Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Safari yako ya mafanikio bado ndefu

Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
Mafanikio ni mchakato wenye kupitia hatua nyingi kuukamilisha..

Japo kila mmoja ana tasfiri yake ya mafanikio.
 
Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
7: Team Kataa Ndoa
 
Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
KAma bado unatumia pesa kutongoza
 
Endapo unapitia hizi situation jua bado una safari ndefu katika kutafta mafanikio.

1.Ukienda kunyoa nywele unapakwa perfume badala ya aftershaving cream.

2. Ukienda bar au mgahawani unaulizia bei ya vitu kabla ya kuagiza.

3.Kila mwanamke unayemuona unamtamani na upo radhi kulala nae bila kujali ubora wake.

4. Unauza kitu cha zamani kwanza ili uongeze hela ununue kitu kipya.

5. Unakula kila unachokiona mbele ya macho yako.

.... mengine mtaongezea.
Wewe umepita hayo yote?
 
Back
Top Bottom