Mateo Kovasic
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 420
- 334
Ilitakiwa wamuue kabisa
Wewe unao mkataba wa miaka mingapi kuishi Duniani?Wangemuua TU. Manina wakakutane huko kuzimu na yule shetani aliyetangulia
U are true Rasterman.Nimeanza kumuonea huruma kama binadamu daah inauma
Si ndiyo kutolewa lock huko au?Hata kama alifanya maaswi lakini hii sio sawa
Kuhesabu madhambi ya mwenzako hakukufanyi wewe kua mtakatifu.Hatujali! SISI TUNAFURAHI HUYO BWANA HATA AKING'OLEWA MENO KWA KIPIGO πππΎ
Kwani akiwaza mema ndiyo hatakufa?Wewe utafaidika nini???
Unasahau kuwa wote tutakufa???-waza mema kwa mwenzako.
mama hii laana isikupiteKwa taarifa za haraka, inasemekana Sabaya ameshambuliwa kwa kuchangiwa, shambulio hilo limetekelezwa na Askari wa magereza, Kisongo mjini Arusha, anakoshikiliwa kwa sasa.
Hali yake ni mbaya, na mpaka sasa wanasubiriwa wanasheria wake kufika eneo la tukio, na anahitaji kupewa huduma ya dharula!
Source imetoka eneo la tukio.
Kwa lolote litakaloendelea, hili ni doa kubwa kwenye Mamlaka husika!
Tutege Masikio.
Hata angekua usalama wa taifa kweli inapofika hatua ukawa na makosa ya jinai na ukapelekwa mahabusu gerezani ukivunja Sheria za magereza unashurutishwa tu kule hakuna boss mzee, wanaweza tu kukufanyia favour za kiungwana kwakua na wewe ulikua kwenye system ila wakikuona ni mshezi wanaanza kukufanya kama mahabusu wengine hakuna u boss kule ndo maana ma Rais wana kinga ya kutokushtakiwaEti alikuwa anajifanya USALAMA WA TAIFA π
Usalama wa taifa aishie kwenye aibu namna hiyo mwisho wa siku π³
πππ... Kuna vitu vinachukuliwaga poa sana! Wangejua yeye ni boss wao wangemshurutisha namna hiyo?! πππππΎ
Jamaa FALA SANA!
#MALIPONIHAPAHAPADUNIANI
Nakumbuka alivyo mfanyia dhihaka mkuu wa mkoa yule mama aliyefarikiHuyu jamaa alikuwa akija sehemu ya hadhi alikuwa ananifurahisha na style yake ya kuongea alafu anaangalia watu huku anatabasamu kana kwamba yeye yupo juu ya watu wote
Yaani aisee ukiwa na roho ya utu inafika mahali hata kama mtu alikufanyia mabaya vipi Roho ya kiutu inakujia.U are true Rasterman.
Big up bro.
Kaua watu wangapi? acha atesweWewe utafaidika nini???
Unasahau kuwa wote tutakufa???-waza mema kwa mwenzako.
DuhKuna jamaa yangu kaachiwa kutoka Karanga ananiambia jamaa keshazoea kutafunwa bila chumbi kama muhogo. Na anakatika Ray C anasubiri.
Mbowe ni mtiifu na msikivu siyo kama hilo lifisadi lenu linajifanya TISS hata huko korokoroni lazima akung`utwe bakorani bora wangemtandika mbowe huko gerezani
AiseeKuna jamaa yangu kaachiwa kutoka Karanga ananiambia jamaa keshazoea kutafunwa bila chumbi kama muhogo. Na anakatika Ray C anasubiri.
Ukiwa na makosa ya jinai kama ni TISS member wala huchui round mjomba... kuna jela maalum za Jeshi na huenda hata usifike huko maana wanafuatiliana, ni kukuwasha tu na kukutangiliza kuzimu mapema. Hakuna TISS wanaishia mahabusu na jela hovyo. Wale ni watu hatari, tayari wana mafunzo ya kijeshi na mbinu tele! Ni hatari kuendelea kuishi otherwise uende jela ya jeshi maalum au ufe πHata angekua usalama wa taifa kweli inapofika hatua ukawa na makosa ya jinai na ukapelekwa mahabusu gerezani ukivunja Sheria za magereza unashurutishwa tu kule hakuna boss mzee, wanaweza tu kukufanyia favour za kiungwana kwakua na wewe ulikua kwenye system ila wakikuona ni mshezi wanaanza kukufanya kama mahabusu wengine hakuna u boss kule ndo maana ma Rais wana kinga ya kutokushtakiwa