Sababu za kisayansi kwanini Mwanaume anayevaa vizuri hung'oa wanawake wengi wakali kuliko mwenye gari

Sababu za kisayansi kwanini Mwanaume anayevaa vizuri hung'oa wanawake wengi wakali kuliko mwenye gari

Mshamba wa magari wewe . And I am not talking about designer clothes.
Huoni umuhimu wa kuwa na gari because you're banging an average girl, if you want to get laid with the most beautiful girls unahitaji kudrive a nice car, get some cash, go to expensive places, kifupi uwe competent kila idara.
 
Naomba na mimi niongeze kitu hapo, kipindi naishi nyumban nlikua ni mtu wa kuroga sana and I was so shy to girls , huwez amini sisemeshi mademu wala nini ila walikua wakinifuata na kunitumia ujumbe mwingi sana kuanzia mabinti wa lika langu , wadada walonizidi umri had baadhi walikua n married womens and I was owned nothing than that codes .
 
Huoni umuhimu wa kuwa na gari because you're banging an average girl, if you want to get laid with the most beautiful girls unahitaji kudrive a nice car, get some cash, go to expensive places, kifupi uwe competent kila idara.
We una wazungumzia malaya mkuu ambao ukiwa unatoka nae kimapenzi anakutambulisha kwa rafiki zake kama danga..
 
Naomba na mimi niongeze kitu hapo, kipindi naishi nyumban nlikua ni mtu wa kuroga sana and I was so shy to girls , huwez amini sisemeshi mademu wala nini ila walikua wakinifuata na kunitumia ujumbe mwingi sana kuanzia mabinti wa lika langu , wadada walonizidi umri had baadhi walikua n married womens and I was owned nothing than that codes .
This is what am talking about
 
We una wazungumzia malaya mkuu ambao ukiwa unatoka nae kimapenzi anakutambulisha kwa rafiki zake kama danga..
Mwanaume kuhave FUNNY with your girl unageuka danga? Wtf?

Idiot mentality.
 
Yan mm nikiona mkaka msafi yan napagawa, afu anukie ndo kabisa nahis kucum [emoji23], Gari mtu anaweza kupata bhn (artificial)lakin usafi na kuvaa vzur n natural jmn.

Sasa imagine umempata mkaka flan haalf msafi tuu naturally halaf anakuja kuwa na ndinga lake pia huko mbelen, nyie acheni tuu
Nakaziaaa
 
Back
Top Bottom