Sababu zinazoweza kumfanya mwanamke asikuache kirahisi

Sawa sawa.
 
Hapa loint ni 6 na 7
 
Hapa nawaza tu peke yangu mtu kakaa mahali na mpenzi wake anamweleza kuhusu pipi ambayo amemletea. Lazima kuna watu wapigwa na hiyo pipi, na wapenzi wao. Lol

Ova
 
Mahusiano kila mmoja anasema lake kuhusu kudumu na mpenzi wake, kwa kweli ushauri ni mwingi kiasi kwamba kama mwanadamu wa kawaida ambae sio roboti inayoweza kuwa programmed huwezi fuata hizo hints zote.

kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…