Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Nilisweka lupango kisa nilimsaidia majeruhi wa ajali ya gari,Nini kilitokea mkuu 2003 hapo mimi nikiwa na 3yrs old π
Nimecheka sana huu ni ukweli 100%βUkitoa taarifa polisi ya labda muhalifu wa mtaani, na wao wanamfata mhalifu wanamwuliza unaishi vipi na wenzako mtaani! Maana ndio wametupa taarifa zako.
Hapo ni baada ya kuchukua hela ya kiwi.
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?Natumaini wote mko poa ndg wana JF,, lakini poleni sana kwale wote wenye changamoto yoyote ya kiafya au maisha kwa ujumla poleni sana Mungu awasaidie mkae sawa π
Ndg zangu nimeamua kuandika uzi huu kutokana na mambo yanayo fanyika kwenye jamii zetu haya mambo yanaumiza sanaπ mitaani kumekuwa na vifo vingi sana vya watu baadhi vinaeleweka vizuri na wana jamii huku vingine vikiwa ni vya kuhisiwa tu kuwa huenda amefanywa hivi au
Lakini la kusikitisha zaidi kuna kuwa na watu wanao shuhudia kabisa mwanzo wa tukio mpaka mwisho lakini wanakausha kama vile hawajaona chochote ila mtu ndio tyr kafa hivo inabaki tu minong'ono ya chini chini wakifika polisi hao watu hujitenga kabisa tena wengine huondoka kabisa eneo la tukio,,, haya yote hutokea kwa sababu ya sheria na mifumo kwa askari walio wengi, shahidi akijitokeza kutoa ushahidi wake wana shughulika zaidi na huyo shahidi kuliko kushughulikia tukio zima yani yanageuka kuwa majuto kwa mtoa ushahidi hawafikirii kuwa huyo mtu ameguswa na matukio yanayo fanywa na baadhi ya watu wao hufikiria mtoa taarifa kuwa ana kiherehere kwahiyo wanakula sahani moja na shahidi tumeshuhudia watu wengi walio jaribu kusaidiana na askari kushughulikia waharifu lakini mwisho wa siku shahidi ndio anakuwa mwaharifu yaani,, yani askari badala ya kumpongeza mtoa ushahidi lakini wao wana mchallenge kupita kawaida hadi mwisho wa siku shahidi anashindwa anakuwa mtuhumiwa mwenyewe
Kwa kifupi hiyo ndio taswira tu ya mambo yanayo endelea kwenye jamii hadi kwenye suala la vifo kutoa ushahidi inakuwa ni kiherehere
Kuna siku moja nilipita barabara flani hivi nilikuta mtu amegongwa na gari gari lililo mgonga huyo bwana lilikuwa limepitiliza haraka kwahiyo halikueleweka kuwa ni gari gani japo kuna wengine walilitambua hilo gari lakini walikausha, huyo bwana alikuwa liye gongwa alikuwa amebaki pale barabarani hakuna mtu aliye msogelea wala kumgusa na vyombo vingine vya usafiri viliendelea kumkwepa akiwa pale pale,, mimi nilivoona watu wanashangaa tu hawataki kuenda kumsaidia nilijaribu kuwa hamasisha "jamani tuendeni tumsaidie mwenzetu..." watu walisema wanaogopa wakimgusa yule bwana eti wataacha alama za vidole itaonekana wao ndio wameua ππ kwahiyo tuliendelea kumshangaa pale huku wengine wakihangaika kuwaita polisi mwisho mimi uvumilivu ulinishinda niliamua kuenda hivo hivo bahati nzuri kuna jamaa mwingine alikuwa ameguswa na hilo tukio yeye alikuwa ana bajaji kwahiyo tulimbeba yule hadi hospitalini alikuwa bado hajapoteza maisha ila alikuwa amepoteza fahamu,, lakini kitu kingine cha ajabu tulivo mfikisha hospitalini tulijielezea na kueleza hali ilivo kuwa madaktari wakasema huu msalaba tunaubeba sisi tulio mpeleka pale kwa kuna gharama tulitakiwa tulipe kwa sababu haikujulikana kama ana bima au la! hivo sisi tulitakiwa kuullipia gharama zinazo husika kwenye ufunguaji wa faili bahati mbaya sana hiyo siku mimi na mwenzangu hatukuwa na hela za kutosha kulipia pale kwahiyo mgonjwa aliwekwa kando kwa muda π₯² tukisubiri ndg zake waje na hii kesi siku sikia lolote mpaka sasa wala haikusemwa popote wala hakuna askari yeyote akijihusisha na hili tukio
