Sababu za kukamatwa kwa Wakili Peter Madeleka
Ukweli mchungu tunaishi in a pithole country, nchi ambayo mihimili ya judiciary na Bunge ipo mifukoni mwa mhimili wa magogoni, katiba mpya ndio nchi inahitaji ,kesi hii taasisi mbili huru zingeihusu, Human rights commission na PP,haki ya mlalamikaji ingepatilkana kihalali, na jeshi letu la police livunjwe na tuanze upya, all above 40yrs waondolewe maana wapo corrupted na systems, tuajiri young graduates ,watuwekee msingi mpya na bora,mfano tuchukue 1000 tuwapeleke pale Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's bora na kuona wenzetu wamefanikiwa vipi kuwa na zero corruption kwenye utendaji wake hasa barabarani
Huyo Madeleka ni mpumbavu km alivyo siku zote, sasa akanyee ndoo anajifanya mjuaji sana na kuisumbua mahakama, inaonekana haziko vizuri kichwani
 
....UPOTOSHAJI:

Jamii inapotoshwa na kuaminishwa kuwa mshtakiwa ameshikwa kutokana na kutoa maoni yake juu ya Mkataba wa DP world na Serikali ya JMT jambo ambalo si sahihi.

Ikumbukwe watu mbalimbali wametoa mawazo yao na hakuna yoyote alieshikwa. Hata katika kesi iliyofunguliwa na mawakili yeye si miongoni Mwao.

Hivyo ifahamike na itambulike mshtakiwa ameshikwa kwa makosa yake aliyoyafanya huko nyuma ambapo yeye mwenyewe alikiri na sasa ameomba Mahakama ifute maamuzi hayo hivyo kesi yake ya msingi inaendelea.
Hapo kwenye red.
Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na waliokamatwa pamoja nao huko Mbeya wameshikiliwa kwa kosa gani?

Maelezo uliyoyatoa kuhusu Madeleka ni yenye ufundi mwingi tena mkakati uliopangwa vyema.

Mmemkamata Madeleka ili kupunguza mwangwi wa tuhuma dhidi ya Samia kusaini mkataba wa HOVYO wa kuzitoa bandari zetu kwa wageni bila kuzingatia maslahi ya Taifa.

Viongozi hususan Mawaziri na Wabunge wamekuwa wakitoa kauli za vitisho dhidi ya wanaohoji huo mkataba.....


Kawadanganye watoto wa chekechea. Mmekwama na sasa mnatumia nguvu kunyamazisha wanaohoji
 
Hapo kwenye red.
Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na waliokamatwa pamoja nao huko Mbeya wameshikiliwa kwa kosa gani?

Maelezo uliyoyatoa kuhusu Madeleka ni yenye ufundi mwingi tena mkakati uliopangwa vyema.

Mmemkamata Madeleka ili kupunguza mwangwi wa tuhuma dhidi ya Samia kusaini mkataba wa HOVYO wa kuzitoa bandari zetu kwa wageni bila kuzingatia maslahi ya Taifa.

Viongozi hususan Mawaziri na Wabunge wamekuwa wakitoa kauli za vitisho dhidi ya wanaohoji huo mkataba.....


Kawadanganye watoto wa chekechea. Mmekwama na sasa mnatumia nguvu kunyamazisha wanaohoji
Huyo jamaa ni mpuuzi na mwongo asiyejielewa, alidhani anadanganya watoto hapa JF.
 
Hizo taratibu zote za kesi mahakamani kama kweli zilikuwepo, iweje mkamvizie akiwa kwenye chumba cha mahakama mnasubiri akitoka nje ndio mumkamate?

Kwani hampafahamu nyumbani au ofisini kwake? mliwahi kumtaka ajisalimishe kituo cha polisi kwa hayo mashtaka akakataa kutii wito?

Huu utetezi uliouleta hapa ni ujinga mtupu, kimsingi mmemkamata Adv. Madeleka kwa sababu ya msimamo wake kuhusu utoaji bure wa bandari zetu zote Tanganyika, lakini sio kwa hizo sababu nyepesi ulizotuandikia hapo.
Haws ndugu wameishiwa hata akili.

Wapo kama marobot yaani wamesetiwa kutetea, kukandamiza, kuua, kutishia na kudanganya

Siku zinahesabika kwa sababu mwisho umeshaanza
 
Mnamo mwaka 2020 Wakili Peter Madeleka alikamatwa na kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi no. 40 (Economic case no 40/2020) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Arusha. Katika kesi hiyo alishtakiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kughushi (forgery) kinyume na Sheria ya Mwenendo wa Adhabu (Penal Code) kifungu cha 337 cha sheria hiyo.

