Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Sababu kuu za Mmarekani kuhamasisha kwa nguvu sana ushoga Afrika na siyo mabara mengine

Fourthly, the US is also motivated by the belief that accepting the LGBTQ community is good for business and economic growth. The LGBTQ community is a significant market and by promoting equality, the US is opening up economic opportunities for American businesses in Africa.


It is from this paragraph I can grasp the latent point which in one time I tried to expound it at lengthy in this forum, I can, therefore say that this paragraph exposes clue to the crux.

As in heterosexuality , In homosexuality there is also the term "Husbands and wives"

At this point in time, in Europe and America where, homosexuality is strongly advocated and supported, there are more Husbands than there are wives, to them, that's a big problem!!, finding the solution to the problem they came up with the clue so as to rid of the void of "wives" in their countries only to find Africa as their easy going recourse. Recalling the history of colonialism, slavery, perpetism etc. they still regarded us as easy going.

How to go about finding such wives, to be precise, sex workers in Africa??!-- that was another impending obstacle they had to pass through if they were to succeed in their business, they came up with a blackmailing plan through Aids and assistance they always give us, above all, they use the human right agenda to support the business of LBTQ-- all this is only because they knew it would be difficulties for African to accept such diabolic uncultured behaviour of homosexuslity in our societies as that is a very abnormal strange behaviour to Africans, they found it could be easier to inculcate the behavior through our Governments under aids lures.

Their plan if they succed in the agenda is to start the so called sex tourism by which they will be coming in Africa in disguise as normal tourists but behind the scene there will be sex tourism to find for the sex workers, in short they are fed up of aids and assistances they give us for free instead this time they want us to pay back via "sex pleasures", that is it will be sex for payments in other words that part of sex tourism will be part of national incomes as the normal tourism incomes--- the words "no free lunch" hold here. It is time to pay for what they have been assisting us. We incur the Curses of aids.🤤

During the industrial revolution in Europe, their industries were very much in need of raw materials they decided to come in Africa for the materials, this time around they are in need of sex workers in their countries that's why they are infiltrate themselves in Our countries.

That is "in and out" of the homosexuality saga around us which is not exposed to the people of Africa, you just ask yourself; If we become homosexuals as they want us to be what will they achieve in us being homosexuals ??
 
Ni muda sasa suala la ushoga na habari zake zimeendelea kuchoma na kuumiza masikio na macho ya waafrika na wengi wetu kukerwa na wengine kuhuzunishwa.

"kwanini Afrika kwa sana"?.

"Kwanini Mmarekani ndiye anaongoza kwa kuhamasisha na je una manufaa gani kwake kama siyo udhalimu tu dhidi ya binadamu"?.

Jibu hili hapa..


The issue of the LGBTQ movement has been a contentious one in Africa and around the world. While some countries have made strides towards equality, many African nations still hold strong conservative values that conflict with LGBTQ rights. However, the United States has been pushing African countries to accept the LGBTQ movement, and in this article, we will explore why.

Firstly, it is important to understand that the United States has a history of advocating for human rights and equality around the world. LGBTQ rights are considered to be part of this larger conversation about human rights, and the US government has made it clear that they see the rights of the LGBTQ community as a priority.

Secondly, the US government has been providing aid and assistance to African countries for many years. In exchange for this aid, the US often requires countries to make certain changes or concessions. In recent years, the US has begun to tie aid to LGBTQ rights, meaning that countries must show progress towards accepting the LGBTQ community in order to receive aid.

Thirdly, many African countries are members of international organizations that promote LGBTQ rights, such as the United Nations. By pushing African countries to accept the LGBTQ movement, the United States is aligning itself with these international organizations and promoting a global agenda of LGBTQ equality.


Fourthly, the US is also motivated by the belief that accepting the LGBTQ community is good for business and economic growth. The LGBTQ community is a significant market and by promoting equality, the US is opening up economic opportunities for American businesses in Africa.

However, it is important to note that the US’s push for LGBTQ acceptance in Africa is not without controversy. Many African nations see this as an example of Western imperialism and argue that it goes against their cultural and religious values. Some also argue that the US is using aid as a tool to push its own agenda, which may not necessarily align with the needs and priorities of African nations.

