukimkuta kaifunga mihogo kifurushi hiyo ni mwizi......
 
Ukikubali ushoga kwao ni faida, ila kwetu ni hasara, ukikataa ushoga pia kwao ni faida, ila kwetu ni hasara kubwa tena mno, kwa nini ni faida kwao endapo utakubali kwanza malengo yao ya kueneza na kutetea mashoga kwa kivuli cha haki za binadamu yatakuwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa, na endapo utakataa pia watakuwa wamefanikiwa kwa sababu masharti waliyokupa umeshindwa kutekeleza kwa hiyo misaada yote itasitishwa, lakini kwa muono wa viongozi wetu wanaona ni bora tuende hivyo hivyo kwa sababu kujitegemea kwa kila kitu ni vigumu kwa sababu mapato yetu ya ndani ya nchi viongozi wetu wanayafisidi kwa ubadhirifu mkubwa mno ikiwemo misaada, mapato kutokana na rasilimali zilizopo kama madini, mbuga za wanyama, milima, bandari, mikopo na mengineyo na mfano mzuri wa ufisadi muulizeni Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa.
 
Biblia sio vipande vya karatasi Ambavyo unaweza ukavichana! ILA NI NENO LA MWENYEZI MUNGU LILILO HAI AMBALO AMETUUMBIA NDANI YETU KUPITIA DHAMIRA NJEMA!
NDIO SABABU KABLA YA UJIO HICHO KITABU WAZEE WETU ILIKUWA HAUKUBALIKI WIZI, UGONI, UUAJI, UONGO, UCHAWI...
Uimkuta mtu shambani kwako kang'oa muhogo anatafuna hutíi Neno unajua ni na iliyo msukuma!
Lakini ukimkuta kaifunga mihogo kifurushi hiyo ni mwizi......
Watu wengi wanadhani Biblia ni hicho kitabu kilichoandikwa kwa lugha mbali mbali ili watu kupata uelewa. Hapa ndiyo mwanzo wa utumwa wa kifikra. Ila ukiisoma vema na kuielewa japo kidogo utagundua na makesa mengine kadhaa ya kiuandishi katika hizi tafsiri hizo za lugha mbali mbali.
 
Ukikubali ushoga kwao ni faida, ila kwetu ni hasara, ukikataa ushoga pia kwao ni faida, ila kwetu ni hasara kubwa tena mno, kwa nini ni faida kwao endapo utakubali kwanza malengo yao ya kueneza na kutetea mashoga kwa kivuli cha haki za binadamu yatakuwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa, na endapo utakataa pia watakuwa wamefanikiwa kwa sababu masharti waliyokupa umeshindwa kutekeleza kwa hiyo misaada yote itasitishwa, lakini kwa muono wa viongozi wetu wanaona ni bora tuende hivyo hivyo kwa sababu kujitegemea kwa kila kitu ni vigumu kwa sababu mapato yetu ya ndani ya nchi viongozi wetu wanayafisidi kwa ubadhirifu mkubwa mno ikiwemo misaada, mapato kutokana na rasilimali zilizopo kama madini, mbuga za wanyama, milima, bandari, mikopo na mengineyo na mfano mzuri wa ufisadi muulizeni Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa.
Hawajalazimishwa kutoa misaada wala hakuna anayeweza kuwalazimisha. Kila kitu kipo kwenye uwezo wao ndiyo maana wametenga fungu la kutoa msaada. Hawatoi misaada kuzidi lengo lao wala kuvuruga bajeti yao kwa sababu ya uhitaji wako. (Kikombe kisichojaa hakiwezi kufurika na kummiminia kikombe cha jirani yake)
 
Hawajalazimishwa kutoa misaada wala hakuna anayeweza kuwalazimisha. Kila kitu kipo kwenye uwezo wao ndiyo maana wametenga fungu la kutoa msaada. Hawatoi misaada kuzidi lengo lao wala kuvuruga bajeti yao kwa sababu ya uhitaji wako. (Kikombe kisichojaa hakiwezi kufurika na kummiminia kikombe cha jirani yake)
Hawajalazimishwa sawa kwani wamewaomba mkaichukue, ni viongozi wetu ndio wanaokwenda huko kuomba hiyo misaada kutokana na umasikini uliosababishwa na wao wenyewe, misaada ya masharti waikatae ili tuwe huru kuupinga huo ushoga wao bila kificho kwa kutunga sheria kali dhidi ya hawa machoko.
 
Wewe ulishawahi kusema unaipenda sana marekani.
kwa kifupi unawajua vizuri.
na matendo yake nadhani unayakubali
halafu bado tu upo zako biharamulo
 
Back
Top Bottom