Sababu za wanawake kugawa tendo ovyo hizi hapa; wanaume chukua tahadhari

Swali linakuja hapo.

Ukihawarishwa na mwanamke na baadaye ukagundua unaandamwa na mikosi tajwa hapo juu, je ukimkwepa mikosi itaendelea au itakoma na kurudia hali yako uliyokuwa nayo kabla yake na kama itaendelea, itaendelea kwa muda gani?
 
Sasa mbona contradiction! Umesema mtu wa kawaida akisex na mtu maarufu anapanda juu lakini mtu maarufu akisex na mtu wa kawaida anaporomoka umaarufu; na umeshauri wanaume wasisex na watu wa kawaida sasa huoni hapo kama kila mtu akitaka asex tu na aliyemzidi maana yake sex haitafanyika kwa sababu yule unayemwona wewe yuko juu yako kwa umaarufu na yeye atakuona wewe uko chini yake kiumaarufu hivyo atakukataa.
 
Juu kaanza vizuri Chini kamalizia vibaya kwamba Juu sex Ina hasara Ila Chini anasema sex Ina faida, in short faida IPO na hasara IPO issue unasex na nani kwa wakati gani na kwanini, hicho ndio hajakielezea vizuri kikaeleweka, amegusia masuala ya nyota na mvuto na mafanikio baada ya kusex na mtu fulani, alipokosea ni kuhusisha ukubwa wa umri na ukubwa wa umaarufu Ila all in all kuna ukweli kiasi na pia hakuna ukweli kiasi
 
Sex can be a promotional way or downfalling staircase ....ngono inaweza ikawa njia ya kumuinua mtu au njia ya kumshusha.
Ushasema njia ya kumuinua lakini umesema pia njia ya kumshusha sasa hapo unajikoroga, maana lengo lako ni kuonyesha jinsi gani Demons wanaweza wakayaharibu Maisha ya mtu kupitia sex lakini hapo hapo unasema pia hao hao Demons wanaweza wakamnyanyua mtu kimaisha HUONI unaenda kinyume na lengo lako la kutuambia kwamba sex ni njia inayotukiwa na Demons kuharibu Maisha ya mtu? Kwa hio hapo hapo unasema pia sex ni njia moja wapo ya kumuinua mtu basi watu wasuuze rungu TU mpaka watakapo mpata mtu ambae wakisex nae wanatoboa mambo yao yananyooka ndio wanastick nae mazima ili wabakie walipo hapo juu
 
Conclusively, naomba wanaume tuwe makini na aina ya wanawake tunaosex nao.
Unamaanisha huu uzi ni kwa ajili ya wanaume TU na SIO wanawake? Maana yake Demons ni wanawake TU na SIO wanaume? Maana yake wanawake hata wakisex vipi na wanaume hawapati tatizo lolote hawashuki wala hawapandi kimaisha? Uliowaelezea Chini hapo ni wanaume Ila Je! Vipi kwa upande wa wanawake mboni haujawagusia hata mmoja? Maana yake ni kwamba wanawake hawapolei Demons kutoka kwa wanaume ila wanaume TU ndio wanaopokea demon's kutoka kwa wanawake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…