Sababu ya watu kuogopa kutoa ushahidi kwenye baadhi ya matukio aliyo shuhudia live na wengine baadhi hukimbia kabisa

Sababu ya watu kuogopa kutoa ushahidi kwenye baadhi ya matukio aliyo shuhudia live na wengine baadhi hukimbia kabisa

Nini kilitokea mkuu 2003 hapo mimi nikiwa na 3yrs old 😂
Nilisweka lupango kisa nilimsaidia majeruhi wa ajali ya gari,
Mimi nikiwa kama dereva nikiwa namwendesha meneja wa kampuni x tukakuta ajali jamaa kagongwa na tipper la mchanga meneja akasema tumpeleke hospital, kabla ya kwenda hospital tukapita polisi kuripoti na majeruhi
Kilichotokea huko polisi basi tu
 
Inakuwa kama china bana china mtu ukipata tatizo hakuna anaekusogelea ata iweje, iwe ajali iwe umenasa sehemu yani upati msaada wowote mpka polisi waje
 
Natumaini wote mko poa ndg wana JF,, lakini poleni sana kwale wote wenye changamoto yoyote ya kiafya au maisha kwa ujumla poleni sana Mungu awasaidie mkae sawa 🙏

Ndg zangu nimeamua kuandika uzi huu kutokana na mambo yanayo fanyika kwenye jamii zetu haya mambo yanaumiza sana😭 mitaani kumekuwa na vifo vingi sana vya watu baadhi vinaeleweka vizuri na wana jamii huku vingine vikiwa ni vya kuhisiwa tu kuwa huenda amefanywa hivi au

Lakini la kusikitisha zaidi kuna kuwa na watu wanao shuhudia kabisa mwanzo wa tukio mpaka mwisho lakini wanakausha kama vile hawajaona chochote ila mtu ndio tyr kafa hivo inabaki tu minong'ono ya chini chini wakifika polisi hao watu hujitenga kabisa tena wengine huondoka kabisa eneo la tukio,,, haya yote hutokea kwa sababu ya sheria na mifumo kwa askari walio wengi, shahidi akijitokeza kutoa ushahidi wake wana shughulika zaidi na huyo shahidi kuliko kushughulikia tukio zima yani yanageuka kuwa majuto kwa mtoa ushahidi hawafikirii kuwa huyo mtu ameguswa na matukio yanayo fanywa na baadhi ya watu wao hufikiria mtoa taarifa kuwa ana kiherehere kwahiyo wanakula sahani moja na shahidi tumeshuhudia watu wengi walio jaribu kusaidiana na askari kushughulikia waharifu lakini mwisho wa siku shahidi ndio anakuwa mwaharifu yaani,, yani askari badala ya kumpongeza mtoa ushahidi lakini wao wana mchallenge kupita kawaida hadi mwisho wa siku shahidi anashindwa anakuwa mtuhumiwa mwenyewe

Kwa kifupi hiyo ndio taswira tu ya mambo yanayo endelea kwenye jamii hadi kwenye suala la vifo kutoa ushahidi inakuwa ni kiherehere

