Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Sababu zilizonifanya niiamini Quran juu ya biblia

Kwahiyo wewe unasemaje?

Unataka kusema kuwa zilianza kuumbwa nyama baadae ikachukuliwa mifupa ikachomekwa Kwa ndani ?

Sio Kila kilichosemwa na Qurani upinge tu hata kama wewe ni kafiri
Wewe nithibitishie tu kwamba Kuna stage katoto tumboni kanakuwa ka skeleton tupu bila nyama , ni silimu Leo
 
Nani aliyekuambia kuwa Kuna kipindi katoto kanakuwa skeleton tupu?

Yani mifupa mitupu unayoijua wewe Kwa akili zako za kigalatia
Ni atua nzuri uliyofikia ya kumpinga Allah

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama..... Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?

Unawapinga kina Allah walipo sema nyama ilikuwa mifupa tupu alafu wakaivisha nyama tena 😂🤣🤣🤣😂🤣
 
Ni atua nzuri uliyofikia ya kumpinga Allah

Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama..... Hii stage hapo juu mifupa tupu alafu ndio inakuja kuvishwa nyama imeshawahi kuwa captured kwenye ultra sound?

Unawapinga kina Allah walipo sema nyama ilikuwa mifupa tupu alafu wakaivisha nyama tena [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.

Hii ndio Aya uliyoitoa tatizo lako unaongeza vitu ambavyo havipo maana Aya ipo wazi kabisa

1) Manii kuwa pande la damu
2) pande la damu kuwa nyama
3) Pande la nyama kuwa mifupa
4) mifupa kuvikwa nyama

Wewe unabisha kuwa mifupa haikutokana na pande la nyama?

Wewe unabisha kuwa mifupa haikuvikwa nyama?


By the way Quran sio kitabu Cha sayansi ila ni kitabu Cha mawaidha Kwa waislam yanayotoka Kwa Mungu

Kama wewe uwelewa wako ni mdogo nenda ukatafute vitabu vya Biology usome utakutana na watoto waliozaliwa mgongo wazi

Yani mtoto anaziliwa wakati kunasehemu za mifupa yake bado haijavikwa nyama
 
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, ...
Ya mtoto kuwa skeleton tupu sayansi imekataa

Turudi kwenye damu iliyoganda (dead blood) inakuwa ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke, Allah alitoa wapi Aya mashudu?
 
Wewe unabisha kuwa mifupa haikutokana na pande la nyama?
Unauliza swali kwa Nia ya kutaka kupotosha

Nataka kujua hii stage katoto tumboni kanakuwa mifupa tupu
1. Mtoto anakuwa mifupa tupu kwa mda gani ? Ukizingatia Muhammad alisema kila stage ni siku 40
2. Hii stage ya mifupa tupu iliwahi kuwa captured na ultrasound?
3. Hii skeleton (mifupa tupu) inawezaje kukaa ndani ya mji wa uzazi si ingeleta fatal injury?
 
Ushabiki wa kidini huu.
Halafu mtu anaanzisha Uzi kabisa Ili ajisafishe yeye imani yake ni bora kuliko ya mwenzake.

Wakati tunajua mapungufu ya imani zote.

Huu ni uchochezi.
tena ni dini zimeletwa na wakoloni,,waliotutesa na kutudhulum mali zetu.....ni heri angekuwa anazungumzia dini asili ya mwafrika.
 
tena ni dini zimeletwa na wakoloni,,waliotutesa na kutudhulum mali zetu.....ni heri angekuwa anazungumzia dini asili ya mwafrika.
Watu wako kwenye utumwa mbaya sana wa akili na tamaduni.

Akili ikishaharibiwa, hapo unaweza kuingiliwa hata kinyume na maumbile tena kirahisi kabisa
 
Unauliza swali kwa Nia ya kutaka kupotosha

Nataka kujua hii stage katoto tumboni kanakuwa mifupa tupu
1. Mtoto anakuwa mifupa tupu kwa mda gani ? Ukizingatia Muhammad alisema kila stage ni siku 40
2. Hii stage ya mifupa tupu iliwahi kuwa captured na ultrasound?
3. Hii skeleton (mifupa tupu) inawezaje kukaa ndani ya mji wa uzazi si ingeleta fatal injury?
Tatizo lako unaongeza maneno ambayo hayapo katika Aya

Nionyeshe hapo katika hiyo Aya sehemu inayosema Kuna stage mtoto anakuwa mifupa tupu
 
Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.


UNAAMINI MAFUNDISHO YA KISHETANI????
 
Quran 23:14 ...., kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa,...
Sasa hapa mifupa tupu imetoka wapi?
Kuwa mifupa(hard tissue)isio tupu it means Kuna mifupa na vitu vingine mf. Nyama(soft tissue)

Bone cells begin like normal soft cells before turning into bones in the embryo.(process called ossification)
 
Sasa hapa mifupa tupu imetoka wapi?
Kuwa mifupa(hard tissue)isio tupu it means Kuna mifupa na vitu vingine mf. Nyama(soft tissue)

Bone cells begin like normal soft cells before turning into bones in the embryo.(process called ossification)
Kila hatua pedophile Muhammad alisema inachukua siku arobaini

Damu iliyoganda - 40 days
Mifupa tupu - 40 days
Mifupa kuvikwa nyama - 40 days

Damu iliyoganda ndani ya mji wa uzazi kwa siku 40 😂😂🤣😂

Allah alikula kitu Cha kisimiri juu
 
Kila hatua pedophile Muhammad alisema inachukua siku arobaini

Damu iliyoganda - 40 days
Mifupa tupu - 40 days
Mifupa kuvikwa nyama - 40 days

Damu iliyoganda ndani ya mji wa uzazi kwa siku 40 😂😂🤣😂

Allah alikula kitu Cha kisimiri juu
Weka aya tumechoka maneno.
 
Back
Top Bottom