Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Soma tena

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa,...
Kuwa mifupa,sio kuwa mifupa tupu.
Usituongezee Hilo neno tupu.

Advance nlisoma shule tuliyokuwa tunaiita wanaume lakini haikuwa ya wanaume tupu.
maana kulikuwa Kuna madam,wapishi na wafanya usafi wa kike.
 
Kuwa mifupa,sio kuwa mifupa tupu.
Usituongezee Hilo neno tupu.
Ukishaanza kumrekebisha Allah maana yake kazi yangu Nimemaliza

Kina Allah waliposema na tukaivika nyama ? Kwa madai yako walikosea na nyama ilikuwepo

Usirudie tena
 
Ukishaanza kumrekebisha Allah maana yake kazi yangu Nimemaliza

Kina Allah waliposema na tukaivika nyama ? Kwa madai yako walikosea na nyama ilikuwepo

Usirudie tena
Wewe ndo unayeingiza maneno yasiyokuwepo.
Wapi pameandikwa mifupa tupu?
 
Unauliza swali kwa Nia ya kutaka kupotosha

Nataka kujua hii stage katoto tumboni kanakuwa mifupa tupu
1. Mtoto anakuwa mifupa tupu kwa mda gani ? Ukizingatia Muhammad alisema kila stage ni siku 40
2. Hii stage ya mifupa tupu iliwahi kuwa captured na ultrasound?
3. Hii skeleton (mifupa tupu) inawezaje kukaa ndani ya mji wa uzazi si ingeleta fatal injury?
Kafiri ww hujitambui, kwaiyo mtoto akizaliwa anakuwa Hana mifupa? Au akiwa tumboni anakuwa Hana mifupa?
 
Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa,...
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.


1) Manii kuwa pande la damu
2) pande la damu kuwa nyama
3) Pande la nyama kuwa mifupa
4) mifupa kuvikwa nyama

Wasikie wazungu na biology Yao labda utawaelewa maana nyinyi wagalatia kitu akisema mzungu ndio mnaamini hata kama ni uongo na ndio maana amekuambieni Yesu ndio Mungu wenu mmekubali

BIOLOGY
Uti wa mgongo hutengenezwa mara tu baada ya mimba kutungwa, ikiwa kuna kasoro katika utengenezaji wa uti huu basi sehemu fulani ya uti wa mgongo itabaki bila kuzibwa.

Biology inasema kitu Cha kwanza kutengenezwa Baada ya mimba kutungwa ni uti wa mgongo na ukishatengenezwa huo uti wa mgongo kitu kinachofuta ambacho ni muhimu kuufunika huo uti wa mgongo na ikitokea shida hapa katika kuufunika mtoto atazaliwa mgongo wazi

Biology inakubaliana na Qurani kuwa Baada ya pande la nyama kinachofuata ni uti wa mgongo uti wa mgongo ni mifupa na ukisha tengenezwa uti wa mgongo kinachofuata ni kufunikwa Yani kuvikwa nyama

Sio wewe Mokiti hakuna kafiri yoyote katika Dunia hii anayeweza kuthibitisha kuwa Kuna sehemu Quran imesema uongo
 
Kina Allah waliposema na tukaivika nyama ? Kwa madai yako walikosea na nyama ilikuwepo
Hata sikuelewi sasa unauliza nini?
Kama tukaivika nyama si maana yake ilikuwepo au?

Wewe unaweza kuvika kitu ambacho hakipo?
 
Hakika Quran ni kitabu bora kuliko vitabu vyote duniani
Ndio upeo wa akili yako aliekupa Muumba wako ilipofikia kupambanua. Kukusaidia wewe na mleta mada nia ya biblia kwa Muumba sio kufafanua wala kufundisha sayansi. Mungu alimuumba binadamu na akampa akili ya kuzijua sayansi bila kutumia biblia mana Biblia ina kazi ingine kabisa nje ya mada hii.
 
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda,

1) Manii kuwa pande la damu
Kwanini kwenye stage zako neno damu iliyoganda unaliruka makusudi

Unasikia aibu? 🤣🤣🤣🤣

Embu taja stage za kina Allah vizuri

Au kimbilia kiarabu ku solve tatizo hilo
 
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.