Kuna siku moja nilipita barabara flani hivi nilikuta mtu amegongwa na gari gari lililo mgonga huyo bwana lilikuwa limepitiliza haraka kwahiyo halikueleweka kuwa ni gari gani japo kuna wengine walilitambua hilo gari lakini walikausha, huyo bwana alikuwa liye gongwa alikuwa amebaki pale barabarani hakuna mtu aliye msogelea wala kumgusa na vyombo vingine vya usafiri viliendelea kumkwepa akiwa pale pale,, mimi nilivoona watu wanashangaa tu hawataki kuenda kumsaidia nilijaribu kuwa hamasisha "jamani tuendeni tumsaidie mwenzetu..." watu walisema wanaogopa wakimgusa yule bwana eti wataacha alama za vidole itaonekana wao ndio wameua 😭😭 kwahiyo tuliendelea kumshangaa pale huku wengine wakihangaika kuwaita polisi mwisho mimi uvumilivu ulinishinda niliamua kuenda hivo hivo bahati nzuri kuna jamaa mwingine alikuwa ameguswa na hilo tukio yeye alikuwa ana bajaji kwahiyo tulimbeba yule hadi hospitalini alikuwa bado hajapoteza maisha ila alikuwa amepoteza fahamu,, lakini kitu kingine cha ajabu tulivo mfikisha hospitalini tulijielezea na kueleza hali ilivo kuwa madaktari wakasema huu msalaba tunaubeba sisi tulio mpeleka pale kwa kuna gharama tulitakiwa tulipe kwa sababu haikujulikana kama ana bima au la! hivo sisi tulitakiwa kuullipia gharama zinazo husika kwenye ufunguaji wa faili bahati mbaya sana hiyo siku mimi na mwenzangu hatukuwa na hela za kutosha kulipia pale kwahiyo mgonjwa aliwekwa kando kwa muda 🥲 tukisubiri ndg zake waje na hii kesi siku sikia lolote mpaka sasa wala haikusemwa popote wala hakuna askari yeyote akijihusisha na hili tukio

Hii ndio hali halisi zinazo endelea kwenye jamii, watu wanaogopa kushiriki kwenye kutoa ushahidi hatakama mtu amepatika amekatwa katwa mapanga ikionekana tu uwezekano wa kupona huyo mtu ni mdogo watu wanakula kona,,

Mimi nimeandika tu huu uzi wala sifahamu kama unaweza kubadilisha chochote 🥲 lakini huku kwenye jamii zetu kumejaa maovu sana kama kuna mtu upo kwenye cheo fulani huko serikalini au upo kwenye harakati hizo nawaombeni mlitazame hili pia 😐 raia wanateseka sana watu wanapoteza ndugu zao bila sababu zozote za msingi HII AMANI INAYOSEMEKANA KUWA NCHI INA AMANI TUNATAMANI IWE NI AMANI YA KWELI KWA RAIA WOTE

Asanteni sana kwa kuvumilia kusoma huu uzi 🙏🙏 naamini nimeeleweka maana yangu ni ipi
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?

Je, pia una uelewa wowote kuhusiana na Suala la targeted crimes?Stagged accidents?

Usalama wa watu ktk nchi zetu hizi za Afrika ni tatizo kubwa sana. Kwa bahati mbaya sana kupita kiasi, wale watu ambao Wananchi wengi wanawaona kuwa ni walinda usalama wa watu, baadhi yao hao hao ndio Wahalifu wabaya Sana, tena ni watu hatari sana.
 
Inakuwa kama china bana china mtu ukipata tatizo hakuna anaekusogelea ata iweje, iwe ajali iwe umenasa sehemu yani upati msaada wowote mpka polisi waje

Ikiwa polisi wanawahi itakuwa afadhali ila huku bongo polisi wanakuja baada ya masaa mengi kupita
 
Ndio maana Marekani wana taasisi ya Marshal Services na The United States Federal Witness Protection Program (WITSEC)
 
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?

Je, pia una uelewa wowote kuhusiana na Suala la targeted crimes?Stagged accidents?

It is not about crime🌝 hii maada sijajikita kwenye mambo ya uharifu nazungumzia kuhusu raia kutoa msaada kwa wahamga wa matukio na watu bila kuwa wawajibisha wasamalia wema 🤔 ila kuhusu hizo elimu unaweza kuelezea tu watu tukafahamu dhumuni lako nini,, kama lengo lako ni kunichallenge mimi unakaribishwa pia
 
Ila safi huyo baba kunyooshwa, unaacha familia iteseke njaa afu hela unaenda kunywea pombee? Ilimbidi huyo mama amminye hilo tumbo atapike pombe yotee.

Shenzzzy zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sometimes tunakunywa za ofa bibie
 
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?

Je, pia una uelewa wowote kuhusiana na Suala la targeted crimes?Stagged accidents?

