nani analimiliki, huwa siliamin katuSijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani analimiliki, huwa siliamin katuSijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Ubunifu ambao haujawahi kutekelezekaAlmanusura atupime tezi dume wote. Ilikuwa kampeni ya kupita mtaa kwa mtaa, Nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda. Jamaa alikuwa mbunifu kwelikweli.
Mkuu una unasaba na wanyasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hofu yangu kuu ni kama akiingia mahabusu atapona itakuwa shakula mpya ya vibaka
Mana jf kindaki ndani bila picha hatuamini kituu[emoji1787][emoji1787]Lazima waile inye yake.
Ndipo atakapojua kuwa mangwema sio watu poa
Unataka picha ya tukunyema ya Bashite?Mana jf kindaki ndani bila picha hatuamini kituu[emoji1787][emoji1787]
Hili gazeti lilikuwaga lile la zamani.Sijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
NI suala la uzima tu.tarehe 3 sio mbali tuombe uzimaHili gazeti lilikuwaga lile la zamani.
Lakini tangu Mhamiaji Jenerali Ulimwengu aingie kwenye siasa za Chadema , limekuwa la ovyo kabisa.
Sio mimi personal, bali rai wa humu wanapenda sana picha.Unataka picha ya tukunyema ya Bashite?
Mara chache niliwahi kukutana na kufanikiwa kuongea na Makonda enzi akiwa mtu mwenye raha kuliko wote duniani.View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December
Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?
Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Hata Mimi muuza vitumbua nayaaminj Uhuru na Mzalendo ninayotumia kufungia maandazi.Sijui kwanini hili gazeti uwa siliamini amini
Akatwe miguu kwanza ndo apelekwe mahakamani
Angalau ingekuwa gazeti gani vile?
Hili gazeti huwa natend kutoliamini...to be sincere its credibility is put to question on my sideOhoooo !! Tabu ni kwamba atashitakiwa pamoja na wapambe wake ( chawa ) , Je Le Mutuz Nation atakosekana ?
Rebecca huwa anaishi wapi Dar? Nadhani hapajulikaniDuh,hii kali sana