In conclusion, the United States’ push for African countries to accept the LGBTQ movement is motivated by a combination of factors, including a commitment to human rights, international alignment, economic interests, and the desire to promote equality. While this push is not without controversy, it is clear that the United States sees the rights of the LGBTQ community as a priority and is willing to take steps to promote acceptance and equality around the world.

Kwa wenzangu na mimi "kwetu pakavu tia mchuzi" sababu kuu ni mbili...

-Haki za binadamu.
-uhusiano mwema na mataifa ya Afrika.

-Usawa.
-Biashara.

Je ni kweli....??


Asante
Poor reasons.
 
Ni muda sasa suala la ushoga na habari zake zimeendelea kuchoma na kuumiza masikio na macho ya waafrika na wengi wetu kukerwa na wengine kuhuzunishwa.

"kwanini Afrika kwa sana"?.

"Kwanini Mmarekani ndiye anaongoza kwa kuhamasisha na je una manufaa gani kwake kama siyo udhalimu tu dhidi ya binadamu"?.

Jibu hili hapa..


The issue of the LGBTQ movement has been a contentious one in Africa and around the world. While some countries have made strides towards equality, many African nations still hold strong conservative values that conflict with LGBTQ rights. However, the United States has been pushing African countries to accept the LGBTQ movement, and in this article, we will explore why.

Firstly, it is important to understand that the United States has a history of advocating for human rights and equality around the world. LGBTQ rights are considered to be part of this larger conversation about human rights, and the US government has made it clear that they see the rights of the LGBTQ community as a priority.

Secondly, the US government has been providing aid and assistance to African countries for many years. In exchange for this aid, the US often requires countries to make certain changes or concessions. In recent years, the US has begun to tie aid to LGBTQ rights, meaning that countries must show progress towards accepting the LGBTQ community in order to receive aid.

Thirdly, many African countries are members of international organizations that promote LGBTQ rights, such as the United Nations. By pushing African countries to accept the LGBTQ movement, the United States is aligning itself with these international organizations and promoting a global agenda of LGBTQ equality.


Fourthly, the US is also motivated by the belief that accepting the LGBTQ community is good for business and economic growth. The LGBTQ community is a significant market and by promoting equality, the US is opening up economic opportunities for American businesses in Africa.

However, it is important to note that the US’s push for LGBTQ acceptance in Africa is not without controversy. Many African nations see this as an example of Western imperialism and argue that it goes against their cultural and religious values. Some also argue that the US is using aid as a tool to push its own agenda, which may not necessarily align with the needs and priorities of African nations.

In conclusion, the United States’ push for African countries to accept the LGBTQ movement is motivated by a combination of factors, including a commitment to human rights, international alignment, economic interests, and the desire to promote equality. While this push is not without controversy, it is clear that the United States sees the rights of the LGBTQ community as a priority and is willing to take steps to promote acceptance and equality around the world.

Kwa wenzangu na mimi "kwetu pakavu tia mchuzi" sababu kuu ni mbili...

-Haki za binadamu.
-uhusiano mwema na mataifa ya Afrika.

-Usawa.
-Biashara.

Je ni kweli....??


Asante
wao wanataka hilo kundi lipewe haki zao ila wewe inakuwasha unasema unahamasishwa , kinyeo kinakuwasha unataka mtu akemee ushoga ndo usiufanye ? huez jizuia mpk USA auzuie?
NIKISOMAGA HOJA ZA WAAFRIKA HUWA NAWAONA WAAFRIKA MAZOMBIE SANAB, mara tunauziwa silaha na Marekan ndio maana tunauana kwamba hamna akili ya kuish kwa amani kisa umepewa silaha basi mawenge ya kuua wenzio yanakujia na unataka tuwalaumu wazungu
 
Factor ya kiuchumi na kuitawala Africa hvyoo tuu
Ili waje wauze watoto wa maabara
Waue fikra pevu
Welet MAGONJWA
Wa control wingi wa binadamu
 
