Sababu za Papa Fransis Kubariki Ndoa za Jinsia Moja

Hivi mwanaume ukiingiziwa mkuyange kila siku si lazima utakuwa unavuja kinyesi kama mtoto mchanga,mbona kama binadamu tunarudi kuwa masokwe,nimesikitika sana kusikia mpaka yule CEO wa kampuni ya openAI na yeye eti anaingiziwa mkuyange
Mkuu,

Hujawatendea haki masokwe. Wanyama hawa wanaheshimu mgawanyiko wa jinsi.
 
Najiuliza tu hivi ni nani mfadhili wa mambo haya ya ushoga? Na kwa faida gani mhusika anapata ili iweje kwa mfano.
Kwa mfano umewekeana mkataba tuseme na mganga wa kienyeji kuwa atakusimamia Uwe na nguvu au Mali au CHOCHOTE utakachotaka, na Kwa hivyo na Yeye atakachotaka kwako umpe...

Mmiliki wa ushoga ndio nguvu inayolishikilia Kanisa katoliki Toka mwanzo, ukisoma hata katika BIBLIA TAKATIFU kitabu Cha Ufunuo kuna sehemu MUNGU analiambia Kanisa kuwa anajua Kanisa ni vuguvugu, na anajua linajigamba kuwa ni tajiri lakini analiambia Kanisa kuwa liko uchi japo linajiona limevaa nguo...
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Tofauti hapo ni ipi? Duuh!
 
Umewaza kama mimi
 
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
Mnajitahidi kufunikafunika ila kiongozi wenu ndo hivyo kashatoa dongo mfilahne wanaume kwa wanaume,,
 
Acheni kulainsha mambo. Call spade a spade. Kubariki wanaojihusisha maana yake ni Nini? KwaNi lini mtu binafsi mwenye dhambi aliwahi kukatazwa ndani ya Kanisa Katoliki kuungama na kushirik huduma za Kanisa???

Tafsiri ya msimamo wa papa ni kuruhu Ushoga na Usagaji. Kwamba waendelee Kwa wapenzi wa jinsi moja na waendelee kupata huduma zote za Kanisa. Kwa maana rahisi RASMI CHUKIZO LA UHARIBIFU LIMESIMAMA MADHABAHUNI.
Acha kupotosha, Papa hajabariki ndoa za jinsia moja, ameruhusu kubariki wanaojihusisha sio kubariki mahusiano hayo, kama jinsi majambazi,wezi, mafisadi wanavyokaribishwa kanisani ili waokoke, ndivyo nao wanakaribishwa kanisani.
 
Najiuliza tu hivi ni nani mfadhili wa mambo haya ya ushoga? Na kwa faida gani mhusika anapata ili iweje kwa mfano.
Ili shetani atukuzwe...Anatafuta utukufu...
 
Ameji reveal mazima, ila Sasa waumini bado akili hazijarudi...Masikini!
 
Ukute na yeye mwamuzi ndiyo hivyo tena, sasa atakataaje wakati mtoa baraka ndiye mtoa service? Aise kweli chukizo la haki limesimama madhabahuni
 
Hamkua mmeona tu, toka awali RC imefanya hivyo ili kujiongezea faida.
Wanamatengenezo walisema katika nyaraka zao tofautitofauti.
*Vinyago viliingizwa kanisani ili kuwawin majority ya waabudu sanamu wa kirumi waliokuwa wanataka kuendeleza ibada zao za sanamu.
*Sala na misa kwa wafu ilikuwa ili kujipatia Sadaka za misa.
*Zamani zile hata kutubu ilikuwa ni kwa kulipa faini ya kiasi fulani cha pesa kulingana na dhambi husika. Haka kautaratibu sijui walikaacha lini.

Hayo ni baadhi ya ninayoyakumbuka.
Macho ya wengi yatafunuliwa kupitia hili, na mateka wataachwa huru kwa Jina la Yesu.
 
Alikuja Ili watubu siyo awaimarishe katika dhambi...Kanisa lenu linaimrisha dhambi Kwa kuwapa baraka
Wewe hapo ulipo n mtakatifu?
Kanisa katoliki halijabariki ushoga kama mnavyopotosha humu
kanisa limesema wapenzi wa jins moja wanaweza kupewa BARAKA elewa neno BARAKA km linavyoweza kuwapa BARAKA watu wengine ambao n wema na wabaya kama walivyo majambazi,wezi,wazinzi n.k
 
Kweli ni chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli na kusisitizwa na Yesu mwenyewe

Danieli 9:27
[27]Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu.
And he shall confirm the covenant with many for one week: and in the midst of the week he shall cause the sacrifice and the oblation to cease, and for the overspreading of abominations he shall make it desolate, even until the consummation, and that determined shall be poured upon the desolate.

Mathayo 24:15-16
[15]Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),
When ye therefore shall see the abomination of desolation, spoken of by Daniel the prophet, stand in the holy place, (whoso readeth, let him understandπŸ™‚
[16]ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani........
Then let them which be in Judaea flee into the mountains.......

MTU HUYU AU MAMLAKA YA OFISI ALIYOKALIA INAJINASIBU KAMA NDIYO INAYOMKAIMU YESU DUNIANI (VICARIOUS).
Na hesabu ya namba ya jina lake japo ni ya kisiri bali ni hesabu ya kibinadamu yaani 666. (asomae na afahamu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni upuuzi namba moja. Yaani badala ya kusimamia Imani kama ilivyoelekezwa kwenye Biblia, mnaanza kukimbizana na hela za mashoga???
 
Hivi mwanaume ukiingiziwa mkuyange kila siku si lazima utakuwa unavuja kinyesi kama mtoto mchanga,mbona kama binadamu tunarudi kuwa masokwe,nimesikitika sana kusikia mpaka yule CEO wa kampuni ya openAI na yeye eti anaingiziwa mkuyange
Sokwe hawawez fanya hayo mambo yenu ya kishenzi kamwe ,unawasingizia sasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…