Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Sadaka zimekuwa nyingi sana, dini imekuwa biashara

Ni kweli sadaka zimekuwa nyingi sana..makanisa Yesu anawaona na siku ya hukumu mutajibu
Sadaka ya ukombozi
Sadaka ya fungu la kumi
Sadaka ya ujenzi
Sadaka ya nabii
Sadaka ya upebdo
Sadaka ya shukuranj
Sadaka ya kumtegemeza mchungaji
Zote hizo unatakiwa uzitoe siku 1
 
Bora hivyo mkuu, mimi kwa kweli la lunch na Bwana Yesu liliniacha hoi(KKKT hawa) RC lile la kusema sadaka irudiwe mpaka laki saba zipatikane na hapo mnaamka benchi kwa bench, na kumbuka huo /hiyo ni sadaka ya mwisho na zimeshapita kama tatu nyuma.
Hahahahah hio ndio ilitokea juzi juzi hapo😅
 
Hizi sadaka zinachanganya sana, misaa masaa 3, lkn masaa 2 zinazungumziwa hela tuu. Ukitaka mchungaji akuguse, toa sadaka. ya kueleweka, ili uende mbele akuombee kwa kukugusa Wasio na hela hawana nafasi. Wachungaji wa Nigeria wamejitajirisha mpaka wanatembelea private jets.
Nimecheka Sana
 
Hata waislam wako kama wewe wanawapenda waislam wenzao kuliko mkristo anavyo mpenda mkristo mwenzake
kwao muislam ni ndug yake.
Usilete porojo za kwamba wanawasaidia wote wananufaika kule dini imewaweka pamoja ukizingua wanakutoa
huwezi kuwa puppet wazi wazi wa wazungu ninyi mmekubali kuwapa bure wapeni wao walikataa mda mrefu wala sio fadhila za mzungu.
Na kuhusu hayo huo ukristo umeua wengi kuliko waislamu sio tu agano la kale hata baada ya kristo roma wameua
zaidi ya watu mil 50 huo upendo ulikuwa wap?
Ukristo wa agano la kale na uislamu wa leo unatofauti gani, upi bora?
Ndio maana kuna watu walipinga kama Mungu wa agano la kale na wa agano jipya ni mmoja kati
ya wa catholic wa mwanzo kabla ya wa catholic kuungana na roma empire kuua wapinzani wao wa ndani na nje ya ucatholic.
Kah mbn povu
 
Kkkt kimara ina Zaid ya sadaka Saba HV au nane ckozei ila kila inapotajwa sadak fln watu wananyanyuka harak Sana kwenda kutoa na Hakuna anae lalamika ...kuwa cko nyingi ..ipo ahadi na kollect,shukrn ya week ,shukran ya pekee ,malimbuko ,zaka, jengo, 10% sadaka za Siri jmn Ni nyingi ila naona watu wananyanyuka karibia sadaka zote ...Sasa wew lalamika tu ..


Ipo nguvu kubwa na ushindi ktk sadak
Amen
 
Acheni kuharibu dili za watu, kanisa ni dili kwenda mbele.
 
Nilisali kwa MWAIPOSA wakati wa kukanyaga mafuta, SADAKA zilikuwa hivi, 1 SADAKA ya TV na Redio hii anaaza 50,000 mpaka 5,000, 2 SADAKA ya kawaida, 3 SADAKA ya mwezi November ili mwezi huu uwe salama, 4 SADAKA ya Shukrani ya Mungu kukulinda, 5 SADAKA ya Kukanyaga MAFUTA hii alianzia 50,000 mpaka 1,000. Sasa huu si uwezi. Tangu siku hiyo sijarudi Tena kanisani kwake. Jamani tunaibiwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kkkt kimara ina Zaid ya sadaka Saba HV au nane ckozei ila kila inapotajwa sadak fln watu wananyanyuka harak Sana kwenda kutoa na Hakuna anae lalamika ...kuwa cko nyingi ..ipo ahadi na kollect,shukrn ya week ,shukran ya pekee ,malimbuko ,zaka, jengo, 10% sadaka za Siri jmn Ni nyingi ila naona watu wananyanyuka karibia sadaka zote ...Sasa wew lalamika tu ..


Ipo nguvu kubwa na ushindi ktk sadak
Wanainuka wanaweka pesa kweli au zuga tu...au ni mwendo wa sarafu sarafu.
 
Msicho kijua nikutofautisha makanisa yenye huduma za uwongo na makanisa yenye uduma za kweli yapo makanisa madogo ambayo yanatamani kufika katika viwango Bora .. kanisa zipo zinazo jikita kwenyo huduma yakuabudu tu na zipo kanisa zinazojikita kutoa huduma nyingi yani zitoe huduma yakiroho na kijamii

Kua mshirika wa kanisa fulani nilazima ushiriki katika kujenga maendeleo ya kanisa lako kanisa likiitaji kufungua radio ,shule , lazima kila mshirika ashiriki katika kufanikisha zoezi .. kila mtumishi wamungu wa kweli hutamani kumtangaza mungu kwa UKUBWA wake nandomana huleta miradi mikubwa kanisani ilikufanikisha ilo .. mambo Kama radio , tv , shule , kwaya , hospital ivi nivitu ambavyo humtangaza MUNGU kwa UKUBWA

Zile sadaka mnazo ziona nyingi hutolewa ili kufanikisha huduma zakanisa husika ili zisikwame .. unapotoa lazima ujue unamtolea MUNGU kwakua ukisema Ni Ela za mchungaji ungefunga safari ukampelekea nyumbani kwake .. ila mahdam unaitoa madhabauni iyo inaesabika Ni sadaka .. namungu anaeshim ilo

Kumbukeni Kuna kumuabudu MUNGU na Kuna kujenga UFALME wa MUNGU Sasa shida yenu mnapenda tu kumuabudu MUNGU ila ampendi kujenga UFALME wa MUNGU ..

MUNGU anaposema nijengeeni hekalu humaanisha kumjengea UFALME wa apa duniani .. ivyo HEKALU lazima iwe kubwa ilikujenga UFALME mkubwa ndomana watumishi hu dream big kwakuongeza huduma zaziada zakijamii ili kukusanya watu wengi ambao hao ndio wataleta vizazi na vizazi kuendeleza ilo HEKALU la MUNGU ..

Wimbo mnaoimba wakua KANISA Ni utapeli Ni agenda ya shetani kujizolea waumini na kafanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana ..

Kuingia kanisani bila kutoa sadaka au mchango wowote nisawa nakua nafamilia afu usitoe huduma staiki Kama chakula , mavazi , Ela ya matibabu , Ela ya maendeleo ya familia .. Kama kujenga nyumba kununua gari nk. Ivyo iyo familia yako itakua yaki choko Sana ..

Mnaonga mademu maela mengi ila kwa MUNGU mnaisi mnaibiwa ... Praise the Lord
 
Back
Top Bottom