Usalama wa watu ktk nchi zetu hizi za Afrika ni tatizo kubwa sana. Kwa bahati mbaya sana kupita kiasi, wale watu ambao Wananchi wengi wanawaona kuwa ni walinda usalama wa watu, baadhi yao hao hao ndio Wahalifu wabaya Sana, tena ni watu hatari sana.

Hizi elimu kama askari wanazo haya mambo yote yasingekuwepo,, nafahamu kuwa uchunguzi unanjia nyingi sana eneo la tukio is starting point lkn ni ujinga sana mtu anapoteza maisha katika eneo la tukio kisa kusubiri polisi waje wachunguze,, jambo la muhimu ni maisha ya watu wala sio upelelezi,, sasa mtu anakufa hapo kwa sababu ya kukosa msaada wa haraka kisa kupisha polisi wafanye uchunguzi wao,, polisi wanafika eneo la tukio baada ya masaa kupita,, ni vema kuokoa maisha ndipo uchunguzi uendelee hizo protocols zingine naona ni za kikatili sana
 
Natumaini wote mko poa ndg wana JF,, lakini poleni sana kwale wote wenye changamoto yoyote ya kiafya au maisha kwa ujumla poleni sana Mungu awasaidie mkae sawa 🙏

Ndg zangu nimeamua kuandika uzi huu kutokana na mambo yanayo fanyika kwenye jamii zetu haya mambo yanaumiza sana😭 mitaani kumekuwa na vifo vingi sana vya watu baadhi vinaeleweka vizuri na wana jamii huku vingine vikiwa ni vya kuhisiwa tu kuwa huenda amefanywa hivi au

Lakini la kusikitisha zaidi kuna kuwa na watu wanao shuhudia kabisa mwanzo wa tukio mpaka mwisho lakini wanakausha kama vile hawajaona chochote ila mtu ndio tyr kafa hivo inabaki tu minong'ono ya chini chini wakifika polisi hao watu hujitenga kabisa tena wengine huondoka kabisa eneo la tukio,,, haya yote hutokea kwa sababu ya sheria na mifumo kwa askari walio wengi, shahidi akijitokeza kutoa ushahidi wake wana shughulika zaidi na huyo shahidi kuliko kushughulikia tukio zima yani yanageuka kuwa majuto kwa mtoa ushahidi hawafikirii kuwa huyo mtu ameguswa na matukio yanayo fanywa na baadhi ya watu wao hufikiria mtoa taarifa kuwa ana kiherehere kwahiyo wanakula sahani moja na shahidi tumeshuhudia watu wengi walio jaribu kusaidiana na askari kushughulikia waharifu lakini mwisho wa siku shahidi ndio anakuwa mwaharifu yaani,, yani askari badala ya kumpongeza mtoa ushahidi lakini wao wana mchallenge kupita kawaida hadi mwisho wa siku shahidi anashindwa anakuwa mtuhumiwa mwenyewe

Kwa kifupi hiyo ndio taswira tu ya mambo yanayo endelea kwenye jamii hadi kwenye suala la vifo kutoa ushahidi inakuwa ni kiherehere

Kuna siku moja nilipita barabara flani hivi nilikuta mtu amegongwa na gari gari lililo mgonga huyo bwana lilikuwa limepitiliza haraka kwahiyo halikueleweka kuwa ni gari gani japo kuna wengine walilitambua hilo gari lakini walikausha, huyo bwana alikuwa liye gongwa alikuwa amebaki pale barabarani hakuna mtu aliye msogelea wala kumgusa na vyombo vingine vya usafiri viliendelea kumkwepa akiwa pale pale,, mimi nilivoona watu wanashangaa tu hawataki kuenda kumsaidia nilijaribu kuwa hamasisha "jamani tuendeni tumsaidie mwenzetu..." watu walisema wanaogopa wakimgusa yule bwana eti wataacha alama za vidole itaonekana wao ndio wameua 😭😭 kwahiyo tuliendelea kumshangaa pale huku wengine wakihangaika kuwaita polisi mwisho mimi uvumilivu ulinishinda niliamua kuenda hivo hivo bahati nzuri kuna jamaa mwingine alikuwa ameguswa na hilo tukio yeye alikuwa ana bajaji kwahiyo tulimbeba yule hadi hospitalini alikuwa bado hajapoteza maisha ila alikuwa amepoteza fahamu,, lakini kitu kingine cha ajabu tulivo mfikisha hospitalini tulijielezea na kueleza hali ilivo kuwa madaktari wakasema huu msalaba tunaubeba sisi tulio mpeleka pale kwa kuna gharama tulitakiwa tulipe kwa sababu haikujulikana kama ana bima au la! hivo sisi tulitakiwa kuullipia gharama zinazo husika kwenye ufunguaji wa faili bahati mbaya sana hiyo siku mimi na mwenzangu hatukuwa na hela za kutosha kulipia pale kwahiyo mgonjwa aliwekwa kando kwa muda 🥲 tukisubiri ndg zake waje na hii kesi siku sikia lolote mpaka sasa wala haikusemwa popote wala hakuna askari yeyote akijihusisha na hili tukio

