Sababu za kukamatwa kwa Wakili Peter Madeleka
Umeusoma uzi? Nini ulichokielewa?

Ukitaka kuiongelea CCM funguwa uzi wake.
lugha za kijiweni ziache huko, huwezi kuonyesha una imani kali wakati umejawa na ushetani moyoni mwako, always try kusoma to understood sio kuuliza maswali, mimi kufungua uzi wa ccm ndio siku nitakufa hapa duniani, 60yrs ya utawala wa CCM hadi leo lingusenguse haina maji salama na safi, ni royal families tu.....Nani owner wa UDA, please rise your hand up!
 
Wakati nipo field 2016 kuna DHRO mmoja alimsimamisha kazi WEO na akaanza kumlipa nusu mshahara, MUNGU siyo Athuman yeye mwenyewe akasimamishwa 2017, DED akasema alipwe nusu mshahara akaanza kusema sahivi sheria inaruhusu mtu akisimamishwa alipwe full, kwa hiyo tunaposhabikia huu uovu tuwe makini sheria mbovu hizihizi zinaweza kukugeuka kama siyo wewe inaweza kuwa kwa ndugu yako.
 
lugha za kijiweni ziache huko, huwezi kuonyesha una imani kali wakati umejawa na ushetani moyoni mwako, always try kusoma to understood sio kuuliza maswali, mimi kufungua uzi wa ccm ndio siku nitakufa hapa duniani, 60yrs ya utawala wa ccm hadi leo lingusenguse haina maji salama na safi, ni royal families tu.....NANI OWNER WA UDA, PLS RISE YOUR HAND UP!!
Sasa hapa JF ni nini zaidi ya kijiwe cha kimtandao tu. Teknolojia ya mawasiliano inaufanya ulimwengu uwe kiganjani.

Sasa kama hata hilo halijakuingia akilini utaukwepa upunguani kweli?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ukweli mchungu tunaishi in a pithole country, nchi ambayo mihimili ya judiciary na Bunge ipo mifukoni mwa mhimili wa magogoni, katiba mpya ndio nchi inahitaji, kesi hii taasisi mbili huru zingeihusu, Human rights commission na PP, haki ya mlalamikaji ingepatilkana kihalali, na jeshi letu la police livunjwe na tuanze upya, all above 40yrs waondolewe maana wapo corrupted na systems, tuajiri young graduates, watuwekee msingi mpya na bora, mfano tuchukue 1000 tuwapeleke pale Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's bora na kuona wenzetu wamefanikiwa vipi kuwa na zero corruption kwenye utendaji wake hasa barabarani.
Umesema kweli mfumo mbovu wa CCM ndiyo umetufikisha hapa, yaani ni aibu tupu
 
Hapo kwenye red.
Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na waliokamatwa pamoja nao huko Mbeya wameshikiliwa kwa kosa gani?

Maelezo uliyoyatoa kuhusu Madeleka ni yenye ufundi mwingi tena mkakati uliopangwa vyema.

Mmemkamata Madeleka ili kupunguza mwangwi wa tuhuma dhidi ya Samia kusaini mkataba wa HOVYO wa kuzitoa bandari zetu kwa wageni bila kuzingatia maslahi ya Taifa.

Viongozi hususan Mawaziri na Wabunge wamekuwa wakitoa kauli za vitisho dhidi ya wanaohoji huo mkataba.....


Kawadanganye watoto wa chekechea. Mmekwama na sasa mnatumia nguvu kunyamazisha wanaohoji
Rais Samia anasumbua bara anajua siyo nchi yake akimaliza kuuza atarudi Unguja kula maisha
 
ewe umeisoma habari au umekurupuka tu?

Inahusiana nini na CCM?

Wacha kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Katika hili ninakubaliana na kukamatwa kwake, wasiwasi wangu bado upo kwa serikali na jeshi la polisi kukandamiza watu wanaotaka kufanya maandamano ya amani, kwanini serikali kupitia jeshi la polisi inakataza watu kutumia haki Yao ya kikatiba?.

Serikali yetu imeendelea kuwa kandamizi bila sababu za msingi, Mugufuli aliminya uhuru wa raia na watu wengi Sana waliumizwa katika utawala wake, japo kidogo mambo yamebadilika, lakini kwa kiasi kikubwa vyombo vya Dolla havijabadilika.

Kukamatwa kwa Mbowe na kuwekwa ndani kwa zaidi ya miezi 8, kukamatwa kwa Mdude huko Mbeya, Serikali kupuuza kufuatilia na kuchunguza tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lisu hata baada ya yeye kurudi nchini, ukizingatia kwamba serikali ilikataza watu kufanya mikutano ya kumchangia alipokua amelazwa hospital huko Nairobi, ni dalili za wazi kwamba serikali inahusika na matukio yote hayo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Katika hili ninakubaliana na kukamatwa kwake, wasiwasi wangu bado upo kwa serikali na jeshi la polisi kukandamiza watu wanaotaka kufanya maandamano ya amani, kwanini serikali kupitia jeshi la polisi inakataza watu kutumia haki Yao ya kikatiba?.

