Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Rudi utoe maoni yako.NitayazingatiaNimesima taito kwanza..
Nitarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi utoe maoni yako.NitayazingatiaNimesima taito kwanza..
Nitarudi
Huoni umuhimu wa kuwa na gari because you're banging an average girl, if you want to get laid with the most beautiful girls unahitaji kudrive a nice car, get some cash, go to expensive places, kifupi uwe competent kila idara.Mshamba wa magari wewe . And I am not talking about designer clothes.
We una wazungumzia malaya mkuu ambao ukiwa unatoka nae kimapenzi anakutambulisha kwa rafiki zake kama danga..Huoni umuhimu wa kuwa na gari because you're banging an average girl, if you want to get laid with the most beautiful girls unahitaji kudrive a nice car, get some cash, go to expensive places, kifupi uwe competent kila idara.
This is what am talking aboutNaomba na mimi niongeze kitu hapo, kipindi naishi nyumban nlikua ni mtu wa kuroga sana and I was so shy to girls , huwez amini sisemeshi mademu wala nini ila walikua wakinifuata na kunitumia ujumbe mwingi sana kuanzia mabinti wa lika langu , wadada walonizidi umri had baadhi walikua n married womens and I was owned nothing than that codes .
Mwanaume kuhave FUNNY with your girl unageuka danga? Wtf?We una wazungumzia malaya mkuu ambao ukiwa unatoka nae kimapenzi anakutambulisha kwa rafiki zake kama danga..
Spray za kupimaKunukia pia.
Fvck off! Sio lazima kuAdvitise to the world that you're a brokey guy, just be low key tu inatosha.Ulikuwa hujui kumbe?
kumbe Sunderland zipo wanakubali kuuza moja moja80k sunderland kariakoo but kino hiyo ni 120k to 150k
[emoji38][emoji38]Wa sasa hivi hata kama unaroga au una gari kama haumpi hela unaweza usiwapate[emoji23][emoji23][emoji23]
Hili ndo Huwa la kwanza naangalia ukianza kunifuatilia[emoji38]Kunukia pia.
Na wanawake wa kileo hawakuwepo enzi za Babu zetu,we are materialistic oriented societybabu zetu hawakuwa na magari
Kutembea na funguo kama muhaya😂😂😂😂
MnooooMkuu hujakosea wanawake wanapenda wanaume wanao jipenda sana.
[emoji1787][emoji1787]kweli kabisaaUmeongea ukwel mtupu, kuna wanaume wana ndinga kali lakin hutaman kutoka nao hata out kwasababu wanavovaa , wengine n wachafu jmn..
Real talk bro [emoji817]
NakaziaaaYan mm nikiona mkaka msafi yan napagawa, afu anukie ndo kabisa nahis kucum [emoji23], Gari mtu anaweza kupata bhn (artificial)lakin usafi na kuvaa vzur n natural jmn.
Sasa imagine umempata mkaka flan haalf msafi tuu naturally halaf anakuja kuwa na ndinga lake pia huko mbelen, nyie acheni tuu
[emoji1787][emoji108]Penz na pesa mezani bila kujieleza