Hii ndio hali halisi zinazo endelea kwenye jamii, watu wanaogopa kushiriki kwenye kutoa ushahidi hatakama mtu amepatika amekatwa katwa mapanga ikionekana tu uwezekano wa kupona huyo mtu ni mdogo watu wanakula kona,,

Mimi nimeandika tu huu uzi wala sifahamu kama unaweza kubadilisha chochote 🥲 lakini huku kwenye jamii zetu kumejaa maovu sana kama kuna mtu upo kwenye cheo fulani huko serikalini au upo kwenye harakati hizo nawaombeni mlitazame hili pia 😐 raia wanateseka sana watu wanapoteza ndugu zao bila sababu zozote za msingi HII AMANI INAYOSEMEKANA KUWA NCHI INA AMANI TUNATAMANI IWE NI AMANI YA KWELI KWA RAIA WOTE

Asanteni sana kwa kuvumilia kusoma huu uzi 🙏🙏 naamini nimeeleweka maana yangu ni ipi
Mkasa wa kusikitisha unaoonyesha serikali iliyoshindwa kila kitu. Tatizo ni kuwa mtanzania ukimwambia tudai katiba mpya itakayotupa viongozi bora atakwambia ''katiba haileti chakula mezani''
 
Ila safi huyo baba kunyooshwa, unaacha familia iteseke njaa afu hela unaenda kunywea pombee? Ilimbidi huyo mama amminye hilo tumbo atapike pombe yotee.

Shenzzzy zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusihukumu tusiyoyajua
Laiti yeye angesimulia kwanini anakunywa pombe kupindukia na ikawa sababu ni mama
Tungeanza kutoa pole kwa mlevi
Nyumba hizi zina mambo mengi sana
Ndio maana najichunga sana kuwa hakimu
 
Namshukuru Mungu miaka kadhaa nyuma nilipata ajali niligongwa na bodaboda wasamaria wema wakanipandisha kwenye bajaji huku navuja damu nyingi kichwani wakanipeleka hospital!
Wangenichelewesha sijui ingekuwaje,hii imenipelekea na Mimi kuokoa watu kadhaa kwenye ajali ingawa ni too risky sana
 
Namshukuru Mungu miaka kadhaa nyuma nilipata ajali niligongwa na bodaboda wasamaria wema wakanipandisha kwenye bajaji huku navuja damu nyingi kichwani wakanipeleka hospital!
Wangenichelewesha sijui ingekuwaje,hii imenipelekea na Mimi kuokoa watu kadhaa kwenye ajali ingawa ni too risky sana

Pole kwa mikasa mkuu,, nini kifanyike kutatua haya mambo ili watu wengi wasaidiwe maana kuna watu wengi wamekufa kwa kukosa msaada wa haraka,, maana hata miundo mbinu kwenye baadhi ya maeneo haisuport polisi kuwahi lkn watu watakaa hapo kusubiri hadi polisi wafike mwisho wasiku mtu anakata roho,, lkn pia kuna maeneo yenye miundo mbinu mizuri lkn polisi wanachelewa kufika na ukiwa kiherehere sana ni majanga pia 😐
 