Hii ndio hali halisi zinazo endelea kwenye jamii, watu wanaogopa kushiriki kwenye kutoa ushahidi hatakama mtu amepatika amekatwa katwa mapanga ikionekana tu uwezekano wa kupona huyo mtu ni mdogo watu wanakula kona,,
Mimi nimeandika tu huu uzi wala sifahamu kama unaweza kubadilisha chochote π₯² lakini huku kwenye jamii zetu kumejaa maovu sana kama kuna mtu upo kwenye cheo fulani huko serikalini au upo kwenye harakati hizo nawaombeni mlitazame hili pia π raia wanateseka sana watu wanapoteza ndugu zao bila sababu zozote za msingi HII AMANI INAYOSEMEKANA KUWA NCHI INA AMANI TUNATAMANI IWE NI AMANI YA KWELI KWA RAIA WOTE
Asanteni sana kwa kuvumilia kusoma huu uzi ππ naamini nimeeleweka maana yangu ni ipi
Inakuwa kama china bana china mtu ukipata tatizo hakuna anaekusogelea ata iweje, iwe ajali iwe umenasa sehemu yani upati msaada wowote mpka polisi waje
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?
Je, pia una uelewa wowote kuhusiana na Suala la targeted crimes?Stagged accidents?
Sometimes tunakunywa za ofa bibieIla safi huyo baba kunyooshwa, unaacha familia iteseke njaa afu hela unaenda kunywea pombee? Ilimbidi huyo mama amminye hilo tumbo atapike pombe yotee.
Shenzzzy zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Je, una uelewa wowote kuhusiana na Elimu ya masuala ya Criminology? Crime Intelligence? Forensic science? Crime scene investigation?
Je, pia una uelewa wowote kuhusiana na Suala la targeted crimes?Stagged accidents?
Usalama wa watu ktk nchi zetu hizi za Afrika ni tatizo kubwa sana. Kwa bahati mbaya sana kupita kiasi, wale watu ambao Wananchi wengi wanawaona kuwa ni walinda usalama wa watu, baadhi yao hao hao ndio Wahalifu wabaya Sana, tena ni watu hatari sana.
Mkasa wa kusikitisha unaoonyesha serikali iliyoshindwa kila kitu. Tatizo ni kuwa mtanzania ukimwambia tudai katiba mpya itakayotupa viongozi bora atakwambia ''katiba haileti chakula mezani''Natumaini wote mko poa ndg wana JF,, lakini poleni sana kwale wote wenye changamoto yoyote ya kiafya au maisha kwa ujumla poleni sana Mungu awasaidie mkae sawa π
Ndg zangu nimeamua kuandika uzi huu kutokana na mambo yanayo fanyika kwenye jamii zetu haya mambo yanaumiza sanaπ mitaani kumekuwa na vifo vingi sana vya watu baadhi vinaeleweka vizuri na wana jamii huku vingine vikiwa ni vya kuhisiwa tu kuwa huenda amefanywa hivi au
