Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Weka ushahidi kuwa hayo yalijulikana kabla Quran...Bigbang imekuja kugundulika miaka ya kuzi tu na James hubble miaka ya 90s

Sawa ila kipindi hiko Hakuna mtu aliyewahi kuelezea step za reproduction kinagaubaga kama Quran...wewe ukiwa mkunga ndio utajua jinsi yai linavyoungana na mbegu na mtoto anavyoumbika? Ukiwa mkunga ndio utaona jinsi nyama na mifupa kwa mtoto tumboni vinavyojitengeneza step by step?

Hayo yote Allah aliyajua na Quran imeyaeleza...Quran inasea Dunia ina umbo la yai na pia inesema dunia inaelea hewani watu hawakujua haya

Aristotle hakuwa hata na robo ya ujuzi wa Quran.
quran haisogei kwa ujuzi wa aristotle.
 
Umekimbia mada Yako kule umeanzisha mpya , umekimbia maswali

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama..... Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?
 
Weka aya acha porojo
Hujui kitu and umejizamisha mzima mzima kwenye dini ya waarabu alafu unajifanya kuisifia kwa ujinga wana kuchora tu wenzio... kufunua upumbavu wa Shetan wao... ushawekewa aya hapo mjinga wewe...
Na hii story huyu mjinga alikuwa amechukua story ya kijinga ya Alexander the great (Zul-qainain!)Allah anajifanya yeye ndie alikuwa anamuongoza anamuita mtume wake cha kushangaza Mtu ni homosexual LBGT maana Alexander the Great alikuwa ni mpenzi wa jinsia moja so uislam unapenda haya makitu... Eti alexander the great(Zul-qainain!) alitembea hadi akafikia mji ambao jua huwa linazama kwenye chemchem yenye matope and huo mji watu wanaishi pia... nii Aya ni uthibitisho kuwa Allah ni muongo na Mohamed ni nabii wa uongo na uislam ni uongo wa kutunga... Allah bora angekataa hakuna sunset ambayo ndio sayansi ila yeye kathibitisha kwenye Koran kuwa na sunset na jua liazama kwenye matope... upumbavu sana huu...
Chapter 18:86


18:86
حَتَّىٰٓ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ ٱلشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍۢ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًۭا ۗ قُلْنَا يَـٰذَا ٱلْقَرْنَيْنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًۭا

18:86
Mpaka alipofika machweo ya jua akalikuta linazama kwenye chemchem yenye matope, akawakuta watu karibu yake, ama mtawaadhibu, au muwatendee wema.

18:86
until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Hakika Mungu aliyehai JEHOVAH hachunguziki na wala hafanishi na kazi za wanadamu za kisayansini Alfa n omega
 
Embu leta hiyo tuone

Anza na hiii
IMG_2649.jpg
 
Sayansi ni somo kuhusu ulimwengu ulivyo na unavyofanya kazi, kwahyo ningetarajia mungu aliyeuumba ulimwengu ndio awe baba wa sayansi.
Na kitabu chake kiwe kimejaa sayansi za kutosha.
Mimi kama mfuasi wa sayansi nikaanza kufuatilia sayansi kwenye vitabu vya dini. nilipoanza kufuatilia s Quran na Biblia., nikagundua Quran ndio imeonesha upeo mkubwa zaidi wa sayansi.

Quran inajulikana kuwa na maelezo ambayo yanalingana na masomo ya kisayansi katika maeneo mengi, hizi ni chache:

1. Uumbaji wa ulimwengu: Quran inazungumzia kuhusu uumbaji wa ulimwengu na asili yake. Aya kadhaa zinataja kuwa ulimwengu ulianza kwa mlipuko mkubwa (Big Bang) na inaelezea kuenea kwake na kuunda vitu vyote.

2. Uumbaji wa binadamu: Quran inatoa maelezo ya kina kuhusu maendeleo ya mwanadamu katika tumbo la uzazi. Inaelezea hatua za uumbaji wa kijusi na maendeleo yake kutoka damu iliyoganda hadi mtoto aliyeumbika kabisa.