1) Manii kuwa pande la damu
2) pande la damu kuwa nyama
3) Pande la nyama kuwa mifupa
4) mifupa kuvikwa nyama

Wasikie wazungu na biology Yao labda utawaelewa maana nyinyi wagalatia kitu akisema mzungu ndio mnaamini hata kama ni uongo na ndio maana amekuambieni Yesu ndio Mungu wenu mmekubali

BIOLOGY
Uti wa mgongo hutengenezwa mara tu baada ya mimba kutungwa, ikiwa kuna kasoro katika utengenezaji wa uti huu basi sehemu fulani ya uti wa mgongo itabaki bila kuzibwa.

Biology inasema kitu Cha kwanza kutengenezwa Baada ya mimba kutungwa ni uti wa mgongo na ukishatengenezwa huo uti wa mgongo kitu kinachofuta ambacho ni muhimu kuufunika huo uti wa mgongo na ikitokea shida hapa katika kuufunika mtoto atazaliwa mgongo wazi

Biology inakubaliana na Qurani kuwa Baada ya pande la nyama kinachofuata ni uti wa mgongo uti wa mgongo ni mifupa na ukisha tengenezwa uti wa mgongo kinachofuata ni kufunikwa Yani kuvikwa nyama

Sio wewe Mokiti hakuna kafiri yoyote katika Dunia hii anayeweza kuthibitisha kuwa Kuna sehemu Quran imesema uongo


hapana hii biology ya sheikh sule achana nayo.

biology inataja inaandika baada ya yai kurutubishwa cha kwanza kuchukua stape ni mfumo wa damu na moyo wake,kisha ubongo na mfumo wake wa fahamu,ambao utafuatana na mfupa wake wa nyuma.

Quran inatwambia yai liligeuka kuwa nyama,pande la nyama likageuka mfupa,halafu tena huo mfupa ulitokana na nyama ukafunikwa na nyama.
kama ni Mungu alikuwa anamweleza hivi Muhammad basi hata yeye hakijui vyema alichokiumba.
 
Kwanini kwenye stage zako neno damu iliyoganda unaliruka makusudi

Unasikia aibu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Embu taja stage za kina Allah vizuri

Au kimbilia kiarabu ku solve tatizo hilo

soma kiarabu mkuu labda utaelewa vyema[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini kwenye stage zako neno damu iliyoganda unaliruka makusudi

Unasikia aibu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Embu taja stage za kina Allah vizuri

Au kimbilia kiarabu ku solve tatizo hilo
Unachekesha sana pande la nyama kuwa mifupa umeshaelewa

Sasa umerukia katika swali lingine hili ndio swali rahisi kuliko yote

Mani kuwa pande damu iliyoganda

Ni Kwa sabu hiyo damu haipo katika Hali ya kimiminika Yani hata kama hilo donge la damu utalitoa sehemu Moja na kulipeleka sehemu nyingine litaendelea kuwa na shape yake Ile Ile labda utumie nguvu kulitawanya

Mfano mzuri chukua yai la kuku lililolaliwa Kwa siku chache kile kiini Cha njano kinakuwa kimebadirika na donge la damu

Wagalatia wote Jahannam inawasubiri
 
Unachekesha sana pande la nyama kuwa mifupa umeshaelewa

Sasa umerukia katika swali lingine hili ndio swali rahisi kuliko yote
La mifupa sayansi imemuumbua Allah

La damu iliyoganda ndio kichekesho kabisa 😂🤣😂
 
Kila la kheri
Mabikra 72 wanakusibiria

Screenshot_20230729_142558_Quora.jpg
 
hapana hii biology ya sheikh sule achana nayo.

biology inataja inaandika baada ya yai kurutubishwa cha kwanza kuchukua stape ni mfumo wa damu na moyo wake,kisha ubongo na mfumo wake wa fahamu,ambao utafuatana na mfupa wake wa nyuma.

Quran inatwambia yai liligeuka kuwa nyama,pande la nyama likageuka mfupa,halafu tena huo mfupa ulitokana na nyama ukafunikwa na nyama.
kama ni Mungu alikuwa anamweleza hivi Muhammad basi hata yeye hakijui vyema alichokiumba.
Acha uongo wewe biology gani inayosema katika fertilization process haipitii stage ya kuwa donge la damu na donge la nyama

Sijui mnazungumzia Nini mmeshaona mimba zinazoharibika chini ya miezi 3?
 
Back
Top Bottom