Serikali yetu imeendelea kuwa kandamizi bila sababu za msingi, Mugufuli aliminya uhuru wa raia na watu wengi Sana waliumizwa katika utawala wake, japo kidogo mambo yamebadilika, lakini kwa kiasi kikubwa vyombo vya Dolla havijabadilika.

Kukamatwa kwa Mbowe na kuwekwa ndani kwa zaidi ya miezi 8, kukamatwa kwa Mdude huko Mbeya, Serikali kupuuza kufuatilia na kuchunguza tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lisu hata baada ya yeye kurudi nchini, ukizingatia kwamba serikali ilikataza watu kufanya mikutano ya kumchangia alipokua amelazwa hospital huko Nairobi, ni dalili za wazi kwamba serikali inahusika na matukio yote hayo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mtuhumiwa no 1 ni hii serikali yetu
 
Ukweli mchungu tunaishi in a pithole country, nchi ambayo mihimili ya judiciary na Bunge ipo mifukoni mwa mhimili wa magogoni, katiba mpya ndio nchi inahitaji, kesi hii taasisi mbili huru zingeihusu, Human rights commission na PP, haki ya mlalamikaji ingepatilkana kihalali, na jeshi letu la police livunjwe na tuanze upya, all above 40yrs waondolewe maana wapo corrupted na systems, tuajiri young graduates, watuwekee msingi mpya na bora, mfano tuchukue 1000 tuwapeleke pale Botswana wakajifunze kuwa traffic officer's bora na kuona wenzetu wamefanikiwa vipi kuwa na zero corruption kwenye utendaji wake hasa barabarani.
Madeleke amekuwa taffic police tena?
 
Katika hili ninakubaliana na kukamatwa kwake, wasiwasi wangu bado upo kwa serikali na jeshi la polisi kukandamiza watu wanaotaka kufanya maandamano ya amani, kwanini serikali kupitia jeshi la polisi inakataza watu kutumia haki Yao ya kikatiba?.

Serikali yetu imeendelea kuwa kandamizi bila sababu za msingi, Mugufuli aliminya uhuru wa raia na watu wengi Sana waliumizwa katika utawala wake, japo kidogo mambo yamebadilika, lakini kwa kiasi kikubwa vyombo vya Dolla havijabadilika.

Kukamatwa kwa Mbowe na kuwekwa ndani kwa zaidi ya miezi 8, kukamatwa kwa Mdude huko Mbeya, Serikali kupuuza kufuatilia na kuchunguza tukio la kupigwa risasi kwa Tundu Lisu hata baada ya yeye kurudi nchini, ukizingatia kwamba serikali ilikataza watu kufanya mikutano ya kumchangia alipokua amelazwa hospital huko Nairobi, ni dalili za wazi kwamba serikali inahusika na matukio yote hayo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
jana wazee wa Afrika huko Arusha, wamekemea sana Afrika kuiga mambo ya uvunjifu wa amani kwa jina la maandamano.

N nashukuru Polisi ya Tanzania wameliona hilo na wameisoma dunia na kuona madhara ya maandamano ya kijinga. Wamewapiga marufuku hata uvCCM.

Wamefanya la maana sana.

Hata mimi sikubaliani na maandamno ya kijinga, tena mwendazake alifika mbali mpka kupiga marufuku hata mikutano ya kisiasa, waste of time for nothing.
 
Tuandamane ili mfanye mauaji huku mkijua sheria imebadilishwa ili hata mkifanya hayo muwe na kinga.....

Endelea kuoa maandamano. Mafuriko yanakuja bila kelele, maji yakishakuzingira ndo utafurahia kiburi ulicho nacho
Wanajiona wapo salama sn lakini siyo kweli, umma ukiamua kama wanavyofanya pale Kenya hakuna namna utaua wangapi?
 
Wewe uliyeenda shule umeleta mawazo gani chanya kwa maslahi mapana ya taifa lako kama sio kusubiri wale mabwana zenu wapinge au wasifie nanyi mjumuike nao.

Kuna watu wapuuzi sana katika hii nchi
samia hasani suluhu tuna imani kubwa na wewe kulifikisha hili taifa pahala salama
Hayo mawazo chanya ayapeleke wapi ili yasikilizwe, kama hata ule mkataba wa hovyo wa bandari licha ya kutaka wananchi watoe mawazo yao lakini hawakupewa hiyo nafasi?