Ukikubali ushoga kwao ni faida, ila kwetu ni hasara, ukikataa ushoga pia kwao ni faida, ila kwetu ni hasara kubwa tena mno, kwa nini ni faida kwao endapo utakubali kwanza malengo yao ya kueneza na kutetea mashoga kwa kivuli cha haki za binadamu yatakuwa yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa, na endapo utakataa pia watakuwa wamefanikiwa kwa sababu masharti waliyokupa umeshindwa kutekeleza kwa hiyo misaada yote itasitishwa, lakini kwa muono wa viongozi wetu wanaona ni bora tuende hivyo hivyo kwa sababu kujitegemea kwa kila kitu ni vigumu kwa sababu mapato yetu ya ndani ya nchi viongozi wetu wanayafisidi kwa ubadhirifu mkubwa mno ikiwemo misaada, mapato kutokana na rasilimali zilizopo kama madini, mbuga za wanyama, milima, bandari, mikopo na mengineyo na mfano mzuri wa ufisadi muulizeni Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa.
Wewe unaona mbali sana...kikuu hapa ni kuwalinda tu watoto wetu na kubaki kuona kinachoendelea kuliko kuwa masikini jeuri kama museveni sasa hivi kapotelea vichakani huko 😄😄
 
wao wanataka hilo kundi lipewe haki zao ila wewe inakuwasha unasema unahamasishwa , kinyeo kinakuwasha unataka mtu akemee ushoga ndo usiufanye ? huez jizuia mpk USA auzuie?
NIKISOMAGA HOJA ZA WAAFRIKA HUWA NAWAONA WAAFRIKA MAZOMBIE SANAB, mara tunauziwa silaha na Marekan ndio maana tunauana kwamba hamna akili ya kuish kwa amani kisa umepewa silaha basi mawenge ya kuua wenzio yanakujia na unataka tuwalaumu wazungu
Kumbuka na wewe ni Mwafrika, 😄😄
 
Wewe ulishawahi kusema unaipenda sana marekani.
kwa kifupi unawajua vizuri.
na matendo yake nadhani unayakubali
halafu bado tu upo zako biharamulo
Suala la kumpenda mtu au nchi siyo kwamba unapenda kila kitu chake NO...ila ki- military jamaa yupo mbali halafu hapendi show off..

Kumbuka muafrika unaweza kujiunga na jeshi wewe muafrika na wasikubague, vp kwa huyo Russia? 😅😅😅
 
Kwann asipromote maendeleo ya technology, miundo mbinu ili tupate huo usawa. Hayo maswala ya mahusiano na ngono anayaingilia kama nani na kwa sababu zipi mbwa huyu. Marekani matako yako.
 
Wewe unaona mbali sana...kikuu hapa ni kuwalinda tu watoto wetu na kubaki kuona kinachoendelea kuliko kuwa masikini jeuri kama museveni sasa hivi kapotelea vichakani huko 😄😄
Mkuu umemaliza kila kitu maana mawazo yangu ya nyongeza umenifilisi, bora tubaki watazamaji na kila mtu ailinde familia yake, shukrani kwa mawazo ya hekima na busara.
 
Kwann asipromote maendeleo ya technology, miundo mbinu ili tupate huo usawa. Hayo maswala ya mahusiano na ngono anayaingilia kama nani na kwa sababu zipi mbwa huyu. Marekani matako yako.
Anatupima uwezo wetu baada hili atakuja na lingine maana kishajua udhaifu wetu.
 
Mtoa mada ni Chawa wa upinde kibaraka wa marekani! Huo ujinga hauwezi kuingia kichwani kwangu na yeyote ambae mishipa yake ya fahamu inafanya kazi! Pumbavu
 
Mtoa mada ni Chawa wa upinde kibaraka wa marekani! Huo ujinga hauwezi kuingia kichwani kwangu na yeyote ambae mishipa yake ya fahamu inafanya kazi! Pumbavu
Mawazo yako yaheshimiwe maana ndipo uwezo wako wa kufikir ulipoishia.
 
Wazo zuri ila jiulize..

"Yeye mmarekani ananufaika vipi na nguvu kazi ya Afrika kuanguka.?..

-Je baada ya nguvu kazi yetu kuanguka haoni kama na taifa lake litadorora kiuchumi.?..
maana marekani ni mchanganyiko wa watu wa mataifa mbalimbali ikiwemo Waafrika tofauti na Russia, na china.

