Ni mzuri lakini usizidi km500Mmenikumbusha kuna siku nilikuwa Arusha nikakutana na watu wanajiandaa kurudi Mbeya. Nikapiga hesabu ya ile trip nikawaonea huruma saana.
Ila kama hauna haraka usafiri wa barabarani ni mzuri mno ukifuatiwa na wa treni.
Mwamba hata wewe safari ya mwanza inakuchosha?SGR ifike tu
Wewe ni mnazi wa machungwa? Apande ndege ya chini,SCANIA kitu katarama.Panda Allyβs luxury coach hutajuta
Ni kitu gani na unauza shingapi???
Nenda Eshter massage wakakukande mgongo huo.Me mhangaza wa Ngara
Nimefika salama Sasa Niko Tabata napata safari lager kujipoza machungu ya safari
Mkuu ndio maana kumewekwa madaraja tofauti ktk Mabasi ya Safari hata kwenye Ndege, trni na Meli.Umasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Ila unataka kumfariji mke wa kiboko ya wachawi.ππ.πππ
Nimempokea Yesu sitaki vishawishi
Hata SAMA LUXURY nalo wako vyema sana tena hawafukuzani njiani kabisaPanda Allyβs luxury coach hutajuta
Ulikuwa bado mtoto mdogo. Sasa umeshakuwa mtu mzima.Bado haiondoi umbali.
Mwanza-Dar siku hizi pamekuwa parefu tofauti hata zamani. Tulikuwa tunafika siku hiyohiyo kwenye saa 1 jioni au saa2 na Zuberi.
Leo hii masaa yameongezeka, mnasafiri njiani hadi unahisi kizunguzungu.
Usijali mbunge wako atapanda ndege kukuwakilishaUmasiki mbaya aisee,
Natoka Mwanza naenda Dar hapa ni saa 5 kasoro ndiyo natoka Shinyanga nimeanza safari saa 1 jioni na hapa nimechoka sana na tunafika Dar kesho saa 7 mchana aisee sijui nitakuwa na hali gani
Mungu nijalie wakati wa kurudi nipande Air Tanzania
Huyo kwenye picha ni wewe?Yaani utoke mwanza sa moja ufike shy sa tano?
Kilometa hazijapungua wala kuongezeka isipokuwa mwendo umedhibitiwa.Kwamba zamani kilometa zilikuwa chache na leo zimeongezeka?
Kwanza zamani kwenda Mwanza tulikuwa tunapitia Nairobi !
Mtu unasafiri hadi unajishangaa. Siku hizi naona ni raha sana tuu.