Lakini la kusikitisha zaidi kuna kuwa na watu wanao shuhudia kabisa mwanzo wa tukio mpaka mwisho lakini wanakausha kama vile hawajaona chochote ila mtu ndio tyr kafa hivo inabaki tu minong'ono ya chini chini wakifika polisi hao watu hujitenga kabisa tena wengine huondoka kabisa eneo la tukio,,, haya yote hutokea kwa sababu ya sheria na mifumo kwa askari walio wengi, shahidi akijitokeza kutoa ushahidi wake wana shughulika zaidi na huyo shahidi kuliko kushughulikia tukio zima yani yanageuka kuwa majuto kwa mtoa ushahidi hawafikirii kuwa huyo mtu ameguswa na matukio yanayo fanywa na baadhi ya watu wao hufikiria mtoa taarifa kuwa ana kiherehere kwahiyo wanakula sahani moja na shahidi tumeshuhudia watu wengi walio jaribu kusaidiana na askari kushughulikia waharifu lakini mwisho wa siku shahidi ndio anakuwa mwaharifu yaani,, yani askari badala ya kumpongeza mtoa ushahidi lakini wao wana mchallenge kupita kawaida hadi mwisho wa siku shahidi anashindwa anakuwa mtuhumiwa mwenyewe
Kwa kifupi hiyo ndio taswira tu ya mambo yanayo endelea kwenye jamii hadi kwenye suala la vifo kutoa ushahidi inakuwa ni kiherehere
Kuna siku moja nilipita barabara flani hivi nilikuta mtu amegongwa na gari gari lililo mgonga huyo bwana lilikuwa limepitiliza haraka kwahiyo halikueleweka kuwa ni gari gani japo kuna wengine walilitambua hilo gari lakini walikausha, huyo bwana alikuwa liye gongwa alikuwa amebaki pale barabarani hakuna mtu aliye msogelea wala kumgusa na vyombo vingine vya usafiri viliendelea kumkwepa akiwa pale pale,, mimi nilivoona watu wanashangaa tu hawataki kuenda kumsaidia nilijaribu kuwa hamasisha "jamani tuendeni tumsaidie mwenzetu..." watu walisema wanaogopa wakimgusa yule bwana eti wataacha alama za vidole itaonekana wao ndio wameua ππ kwahiyo tuliendelea kumshangaa pale huku wengine wakihangaika kuwaita polisi mwisho mimi uvumilivu ulinishinda niliamua kuenda hivo hivo bahati nzuri kuna jamaa mwingine alikuwa ameguswa na hilo tukio yeye alikuwa ana bajaji kwahiyo tulimbeba yule hadi hospitalini alikuwa bado hajapoteza maisha ila alikuwa amepoteza fahamu,, lakini kitu kingine cha ajabu tulivo mfikisha hospitalini tulijielezea na kueleza hali ilivo kuwa madaktari wakasema huu msalaba tunaubeba sisi tulio mpeleka pale kwa kuna gharama tulitakiwa tulipe kwa sababu haikujulikana kama ana bima au la! hivo sisi tulitakiwa kuullipia gharama zinazo husika kwenye ufunguaji wa faili bahati mbaya sana hiyo siku mimi na mwenzangu hatukuwa na hela za kutosha kulipia pale kwahiyo mgonjwa aliwekwa kando kwa muda π₯² tukisubiri ndg zake waje na hii kesi siku sikia lolote mpaka sasa wala haikusemwa popote wala hakuna askari yeyote akijihusisha na hili tukio
Hii ndio hali halisi zinazo endelea kwenye jamii, watu wanaogopa kushiriki kwenye kutoa ushahidi hatakama mtu amepatika amekatwa katwa mapanga ikionekana tu uwezekano wa kupona huyo mtu ni mdogo watu wanakula kona,,
Mimi nimeandika tu huu uzi wala sifahamu kama unaweza kubadilisha chochote π₯² lakini huku kwenye jamii zetu kumejaa maovu sana kama kuna mtu upo kwenye cheo fulani huko serikalini au upo kwenye harakati hizo nawaombeni mlitazame hili pia π raia wanateseka sana watu wanapoteza ndugu zao bila sababu zozote za msingi HII AMANI INAYOSEMEKANA KUWA NCHI INA AMANI TUNATAMANI IWE NI AMANI YA KWELI KWA RAIA WOTE
Asanteni sana kwa kuvumilia kusoma huu uzi ππ naamini nimeeleweka maana yangu ni ipi
Tusihukumu tusiyoyajuaIla safi huyo baba kunyooshwa, unaacha familia iteseke njaa afu hela unaenda kunywea pombee? Ilimbidi huyo mama amminye hilo tumbo atapike pombe yotee.
