π―Navyozidi kutumia logic.. naona mapungufu mengi sana makanisani na mazuri mengi sana dini ya wenzetu waislamu..
Sadaka kwenye ukrito imekaa kipigaji pigaji sana hasa fungu la kumi na sadaka zingine kibao. Angalau waislam sadaka inasisitizwa itolewe kama zaka kwa maskini, wajane, wagonjwa, na makundi mengine yenye shida ,,katika nguzo zao za uislam.
Nimeshauguza sana mama yangu muhimbili na moi.. kila mara akilazwa nikienda asubuhi kumuona naona makundi ya waislam wanatembelea wagonjwa waliolazwa na kuwapa uji na vyakula asubuhi .. sio ndugu zao bali ni utaratibu wa dini yao wanasaidia wagonjwa ambao hawana wa kuwapa vyakula.. mimi ni mkristo sijawai kuona kundi la wakristo likifanya hivyo hata siku 1 katika siku zote nilizokuwa naenda moi na muhimbili kumuona mama.
Makanisani mahubiri yanasisitiza sadaka tu na hizo sadaka hazijulikani zinaenda wapi? Maana hata shule za kanisa zilizojengwa kwa sadaka zetu bila kulipa ada mwanao anafukuzwa
Binafsi nimebaki namshangaa tu.Jamaa hajielewi kweli, yani kutotoa sadaka ni kwa vile hela ni ya mawazo? Hawa watu wenye akili zilizofilisika wana tabu kweli!
Yeye anahisi ndio mtu safi kisa anatoa sadaka so ataenda peponi duh ni msala!
Dini sahihi na ya kweli ni Waislamu tu hawana makuu kbs.. haya mengine na hizi kanisa za mabati ndio balaaa. Mshika pesa ni mke wa mchungaji. Kuna siku niliwafuma wazee wa kanisa wakigawana mpunga Mwambao restaurant Dom.
Unaongea nini wewe mbona sikuelewi! We ulisikia wapi waislam wengi maskini!Lazima mtoe povu kama mnaviela vyenu vya mawazo, kingine mnasali makanisa gani nyie, mfano luther sadaka sio lazima na fungu la kumi ukipeleka hata 5000 kutoa tena inaweza kupita hata miiezi, katika ukristo kuna fundisha watu kufanya kazi na kutafuta pesa ndio maana ukiona michango ujue unaamshwa upambane ndio maana matajiri wengi ni wakristo duniani hao wengine ni mmoja moja fanya utafiti uone waislam wengi ni masikini kinomaa coz din yao kila kitu ni simple sasa hapo inafundisha utafutaji kuwa chini mfano angalia nchi za kiislam africa ni masikin zakutupa, angalia sasa za wakristo wengi mfano south africa au nigeria pande za lagos matajiri kibao nenda kule kaskazin kwa waislam masikin kibao so kama vp hamieni huko kwenye usimple mnakotaka
Tupo pamoja, weed weed πBora ni vute bangi kuliko kusoma quruan kwakweli
Tena kanisani kwetu wanataka kuanzia noti eti bank hazipokei coins,wameweka sanduku.Sanduku ukitumbukiza coin lzm itoe sauti uone aibu.Hahahahhaha kanisani imegeuka sehem ya kuosheana
Hahahahah mtolee Mungu noti!Tena kanisani kwetu wanataka kuanzia noti eti bank hazipokei coins,wameweka sanduku.Sanduku ukitumbukiza coin lzm itoe sauti uone aibu.
Kanisani kwetu viongozi wa jumuia waliitwa mbele mmoja mmoja kueleza kiasi walichotoa na kilichobaki waeleze watamalizia lini!! Ilikuwa ni mchango wa ukarabati wa paa la kanisa, hapo hapo kulikuwa na michango ya sijui kapu la mama, kuchangia watoto wanaoenda kujifunza rozali na michango mingine mingi mpaka nimeisahau!Jumapili iliyopita kulikuwa na michango minne..eti kapu la mama la redio maria,mara kusomesha wamisionari..yaani full mizengwe.
Kilichoniacha hoi zaidi ni kutaja jumuia zilizotoa fedha kidogo kwenye zaka/fungu la kumi na exactly kiasi walichotoa..huku tukiambiwa kutoa unatoa ulichonacho,vipi kama hao wanajumuia hawana?
RC mizengwe imezidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo ibada na mahubiri unakuta wamelipua tu fasta..ila sasa ikifika muda wa matangazo na mihimizano ya michango hapo wanakaa sana kwa msisitizo..Kanisani kwetu viongozi wa jumuia waliitwa mbele mmoja mmoja kueleza kiasi walichotoa na kilichobaki waeleze watamalizia lini!! Ilikuwa ni mchango wa ukarabati wa paa la kanisa, hapo hapo kulikuwa na michango ya sijui kapu la mama, kuchangia watoto wanaoenda kujifunza rozali na michango mingine mingi mpaka nimeisahau!
Ukipigwa shavu la kushoto,geuza na shavu la kuliaWatu wa Mungu mnasoma maandiko?
K/TOLATI 4:22 Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
MALAKI 3:10 Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
Watu wa Mungu toeni pesa asee, hizo ni roho za uchoyo asee, kama unafanikiwa na unapata pesa toa sana ili uweze kupata sana na kadiri unavyofupisha mkono wako ndivyo hivyo hivyo pesa iliyo karibu nawe inavyozidi kusogezwa mbali nawe.
Unajua watu hawafanyi utafiti. Ikiitwa daftari la Matajiri hapa Tanzania nadhani Waislamu wataongoza. Hawa wengine wanajiona matajiri sababu ya kujaza pombe kwenye sherehe zao.Unaongea nini wewe mbona sikuelewi! We ulisikia wapi waislam wengi maskini!
Umewahi kujiuliza huwa unamtolea nani hata hiyo general?Nkienda Church huwa natoa sadaka Moja tuu, ile General baaasi
Umewahi kujiuliza huwa unamtolea nani hata hiyo general?
Kwa hili nakupinga Sio kweli dini ya kiisilamu imehimiza sana kufanya kazi na kufanya kazi ni sehemu ya ibada ni kweli waisilamu ni maskini sababu sio wengi waliosoma sana hizo zaka zenyewe hazitolewi kihalisia lkn sio maskini kama unavyosema la muhimu ukifanya wema unajifanyia mwenyewe na ukifanya ubaya vile vile unajifanyia mwenyewe ,dini zote zimehimiza hivyo .Ni bora mpungue masikin nyinyi mnapenda vya bure ndio maana waislam wengi ni masikini kinoma fanya utafiti coz ukristo unataka watu wafanye kazi yaani wajitume
Nimecheka sana,lunch na Bwana Yesu tenaπππππMimi nilishaacha kwenda kanisani. Nimeenda RC sadaka kama tuko kwenye Vikoba tena bora vikoba mwisho wa mwaka unapata chako wakati huko mwisho wa mwaka unatoa tena zaka. Jumuiya ndiyo usiseme, kusali ni five mnts tu then michango inaanza. Nakajaribu KKKT, huko ndiyo usiseme, eti kuna mpaka lunch na bwana Yesu. Nikajua tunapiga msosi na Bwana Yesu kumbe hakuna kitu. Niishie hapa nisiharibu imani za watu.