Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Ohoooo !! Tabu ni kwamba atashitakiwa pamoja na wapambe wake ( chawa ) , Je Le Mutuz Nation atakosekana ?
Hivi huyu mzee kaishia wapi, hasikiki tena siku hizi. Ubaharia umekwisha!

Kweli JF imetoka mbali. Kuna nyakati Le Mutuz alikuwa anatamba JF, na hakuna wa kumwambia jambo! Naona siku hizi hata ile kuchungulia tu kimyakimya hawezi.
 

Kwani amekamatwa lini?
 
Chombo hiki cha habari nakiaminia kwa habari za kweli bila kumtizama sura mtu kama ni kigogo yupo ofisini au mstaafu aliyefanya madudu.

More info :

At The Kinondoni Magistrate's Court, District of Kinondoni in Dar es Salaam, Tanzania

MISCELLANEOUS CRIMINAL APPLICATION NO. 7 OF 2021

SAED AHMED KUBENEA (APPLICANT) versus Paul Makonda ( Respondent 1st) & Others


Mawakili wasomi wafafanua mashtaka hayo yanayomkabili mtuhumiwa Paul Makonda


Source : Mubashara studio

TOKA MAKTABA :

22 March 2017

Hatimaye kamati maalum iliyoundwa na waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye kuhusu tukio la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuzivamilia studio za Clouds Media Group, Ijumaa iliyopita akiwa na askari wenye silaha nzito, imekabidhi ripoti yake
 
USSR , jingalao, YEHODAYA, na nzi wengine wa kijani msijidai hamuuoni huu uzi hebu njooni huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…