Shenzzzy zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namshukuru Mungu miaka kadhaa nyuma nilipata ajali niligongwa na bodaboda wasamaria wema wakanipandisha kwenye bajaji huku navuja damu nyingi kichwani wakanipeleka hospital!
Wangenichelewesha sijui ingekuwaje,hii imenipelekea na Mimi kuokoa watu kadhaa kwenye ajali ingawa ni too risky sana
Tunaomba sheria au sera za majanga au ajali ziangaliwe upya ..pia ikiwezekqna pf3 ziwepo hospital na sio polisiπMkuu ni kweli kabisa hii hali
Mi ilikua hivi
Mida ya usiku kama sa mbili kuna bodaboda alikua mbele yangu mi nna kibajaji sasa mbele kuna Lori lilikua bovu halina reflecta wala halijawasha taa sas yule boda hakuliona akaligonga kwa nyuma akaanguk hp hp na kupoteza faham watu walikuj wengi kushuhudia ila hawakutaka kumbeba bahT nzuri mm nikajitolea kumplek hospital ila baada ya jamaa kupandushwa kweny bajaj kila mtu akpita na njia zake hawatki ushahid bahat akatokea jamaa tu muokt kopo tukaend nae hospt na mgonjwa
Tumefk hospital wakagom kumtib had tuend polis kuchukua pf3. Tumefika polisi wanaanz kutuuliza jamaa anaitwa nani anakaa wap na maswali personal kibao na sis hatumjui ...tukajieleza tumerudi tena hospital nao wanatak hela za kufungua file na matibabu ..kiukwel polisi na mahospitali inabidi suala la ajali liangaliww uppya watu wanaacha kusaidia watu kwa kukwepa kubeba mizigo juu ya mizigo labda kama jamaa angekata moto naona kabisa mimi na muokta kopo tungewekwa ndani kwa ajili ya ushahidi
Tunaomba sheria au sera za majanga au ajali ziangaliwe upya ..pia ikiwezekqna pf3 ziwepo hospital na sio polisi
Asante
πππ sasa kulikua na ulazima gani wa mama kumkalia juu mmewe akiwa uchi?
Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje!Nimecheka sana huu ni ukweli 100%β
Kuna chanel inaitwa investigation discovery wale jamaa wako very professional linapofika swala la uchunguzi. Kama wanachunguza jambo ikatokea kuna mtu ana maelezo kuwapa mwanga wa tukio wanampa ushirikiano mkubwa, huku kwetu maraia wanaogopa sababu ya mambo kama haya.Yaani polisi ukiwapa hela hata usiongee sana. Wenyewe ndio wanakwambia fulani ndio katuambia, unafikiri sisi tungejuaje!
Yaani hata ukitokea msala kazini ukabananishwa, wewe polisi sijui mpelelezi mpeleke bar mpe bia 3 na nyama.
Hapo hapo anaanza kufunguka kwamba yule bosi kwenye idara yako kuwa naye makini sana, yeye ndio amekuchoma sana. Sasa wewe ukisharudi lazima umchunie bosi kiaina.
Mm nilipata ajali pia wasamalia wema walinisaidia nikafika hosptal mm sijali police walete huo ujinga wao ila km naweza msaidia binadam mwenzangu akihangaika kuutete uhai wake lazima nitamsaidia.Namshukuru Mungu miaka kadhaa nyuma nilipata ajali niligongwa na bodaboda wasamaria wema wakanipandisha kwenye bajaji huku navuja damu nyingi kichwani wakanipeleka hospital!
Wangenichelewesha sijui ingekuwaje,hii imenipelekea na Mimi kuokoa watu kadhaa kwenye ajali ingawa ni too risky sana