KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hivi huyu mzee kaishia wapi, hasikiki tena siku hizi. Ubaharia umekwisha!Ohoooo !! Tabu ni kwamba atashitakiwa pamoja na wapambe wake ( chawa ) , Je Le Mutuz Nation atakosekana ?
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya kagera aitwaye Daud Albert bashite anapandishwa kizimbani tarehe 3 december
Baba keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli ..je wasanii watakuwepo? wasafi je?babu tale?mkubwa fella?
Le mutuz mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
hofu yangu kuu ni kama akiingia mahabusu atapona itakuwa shakula mpya ya vibakaOle wake amtumainie. MWanadamu...Bashite hataamini kuwa enzi zile..alikua kama small goddess!!sasa watamnyea kisawasawa!!
Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya kagera aitwaye Daud Albert bashite
Nipashe,mtanzania n.kAngalau ingekuwa gazeti gani vile?
USSR , jingalao, YEHODAYA, na nzi wengine wa kijani msijidai hamuuoni huu uzi hebu njooni hukuView attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya kagera aitwaye Paul Makonda napandishwa kizimbani tarehe 3 december
Baba keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli ..je wasanii watakuwepo? wasafi je?babu tale?mkubwa fella?
Le mutuz mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Usimsahau Paskali wa JFBaba keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli ..je wasanii watakuwepo? wasafi je?babu tale?mkubwa fella?
Le mutuz mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Kwasababu wewe ni kada unaliamini Uhuru na Habari leo tuSijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Mzee tarehe 3 sio mbali,tuombe uzimaKwasababu wewe ni kada unaliamini Uhuru na Habari leo tu