Kuthibitisha ulivyo mjinga na usiyejitambua, unaandika una imani na yule aliyewanyima wengine kutoa mawazo yao kama wewe unavyotaka, wewe ni dude fulani lisilojielewa, wala lisilojua linachotaka.
 
jana wazee wa Afrika huko Arusha, wamekemea sana Afrika kuiga mambo ya uvunjifu wa amani kwa jina la maandamano.

N nashukuru Polisi ya Tanzania wameliona hilo na wameisoma dunia na kuona madhara ya maandamano ya kijinga. Wamewapiga marufuku hata uvCCM.

Wamefanya la maana sana.

Hata mimi sikubaliani na maandamno ya kijinga, tena mwendazake alifika mbali mpka kupiga marufuku hata mikutano ya kisiasa, waste of time for nothing.
We mjinga unajiona upo salama lakini umma ukiamua hamtaweza kitu, maandamano ni haki ya msingi na siyo hisani yenu, wewe unanufaika na huu mfumo mbovu lakini itafika mwisho, angalia Kenya watu wakichoka wanakuwa wapo tayari kufa na hapo mtakuwa mmechelewa sn. Nchi siyo mali yenu ni mali ya watanganyika, kaeni kwenu Zanzibar muuze vitu vyenu.
 
Hizo taratibu zote za kesi mahakamani kama kweli zilikuwepo, iweje mkamvizie akiwa kwenye chumba cha mahakama mnamsubiri akitoka nje ndio mumkamate?

Kwani hampafahamu nyumbani au ofisini kwake? mliwahi kumtaka ajisalimishe kituo cha polisi kwa hayo mashtaka akakataa kutii wito?

Huu utetezi uliouleta hapa ni ujinga mtupu, kimsingi mmemkamata Adv. Madeleka kwa sababu ya msimamo wake kuhusu utoaji bure wa bandari zetu zote Tanganyika, lakini sio kwa hizo sababu nyepesi ulizotuandikia hapo.
Mkuu, punguza Sana tabia ya kupenda kutumia maoni badala yake ujenge hoja, Sasa kukamatwa mahakamani, au ofisini kwake. au chumbani kwake kunaleta tofauti gani katika huu mjadala?.

Wewe maoni yako ulitaka akamatwe ofisini badala ya hapo alipokamatwa, onyesha Kama Kuna sheria ya nchi iliyovunjwa kwa kukamatwa hapo alipokamatwa, usiingize maoni yako katika sheria za nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa ccm, au Kwa uchache ukikubaliana nao, kuwaunga mkono, au kuwafichia maovu yao au kutowakosoa kwa namna yoyote, hata ulime bangi, uuze madawa ya kulevya au ufanye ufisadi gani, utakuwa salama. Waulize kina Sumaye, Lowasa etc waliojaribu kuhama ccm watakuambia. Karume family is powerful, lakini Fatma alinyang'anywa leseni ya uanasheria. Nasubiria hatma ya balozi Ali.
Ukweli hata kama ni mharifu wa kiwango gani kama unaitetea ccm wewe ni mtakatifu.
 
Hakuna utawala wenye nguvu uliwahi kutokea hapa dunia kama utawala wa dola ya Kirumi (Roman Empire)! Ulidumu kwa karne nyingi! Lakini muda wake wa kufa ulipofika, ulikufa pasipo kutarajiwa na mtu yeyote yule.

Sasa kama unafikiri ccm itatawala milele, basi utakuwa unajidanganya. Anguko lake liko pale pale. Ni sula tu la muda.
Tena kuna bomu linafukuta haswa
 
jana wazee wa Afrika huko Arusha, wamekemea sana Afrika kuiga mambo ya uvunjifu wa amani kwa jina la maandamano.

N nashukuru Polisi ya Tanzania wameliona hilo na wameisoma dunia na kuona madhara ya maandamano ya kijinga. Wamewapiga marufuku hata uvCCM.

Wamefanya la maana sana.

Hata mimi sikubaliani na maandamno ya kijinga, tena mwendazake alifika mbali mpka kupiga marufuku hata mikutano ya kisiasa, waste of time for nothing.
Eti wazee wa Africa hayo matapeli ndiyo wazee wa Africa, yameibia nchi na kujilimbikizia mali za umma hovyo eti unaita wazee wa Africa. Jinga kabisa
 
Huu ni upumbavu wa hali ya juu, elewa ni mahakama pekee yenye uwezo wa kuhukumu, tukiambiwa tunaishi in a shit hole country usichukie maana kwako watawala ni nusu Mungu, umelelewa kwenye family ya kikatili, jifunze kuwaambia wenzao kuwa I love you
Anajiona yupo salama lakini ajue siyo salama kama anavyozani
 
Back
Top Bottom