Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya kagera aitwaye Paul Makonda napandishwa kizimbani tarehe 3 december

Baba keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli ..je wasanii watakuwepo? wasafi je?babu tale?mkubwa fella?

Le mutuz mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Siku hiyo kwa kitendo tu cha kufikishwa mahakamani nitakuwa na siku mzuri sana maishani.
 
Ohoooo !! Tabu ni kwamba atashitakiwa pamoja na wapambe wake ( chawa ) , Je Le Mutuz Nation atakosekana ?
Huyo babake bado yupo na haoni aibu kupiga magoti kwa wakubwa ili yaishe
 
Anashtakiwa kwa minajili ipi? Mkimaliza mumfungulie na yule aliyebariki Richmond na Dowanzi
Thank you Bro,
Yaan kuna Mifisadi Papa iliharibu nchi yetu yanapeta hadi leo na mingine bado ipo Bungeni yanakula Kodi tu,


Makonda afunguliwe kesi eti kwa Matumizi mabaya ya Madaraka, are we serious!!?

We have a long way to go Watanzania.
 
Thank you Bro,
Yaan kuna Mifisadi Papa iliharibu nchi yetu yanapeta hadi leo na mingine bado ipo Bungeni yanakula Kodi tu,


Makonda afunguliwe kesi eti kwa Matumizi mabaya ya Madaraka, are we serious!!?

We have a long way to go Watanzania.
wabongo masnitch sana😅,,, yani rugemalila na singa singa watolewe aingizwe makonda jela?
 
View attachment 2024674Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya kagera aitwaye Paul Makonda napandishwa kizimbani tarehe 3 december

Baba keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli ..je wasanii watakuwepo? wasafi je?babu tale?mkubwa fella?

Le mutuz mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Huyo baba na mama mzazi mbona hawamjui Paul Makonda kwenye familia yao, hawamhusu. Mama mzazi aliwahi kusema kwenye runinga wanaona picha ya mtoto wao lakini jina si la mtoto wao! Mtoto wao akasema anaitwa Daudi Bashite, sasa atakayefikishwa mahakamani ni nani kati ya hawa wawili?
 
Back
Top Bottom