HahhahaahMimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
π₯ππ π Sema yote mkuu.Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
Oyaa π wap huko ?
Holy shit, futa hii π πππToa ndugu, toa ndugu ulichonacho wewe...
Bwana anakuona mpaka rohoni mwako...
Wiki nzima Bwana Mungu amekulinda vyema...
Sasa nawe ndugu, umrudishieee...
Haya wote, tuimbeeeee
Umempa majibu mazuri sana.Mfia dini katika ubora wako..
Vip waislamu wote wakiwa matajiri wewe ni maskini inakusadia nin?
Nyie mlikumbatia madrasa elimu mkasema ya makafiri mmeanza kushtuka mna bweka wanapendelewa.
Mpaka mzee makamba akawachana msomeshe watoto sio kulia lia wakristo wanapendelewa.
Siwapendi wafia dini wote kwa sababu huwa dini na viongozi wao ndio wamewakabidhi akili zao.
Bado unasafari ndefu sana ya Kiroho.Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Leo nimewakatalia wana kanisa walikuja nyumbani kuniomba msaada tena,kuna wakati niliwasaidia sasa imekuwa nongwa ,wanataka kunifanya BOTHabari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi,niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.
Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?
Nawasilisha.
Ushawahi kusali huko?Mashahidi wa Yehova ni wakristo je wanatoa sadaka?
Hiyo kwa roho na kweli unamtaftia wap?Biblia inaweza kutumika kukushauri Kuwa mlevi, na baya lolote lile.
Yani unaweza somewa andiko kwenye biblia linasupport hata ushoga na ukaamini.
Kwahiyo Mtafute Mungu kwa roho na kweli. Usiende kanisani kutafuta miujiza, wala msaada fulani wa kimaisha.
Kutoa sadaka ni makubaliano ya Mungu na Binadamu, atakwambia ukatoe wapi, nani sh. Ngap.
Sasa wewe hata kuzungumza na Mungu hujui, tayari shobo za kupeleka sadaka zinakuijia.
Hay maandiko yanasema mtolee Mungu kila ulicho nacho.
Ni nani kafaya hivo kanisani???? Atoe kila alicho nacho?
Hadi leo bado naamini kila afanyalo huyu bwana ni sehemu ya sanaa zake.Nendeni kwa mtumishi huyu, sadaka sio lazima[emoji205]View attachment 2006222
Hata nabii Tito, yule shoga mlevi, naye alikuwa anakusanya sadaka!!!Habari za wakati huu Wana jamvi, mama yetu yupo Egypt kwa majukumu yake ya kikazi,niende moja kwa moja kwenye mada.
Ibada ni kitu muhimu Sana hasa kwa welfare ya kiroho, kwa sababu Vita ya kiroho ni Kubwa Sana Bora hata mtu akukimbize na panga unaweza ukajitetea kwa kukimbia au kupambana nae na ukashinda ila sio huko upande wa pili (spiritually)
Na laiti tungekua na uwezo wa kuona Vita iliyopo kiroho sidhani Kama tungetazamana mara mbili unakuta huyo huyo anaekupeleka hospitali ndie aliekuroga, ndugu zako wanakupiga juju ili usitoboe yaani Mambo ni mengi na ya hovyo tu.
Lakini ibada za siku hizi kwenye haya madhehebu yetu ni mara Mia ukakaa nyumbani ukasoma biblia na ukaenda kusaidia masikini moja kwa moja na ukabarikiwa.
Sadaka zimekua nyingi Sana mtu unakutana na zaidi ya vikapu vitano,baraka zitatoka wapi hapo? Mtu unaanza kugawa sadaka SI ndo yale yale ya kaini na habili?
Nawasilisha.
Kwani tajiri namba moja Africa ni dini gani, na pia tazama list ya matajiri 10 Tanzania wakristo wako wangapi,Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Ukristo unahubiri kusaidia wajane na wenye uhitaji utakua husomi biblia wewe..halafu uislam ni dini inayoamini kuokolewa kwa matendo..hawana neema wala haki ya kuokolewa...hivyo hudhani matendo yanatosha kiwaokoa kitu ambacho sicho..mana asili ya mwanadamu ni dhambi hivyo hata ufanyeje huwezi ishinda zambi kwa matendo.Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..
Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.
Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.
Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Hii mbanga imekuwa serious, nilitaka nihamie huko ila kumbe nako jau u?πππ lunch na bwana yesu nimeipenda!Mimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.
Ni noma yani na wanaotoaga hela ndefu wanajulikana na priority yao ni kubwa
Jamaa hajielewi kweli, yani kutotoa sadaka ni kwa vile hela ni ya mawazo? Hawa watu wenye akili zilizofilisika wana tabu kweli!Bado unasafari ndefu sana ya Kiroho.
Kuwa Uyaone.
'I LOVE JESUS'