Pia alishtakiwa chini ya kifungu cha 12 cha Sheria ya Makosa ya Uhujumu Uchumu (Anti Money Laundering Act).

Wakati shauri lake linaendelea aliomba kufanya makubaliano na Serikali (Pre Bargaining) na taratibu zote za kufanya makubaliano zilifuatwa na ndipo aliachiwa huru.

Mara baada ya kuachiwa huru kupitia vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii Wakili Madeleka aliendelea kuchapisha habari kuwa alilazimishwa kukiri kosa na aliekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka.

Baadaye alifungua kesi katika Mahakama Kuu akipinga taratibu hizo lakini maombi hayo madogo yalitupwa nje kwa kuwa Mahakama haikuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri hilo.

Ndipo alifungua shauri hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kupinga maamuzi hayo lakini Mahakama ilitoa maamuzi kuwa taratibu zote za makubaliano (Plea Bargaining) zilifanyika sawa.

Baada ya maamuzi hayo alikata rufaa tena na kuja na sababu tofauti ambapo Mahakama ilisikiliza hoja zake na kutoa amri kuwa taratibu za makubaliano hazikuzingatiwa hivyo kuamuru status ya kesi yake kurudi kama ilivyokuwa awali.

Baada ya maamuzi hayo Wakili Madeleka alikamatwa tena ili kuweza kuendelea na kesi yake ya msingi na kwa kuwa makosa anayoshtakiwa nayo hayana dhamana.

UPOTOSHAJI:

Jamii inapotoshwa na kuaminishwa kuwa mshtakiwa ameshikwa kutokana na kutoa maoni yake juu ya Mkataba wa DP world na Serikali ya JMT jambo ambalo si sahihi.

Ikumbukwe watu mbalimbali wametoa mawazo yao na hakuna yoyote alieshikwa. Hata katika kesi iliyofunguliwa na mawakili yeye si miongoni Mwao.

Hivyo ifahamike na itambulike mshtakiwa ameshikwa kwa makosa yake aliyoyafanya huko nyuma ambapo yeye mwenyewe alikiri na sasa ameomba Mahakama ifute maamuzi hayo hivyo kesi yake ya msingi inaendelea.
Ukiwa ccm, au Kwa uchache ukikubaliana nao, kuwaunga mkono, au kuwafichia maovu yao au kutowakosoa kwa namna yoyote, hata ulime bangi, uuze madawa ya kulevya au ufanye ufisadi gani, utakuwa salama. Waulize kina Sumaye, Lowasa etc waliojaribu kuhama ccm watakuambia. Karume family is powerful, lakini Fatma alinyang'anywa leseni ya uanasheria. Nasubiria hatma ya balozi Ali.
 
Hizo taratibu zote za kesi mahakamani kama kweli zilikuwepo, iweje mkamvizie akiwa kwenye chumba cha mahakama mnamsubiri akitoka nje ndio mumkamate?

Kwani hampafahamu nyumbani au ofisini kwake? mliwahi kumtaka ajisalimishe kituo cha polisi kwa hayo mashtaka akakataa kutii wito?

Huu utetezi uliouleta hapa ni ujinga mtupu, kimsingi mmemkamata Adv. Madeleka kwa sababu ya msimamo wake kuhusu utoaji bure wa bandari zetu zote Tanganyika, lakini sio kwa hizo sababu nyepesi ulizotuandikia hapo.
La bandari litakuzeesha kabla ya wakati.
Wee endelea kuhangaika na jambo ambalo huna uwezo wa kubadili chochote wakati wenzio ss hv wako kuangalia fursa....
 
Hizo taratibu zote za kesi mahakamani kama kweli zilikuwepo, iweje mkamvizie akiwa kwenye chumba cha mahakama mnamsubiri akitoka nje ndio mumkamate?

Kwani hampafahamu nyumbani au ofisini kwake? mliwahi kumtaka ajisalimishe kituo cha polisi kwa hayo mashtaka akakataa kutii wito?

Huu utetezi uliouleta hapa ni ujinga mtupu, kimsingi mmemkamata Adv. Madeleka kwa sababu ya msimamo wake kuhusu utoaji bure wa bandari zetu zote Tanganyika, lakini sio kwa hizo sababu nyepesi ulizotuandikia hapo.
Halafu eti "bandari zetu"
Wewe una bandari nchi hii!?
Kama unayo kaichukue basi. Huishi kulialia humu tukusaidie nini sasa?
 
Back
Top Bottom