Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Mara baada ya mchezo, viongozi wa Simba wakakimbilia mitandaoni kutuhadaa kwa kumtupia lawama goal keeper na Mwamuzi wa mchezo.
Wamesahau kuwa yanga jana walituongoza kwa kila kitu kuanzia Possession hadi idadi ya nafasi zilizo tengenezwa kwani walicreate clear chance 4 za magoli ni uzembe wao tu. Sisi tumecreate clear chance 1 tu Ateba akakosa kwa bahati mbaya.
Tukija kwenye penat nikweli tulinyimwa penat 1 sio mbili, lakini tukumbuke kuna mchezaji wetu alistahili red card lakini akapewa njano.
Kwakifupi mimi michezo 4 ya mwisho imefanya niamini kuwa hatuna timu. Rejea mechi ya Dodoma jiji tulizawadiwa penat, mechi ya Coastal ilukuwa tufe, mechi ya Azam hata sijui tulishindaje.
Timu haina wachezaji wa hadhi yetu, haina viongozi wa hadhi yetu, haina mdhamini wa hadhi yetu, shirikisho hatuwezi kufika fainali kwa hali hii.
Naona tukifungwa mara ya 5 mfululizo ikiwa Mo na genge lake wataendelea kuwepo Simba.
Wamesahau kuwa yanga jana walituongoza kwa kila kitu kuanzia Possession hadi idadi ya nafasi zilizo tengenezwa kwani walicreate clear chance 4 za magoli ni uzembe wao tu. Sisi tumecreate clear chance 1 tu Ateba akakosa kwa bahati mbaya.
Tukija kwenye penat nikweli tulinyimwa penat 1 sio mbili, lakini tukumbuke kuna mchezaji wetu alistahili red card lakini akapewa njano.
Kwakifupi mimi michezo 4 ya mwisho imefanya niamini kuwa hatuna timu. Rejea mechi ya Dodoma jiji tulizawadiwa penat, mechi ya Coastal ilukuwa tufe, mechi ya Azam hata sijui tulishindaje.
Timu haina wachezaji wa hadhi yetu, haina viongozi wa hadhi yetu, haina mdhamini wa hadhi yetu, shirikisho hatuwezi kufika fainali kwa hali hii.
Naona tukifungwa mara ya 5 mfululizo ikiwa Mo na genge lake wataendelea kuwepo Simba.