-Kumbuka mataifa yaliyoendelea yanakodolea na kutamani maliasili za Afrika ikiwemo kutegemea nguvu kazi kuzizalisha.

Sasa ni vipi anataka kuua nguvu za Mwafrika?
Hayo ni mawazo yako but katika hila za marekani mojawapo ni kudhoofu mataifa mengine kiuchumi kisiasa, kijamii na kiteknolojia.

Marekani ni taifa la kibepari au taifa la kibeberu. Mojawapo ya kanuni au azimio la bepari au beberu yoyote yule ni kuhakikisha wanaomzunguka wanakuwa dhaifu kwa kila namna ili wasiweze kumpa challenge yoyote na atafanya kuwa life mission yake miaka yote kuwadhoofu sababu kwake ni threat na akiruhusu wakue na kuimarika ina maana anarisk kutolewa katika nafasi yake kama mbabe au mshika hatamu.

Hili ni kosa alilifanya kwa mchina nadhani hayupo tayari lijirudie. China kwasasa ni jabali wa miraba minne ambaye yupo tayari kumfokea marekani endapo atamletea maneno au chokochoko bila kufyata mkia katikati ya miguu na kuinamisha kichwa akiondoka kwa unyonge. Kumbuka China huyu huyu miaka ya 1950's alikuwa ni mwenzetu kwa namna nyingi kwa maana tulikuwa katika hali za kufanana kihali ila leo miaka kadhaa ametuacha na kufanikiwa kupata siti katika meza kuu ya maamuzi.

Marekani na mataifa menzake ya kibepari wanahofu endapo afrika nayo itaimarika kwa maana ya mataifa ya afrika yakishaanza kusimama kiuchumi, kisiasa, kijamii, na kitechnology hatua itatakayofuata ni mataifa haya kuanza kushirikiana na kujenga mifumo ya umoja wa kikanda na hatimaye bara hili kuunda umoja wake na kuwa taifa moja kubwa sana. Hii haitazuilika maana ni kanuni ya kisayansi na ni lazima itatokea. Nani atataka kuwa taifa kubwa huku amezungukwa na majirani dhaifu.

Afrika ikiungana tayari kutakuwa na giant meza kuu infact africa anaweza hata akajitenga na kuwa na mambo yake kwa 90% ,wadhani afrika atapata nini kwa marekani kama partner kama atajitegemea kwenye kila eneo maana resources anazo.

Kitakachofuata ni marekani kudaiwa reparations (stahiki) au fidia za madhara yaliyosababishwa na utumwa na siasa zake za kitapeli. Yeye pamoja na wenzake. Sababu vijana wa kiafrika watakuwa wamesoma na wanaelimu ya kila aina ikiwamo sheria ambayo itatumika kupeleka miswaada balaza la kimataifa kuishitaki Marekani na Europe ya Magharibi kwa madhambi yake ya Utumwa na ukoloni na kuigandamiza kibepari Africa kwa karne na karne na kuidhulumu wazi wazi tena kwa mikataba ya kinyonyaji na kuwarudisha nyuma watoto wa bara hili takatifu.

China, Urusi, india, na wengineo watapiga kura ya ndio na kukubali kuisapoti Afrika na marekani na Europe ya Magharibi italazimika kukubali kulipia madhambi ambayo yatawafilisi kiuchumi kwa asilimia kubwa sana na kuwekewa masharti magumu ya kiuchumi ikiwamo kunyimwa rasilimali na kukataliwa kushare mahitaji mbali mbali ya kiuchumi na kutesa raia wao.

Marekani anajua hili litatokea akilegeza macho yake juu ya afrika sababu ndicho kinachofuata miaka kadhaa ijayo. Sasa inabidi aje na mbinu kadha wa kadha kudhoofu ustawi wa jamii ya mataifa ya afrika ili tuvurugwe huku yeye akija na mbinu kadha wa kadha kutumia kila tulichonacho.

Kaleta haki sawa a.k.a 50/50 ili wanawake wasielewane na wanaume washindwe kujenga familia imara ambazo zitaleta ustawi wa jamii.