3. Maji kama chanzo cha uhai: Quran inasisitiza umuhimu wa maji kwa uhai. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ndiye aliyeviumba visima vya maji na inatoa maelezo juu ya mzunguko wa maji duniani.

4. Sayansi ya astronomia: Quran inazungumzia mada za anga na nyota. Inaeleza kuwa nyota zina jukumu la kuongoza na kuelekeza katika njia, na inataja pia kuwepo kwa sayari na mzunguko wao.

5. Sayansi ya jiografia: Quran inazungumzia ardhi na milima. Inaeleza kuwa Mwenyezi Mungu ameifanya ardhi kuwa imara ili watu waweze kuishi juu yake, na inataja pia kuwepo kwa milima kama alama za ardhi.

Hizo ni baadhi tu ila zipo nyingi mno...hizi ndiyo zilinofanya niamini kweli Allah ndiye Mung aliyeumba ulimwengu na Muhamad ndiye mtume wake.

Nadiriki kusema La illah ila Allah Muhammad rasul Allah
Takbir.
Allahu Akbar.
 
Hujui kitu and umejizamisha mzima mzima kwenye dini ya waarabu alafu unajifanya kuisifia kwa ujinga wana kuchora tu wenzio... kufunua upumbavu wa Shetan wao... ushawekewa aya hapo mjinga wewe...
Na hii story huyu mjinga alikuwa amechukua story ya kijinga ya Alexander the great (Zul-qainain!)Allah anajifanya yeye ndie alikuwa anamuongoza anamuita mtume wake cha kushangaza Mtu ni homosexual LBGT maana Alexander the Great alikuwa ni mpenzi wa jinsia moja so uislam unapenda haya makitu... Eti alexander the great(Zul-qainain!) alitembea hadi akafikia mji ambao jua huwa linazama kwenye chemchem yenye matope and huo mji watu wanaishi pia... nii Aya ni uthibitisho kuwa Allah ni muongo na Mohamed ni nabii wa uongo na uislam ni uongo wa kutunga... Allah bora angekataa hakuna sunset ambayo ndio sayansi ila yeye kathibitisha kwenye Koran kuwa na sunset na jua liazama kwenye matope... upumbavu sana huu...
Chapter 18:86


18:86
حَتَّىٰٓ إِذَا بَلَغَ مَغْرِبَ ٱلشَّمْسِ وَجَدَهَا تَغْرُبُ فِى عَيْنٍ حَمِئَةٍۢ وَوَجَدَ عِندَهَا قَوْمًۭا ۗ قُلْنَا يَـٰذَا ٱلْقَرْنَيْنِ إِمَّآ أَن تُعَذِّبَ وَإِمَّآ أَن تَتَّخِذَ فِيهِمْ حُسْنًۭا

18:86
Mpaka alipofika machweo ya jua akalikuta linazama kwenye chemchem yenye matope, akawakuta watu karibu yake, ama mtawaadhibu, au muwatendee wema.

18:86
until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
Thibitisha Zul Qarnain ndo huyo Alexander umsemaye
 
Thibitisha Zul Qarnain ndo huyo Alexander umsemaye
Unanikimbia kila Kona hutaki kujibu swali la kisayansi ndani ya Koran

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.....

-Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?
 
Umeamua kuwa al shabab sawa sisi haituhusu na vi posts, tunafurahia kwa wakristo na still mademu wa kiislam tunapiga.
 
Unanikimbia kila Kona hutaki kujibu swali la kisayansi ndani ya Koran

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama.....

-Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?
Kwahiyo wewe unasemaje?

Unataka kusema kuwa zilianza kuumbwa nyama baadae ikachukuliwa mifupa ikachomekwa Kwa ndani ?

Sio Kila kilichosemwa na Qurani upinge tu hata kama wewe ni kafiri
 
Back
Top Bottom