Mkuu ni kweli kabisa hii hali

Mi ilikua hivi
Mida ya usiku kama sa mbili kuna bodaboda alikua mbele yangu mi nna kibajaji sasa mbele kuna Lori lilikua bovu halina reflecta wala halijawasha taa sas yule boda hakuliona akaligonga kwa nyuma akaanguk hp hp na kupoteza faham watu walikuj wengi kushuhudia ila hawakutaka kumbeba bahT nzuri mm nikajitolea kumplek hospital ila baada ya jamaa kupandushwa kweny bajaj kila mtu akpita na njia zake hawatki ushahid bahat akatokea jamaa tu muokt kopo tukaend nae hospt na mgonjwa

Tumefk hospital wakagom kumtib had tuend polis kuchukua pf3. Tumefika polisi wanaanz kutuuliza jamaa anaitwa nani anakaa wap na maswali personal kibao na sis hatumjui ...tukajieleza tumerudi tena hospital nao wanatak hela za kufungua file na matibabu ..kiukwel polisi na mahospitali inabidi suala la ajali liangaliww uppya watu wanaacha kusaidia watu kwa kukwepa kubeba mizigo juu ya mizigo labda kama jamaa angekata moto naona kabisa mimi na muokta kopo tungewekwa ndani kwa ajili ya ushahidi

Tunaomba sheria au sera za majanga au ajali ziangaliwe upya ..pia ikiwezekqna pf3 ziwepo hospital na sio polisi

Asante
Tunaomba sheria au sera za majanga au ajali ziangaliwe upya ..pia ikiwezekqna pf3 ziwepo hospital na sio polisi📌
 
😂😂😂 sasa kulikua na ulazima gani wa mama kumkalia juu mmewe akiwa uchi?

Ili kipigo kimuingie vizuri...

Ila hao watoto wali fanya u-snitch sana kwa mzee wao. Yani mama anachinjwa kumbe ndio baba ananyongwaa..

Au watoto walikuwa wanapiga kelele kwa code..
 
Kwa nyakati hizi unakufa laivu huku watu wanachukua video na kukimbia.

Hakuna anayetaka matatizo.
 
Nimecheka sana huu ni ukweli 100%√
Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje!

Yaani hata ukitokea msala kazini ukabananishwa, wewe polisi sijui mpelelezi mpeleke bar mpe bia 3 na nyama.
Hapo hapo anaanza kufunguka kwamba yule bosi kwenye idara yako kuwa naye makini sana, yeye ndio amekuchoma sana. Sasa wewe ukisharudi lazima umchunie bosi kiaina.
 
Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje!

Yaani hata ukitokea msala kazini ukabananishwa, wewe polisi sijui mpelelezi mpeleke bar mpe bia 3 na nyama.
Hapo hapo anaanza kufunguka kwamba yule bosi kwenye idara yako kuwa naye makini sana, yeye ndio amekuchoma sana. Sasa wewe ukisharudi lazima umchunie bosi kiaina.
Kuna chanel inaitwa investigation discovery wale jamaa wako very professional linapofika swala la uchunguzi. Kama wanachunguza jambo ikatokea kuna mtu ana maelezo kuwapa mwanga wa tukio wanampa ushirikiano mkubwa, huku kwetu maraia wanaogopa sababu ya mambo kama haya.
 
Namshukuru Mungu miaka kadhaa nyuma nilipata ajali niligongwa na bodaboda wasamaria wema wakanipandisha kwenye bajaji huku navuja damu nyingi kichwani wakanipeleka hospital!
Wangenichelewesha sijui ingekuwaje,hii imenipelekea na Mimi kuokoa watu kadhaa kwenye ajali ingawa ni too risky sana
Mm nilipata ajali pia wasamalia wema walinisaidia nikafika hosptal mm sijali police walete huo ujinga wao ila km naweza msaidia binadam mwenzangu akihangaika kuutete uhai wake lazima nitamsaidia.
 
Back
Top Bottom