Anashawishi sana uwekezaji katika wanawake na kuwapa empowerment kiuchumi na siasa ili kumtoa mwanamke nyumbani na kumfanya mwanaume kuwa dhaifu sababu mwanaume ambaye atarudi katika nyumba ambayo haina amani, hakuna mwanamke wa kumpokea na kumfariji na kupanga nae maisha huyu mwanaume hatoona haja ya kutulia sehemu moja na atabakia kutanga tanga na kuishi maisha ya ubabaifu bila direction kama askari aliyerudi vitani na msongo wa mawazo akiwa na kumbukumbu za vita tu kichwani mwake.

Mwanamke akitolewa nyumbani anaacha kuwa mama anabakia kuwa mwanamke, kama vile mkulima hawezi kuwa mkulima bila kuwa shambani kwenye shamba ndivyo mwanamke hawezi kuwa mama akiwa hayupo nyumbani kwake.

Kama vile ndege mpumbavu aachaye makinda yake kwenye kiota bila kuwalinda na kuwapelekea chakula na kuwakinga na baridi ndivyo mwanamke wa sasa ameacha kutazama familia yake yaani mume wake na watoto akiwa nje ya nyumba yake kukimbizana na ndoto ambazo atakapofika kuanzia miaka 50 huwa zinayeyuka zote na anaanza kuface reality ya maisha kuwa si kweli jamii ilimuhitaji kama mchapakazi, mwanamke wa shoka, Supawoman, role model in business, ila kama mama bora kwa watoto na mke bora kwa mume.

Watoto wetu wapo pekee yao kwenye nyumba wakikuzwa na Media zisizozingatia maadili. Marekani na vibaraka wake wanawajia watoto wetu kwa njia hiyo na kuwateka akili na kuwatoa katika ubora wao na kuwashape kwa namna yao. Halafu tunakuja kuulizana why ushoga unakua ila hatuulizani why mama hakai na watoto nyumbani na kwann baba anazidiwa na gharama za uchumi sababu ya uzembe wa serikali kusimamia uchumi ili maisha yawe rahisi kwa baba kuweza kumudu gharama za maisha kwa familia yake na kuishi kwa amani na mkewe bila kumtaka ataoke nje kutafuta.

Jibu ni marekani na vibaraka wake wanamkono mrefu katika siasa,jamii, uchumi wetu na kusababisha gharama za maisha kuwa juu na kucheza na akili za raia wetu.

Umeshawahi jiuliza wale wazungu au raia wa kigeni wa kutoka magharibi huwa wanakuja kwenye vikao vyetu kusikiliza nini na kufuatilia nini?

Kuna mengi sana nita yaandalia Podcast ili tuweze kuongea na kujadili kwa mapana.
 
Kumbuka wazungu(Wa magharibi) unaowataja ndiyo walileta hii Biblia tunayoitumia (Kupitia utumwa) na vipi tena leo waje kupinga hiyo hiyo Biblia? au baada ya kuisoma sisi tukaelewa sana kuliko wao? [emoji848][emoji848]
Unajua history ya bible ilipotokea na hata wale disciples walikuwa ni watu wa wapi?!

Bible haikuandikwa Marekani au uingereza. Halafu ushoga makao makuu yake ni Marekani si uingereza, uingereza wanafuata nyayo za marekani sababu wanalazimika kuwa vibaraka wa marekani hata ukitazama vita ya Ukrain huoni kama Europe yote inaburutwa burutwa na marekani na sio kwamba wao wanataka kuwapo katika hiyo vita?!
 
Cha kusikitisha katika global human rights index marekani huwa haiorodheshwi maana inajua hata kulazimisha mila na desturi zao zikubalike na nchi zingine ni kinyume cha makubaliano ya kimataifa ya haki za kibinadamu.
Anasema anatetea haki za binadamu halafu anazipanga yeye mbwa yule. Kila mtu anamshangaa saa hii.
 
Kuna sehemu hujaelewa the bible ilikuwa hapa B4 Hawa Wazungu hawajamjua huyo Mungu. Nenda Ethiopia and jaribu kusoma vzr historia kile sio kitabu Chao na ndio maana hawafuati chochote kilichomo mule Sema back then waliwadanganya ila now unaona rangi Yao halisi.
Watu wakifikiria Bible wanafikiri imetokea Marekani au uingereza hawajui wale jamaa walidandia basi la msanga bila kukata tiketi.
 
Back
Top Bottom