Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Sehemu iliyonisisimua ni hapo maelfu na maelfu ya ng'ombe wanaolindwa na watutsi. Yani mleta mada wamesafiri kilomita 100 nikupita tu katikati ya ng'ombe. Dah 100 km siyo mchezo very interesting.

Watakuwa tu ng'ombe wa kagame jamaa anapenda ng'ombe.

Hao chini ni Inyambo cows fahari ya Rwanda. Watutsi wanawapenda sana.



Arovera
 
 
nilikua na project moja maeneo ya Gisenyi, nje ya mji huu na kuja asubuhi kufanya shughuli zangu kule juu milimani kwenye volcano zilizokufa,ile tunafika asubuhi kuendelea na shughuli zetu tukaambiwa kuna maiti zimezagaa mtaani kwakua jamaa wa M23 wamepita alfajiri na mara nyingi wanakuja chukua vyakula au kuteka watu na kuwafanya askari wao, tunaambiwa kila ikifika saa 11 jioni tunasitisha kufanya kazi tunaondoka kabisa mji huo, vizuizi vya ukaguzi vilikuwepo ila sikupata changamoto yoyote kwa askari/wanajeshi wa Rwanda na hasa nilipokua naonyesha passport yangu wanafurahia sana kuja TZ and kupiga story then wanakuachia, marehemu (mola amrehemu) Magu wanampenda sana tena mno kule.
 
Msukuma anakuambia hakuna Ng'ombe hapo kuna Mapembe.
 
Justine Marack nikung'ate sikio yakuwa ukidhamiria kuleta mada jf basi jitahidi kufanya likamilike kama uliamua kushare Yale muhimu hapa tafadhali Fanya hima watu waelimike na kuburudika hv unavyochelewa kuendelea kusimulia aisee unakaribisha kudhihakiwa, kupewa maneno yasiyopendeza na baadae unaeza Iona jf chungu.

USHAURI - unaposimulia hapa inamaanisha wewe unajua hicho na Kuna watu watakoment watasema vile basi nawe utakuwa umeongeza maarifa ama kuburudika.

Usikae Kila muda unachungulia Uzi wako umefika page ngap Bali lete stori tujifunze/kuburudika wote wewe na sisi.

Usiku mwema.
 
Write your reply...kule kuna vita mara kwa mara sababu ya madini ya vitu n mengi,hku katanga shwari tu.
 
Ikiendelea ni tag please
 

Asee
 
Kuna watu mnatukana bila sababu. Sio lazima usome. Kazi sio kuandika tu tunamajukumu mengine. So tuwe na staha kidogo wengine Sio wavumilivu wa kutukanwa bila aababu
Ukija na jambo humu jaribu kujifanya chiz humu watu wanakuchokonoa maksud Ili uzire tuu au umjalii tuu ndio mana nilikushauri jaribu kukitoa mana jf arosto ya stori kama Hz wanazo wengi sana.

Wapuuze shusha kipande muda huu Mzee kesho wakutane nacho
 
Vp pembe zao nazo zinauzwa au akisha chinjwa zinatupwa dampo? Pia naomba kufahamishwa utofauti wa pembe za hao ng'ombe na zile za ndovu na faru
 
Very interesting story..... Bila ya mwendelezo.
Nina mpango wa kuitembelea Congo hasa Yale maeneo ya Kivu kusini au Goma kwa ujumla, mpaka sasa naendelea kukusanya taharifa za kiintelejensia kuhusu ayo maeneo, ingawa naambiwa kuna watu makatili sana lkn Mimi uwa napenda sana awo watu makatili kwa maana ndiyo watu ambao ukiibahatika kuzoeana nao wakakubali basi utakuwa unaweza kutimiza lengo lako kiuraisi sana,Congo ni taiga ambalo limejaa rasilimali kibao unaambiwa kuna maeneo nyumba zimekandikiwa udongo wa dhaabu ukiweka Mashine kwenye kuta zao ngoma inasoma PPM za kutosha, na kwa wale wazee wa Carbon uko ndo balaa unaambiwa mkamuo moja tu wa tani moja ya Carbon unaweza toka na 1.5 kg ya gold...unaambiwa mzigo upo wa kutosha.
Vijana tupunguze uoga, twende tukapambane....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…